KakaJambazi
JF-Expert Member
- Jun 5, 2009
- 18,711
- 12,067
Jana Kibonde alianza kwa salam ya "Asalam Alleikum" (kama kawaida yake) ok.
Embu tu-assume ladba ule ungekua ni mdahalo wa Dr Slaa,, na muuliza swali angeishia kutoa salamu ya upande mmoja wa kikristo labda ,,,"Bwana YESU Asifiwe" na kuendelea na swali.
Je wezetu waingeichukuliaje hasa ukizingatia hoja ya udini inatumika kuihujumu CHADEMA?
Mbona sisi tunauvumilivu lakini wenzetu hawana?
Embu tu-assume ladba ule ungekua ni mdahalo wa Dr Slaa,, na muuliza swali angeishia kutoa salamu ya upande mmoja wa kikristo labda ,,,"Bwana YESU Asifiwe" na kuendelea na swali.
Je wezetu waingeichukuliaje hasa ukizingatia hoja ya udini inatumika kuihujumu CHADEMA?
Mbona sisi tunauvumilivu lakini wenzetu hawana?