Kuna wanajamvi ambao wanatoa mada mbovu zisizo na kichwa wala miguu..dawa yao Great thinkers msichangie kwani mkichangia mnazidi kuwapa vichwa na kwa hilo wanazidi kupoteza hadhi ya Jukwaa hili Adhimu la Elimu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.