GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,647
- 109,037
Kuna Upigaji mkubwa sana umetokea huko na cha Kushangaza Wachezaji wamepewa Pesa Kidogo, ila Wahamasishaji akina Mwijaku na Baba Levo pamoja na Wanakamati wamegawana Kiasi kingi hali ambayo imewachukiza sana Wachezaji wa Taifa Stars.
Mheshimiwa Rais Samia ili hili lisijulikane Kwako na kwa Watanzania ni kwamba Waandishi wa Habari wote waliokuwa huko Ivory Coast nao Wamemegewa chao na ndiyo wamenyamaza ila Mzalendo Mwandamizi na wa Kweli Tanzania hii GENTAMYCINE ndiyo nakupa sasa hii Taarifa.
Fukuza Kazi upesi Waziri Dkt. Ndumbaro na huyo Naibu wake Hamis Mwinjuma ( alias Mwana FA ) mbadilishe Kituo kwani nae ni wale wale.
Na mwisho Mheshimiwa Rais wakuambie kwanini Taifa Stars ilikwama kurejea nchini Nyumbani kwa Siku Nne au Tatu baada ya Kutolewa Mashindano wakati Timu zingine zote huondoka huko Ivory Coast Kesho yake tu?
Mheshimiwa Rais Samia ili hili lisijulikane Kwako na kwa Watanzania ni kwamba Waandishi wa Habari wote waliokuwa huko Ivory Coast nao Wamemegewa chao na ndiyo wamenyamaza ila Mzalendo Mwandamizi na wa Kweli Tanzania hii GENTAMYCINE ndiyo nakupa sasa hii Taarifa.
Fukuza Kazi upesi Waziri Dkt. Ndumbaro na huyo Naibu wake Hamis Mwinjuma ( alias Mwana FA ) mbadilishe Kituo kwani nae ni wale wale.
Na mwisho Mheshimiwa Rais wakuambie kwanini Taifa Stars ilikwama kurejea nchini Nyumbani kwa Siku Nne au Tatu baada ya Kutolewa Mashindano wakati Timu zingine zote huondoka huko Ivory Coast Kesho yake tu?