Tafadhali Rais Samia fanya Uchunguzi wa Fedha za Taifa Stars huko Ivory Coast kisha fukuza Kazi Waziri Dkt. Ndumbaro

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Jul 13, 2013
56,647
109,037
Kuna Upigaji mkubwa sana umetokea huko na cha Kushangaza Wachezaji wamepewa Pesa Kidogo, ila Wahamasishaji akina Mwijaku na Baba Levo pamoja na Wanakamati wamegawana Kiasi kingi hali ambayo imewachukiza sana Wachezaji wa Taifa Stars.

Mheshimiwa Rais Samia ili hili lisijulikane Kwako na kwa Watanzania ni kwamba Waandishi wa Habari wote waliokuwa huko Ivory Coast nao Wamemegewa chao na ndiyo wamenyamaza ila Mzalendo Mwandamizi na wa Kweli Tanzania hii GENTAMYCINE ndiyo nakupa sasa hii Taarifa.

Fukuza Kazi upesi Waziri Dkt. Ndumbaro na huyo Naibu wake Hamis Mwinjuma ( alias Mwana FA ) mbadilishe Kituo kwani nae ni wale wale.

Na mwisho Mheshimiwa Rais wakuambie kwanini Taifa Stars ilikwama kurejea nchini Nyumbani kwa Siku Nne au Tatu baada ya Kutolewa Mashindano wakati Timu zingine zote huondoka huko Ivory Coast Kesho yake tu?
 
Kuna Upigaji mkubwa sana umetokea huko na cha Kushangaza Wachezaji wamepewa Pesa Kidogo, ila Wahamasishaji akina Mwijaku na Baba Levo pamoja na Wanakamati wamegawana Kiasi kingi hali ambayo imewachukiza sana Wachezaji wa Taifa Stars.

Mheshimiwa Rais Samia ili hili lisijulikane Kwako na kwa Watanzania ni kwamba Waandishi wa Habari wote waliokuwa huko Ivory Coast nao Wamemegewa chao na ndiyo wamenyamaza ila Mzalendo Mwandamizi na wa Kweli Tanzania hii GENTAMYCINE ndiyo nakupa sasa hii Taarifa.

Fukuza Kazi upesi Waziri Dk. Ndumbaro na huyo Naibu wake Hamis Mwinjuma ( alias Mwana FA ) mbadilishe Kituo kwani nae ni wale wale.

Na mwisho Mheshimiwa Rais wakuambie kwanini Taifa Stars ilikwama kurejea nchini Nyumbani kwa Siku Nne au Tatu baada ya Kutolewa Mashindano wakati Timu zingine zote huondoka huko Ivory Coast Kesho yake tu?
Uwe na ushahidi siku zote unapoandaa tuhuma nzito za upigaji ili wanaokusoma wapate hamu ya kujua mengi yanayokuwa yamefanyika.

Ukikosa ushahidi wa kusindikiza tuhuma zako unaishia kuonekana mzushi tu kama wazushi wengine.
 
Its fine for the damn Fools to support each other as you did to Steven Joel Ntamusano
Jifunze kupokea changamoto usizozipenda inakusaidia kukuza uelewa wako kwenye mambo mengi.

Kupenda kusoma kile unachokipenda peke yake ni kuendekeza siasa za uchawa ambazo hazimjengi mtu bali kumdanganya kwamba yeye ni sawa na mfalme mmoja mkubwa sana wakati hajui kama kesho asubuhi ataamka akiwa salama au akiwa maiti.
 
Jifunze kupokea changamoto usizozipenda inakusaidia kukuza uelewa wako kwenye mambo mengi.

Kupenda kusoma kile unachokipenda peke yake ni kuendekeza siasa za uchawa ambazo hazimjengi mtu bali kumdanganya kwamba yeye ni sawa na mfalme mmoja mkubwa sana wakati hajui kama kesho asubuhi ataamka akiwa salama au akiwa maiti.
Rubbish and Nonsensical.
 
Back
Top Bottom