Tafadhali Lowassa: Achana na 'active politics'; Bakia mshauri wa Taifa; furahia 80% yako

.

Nyie vipi bwana ... mbona hamfikirii vizuri?! ... think ahead

Mimi kwa maoni yangu ni bora abakie kwenye active politics! ... tena ndani ya CCM

Kama watu wanataka mabadiliko ya ukweli hapa nchini kwetu basi aendele kukaa huko huko CCM na ikiwezekana na aombe kugombea kabisa Urais ....

Kwanini nasema hivyo? .... itawasaidia sana vyama vya upinzani mfano CDM katika kuiangusha CCM kwani watavurugana na watasambaratishana na kukiacha CCM kikiwa hoi ... na wengi wataungana katika kuiongezea nguvu CDM ili ielekee ushindi!

Nyie vipi bwana? .. mbona hamfikirii vizuri? ... think of aftermath! ...

Narudia tena ... kama unataka mabadiliko ya kweli ... mwombee EL asihame CCM ili wavurugane vizuri hadi waishiwe nguvu ... na CDM kiongezeke nguvu ili walete mabadiliko

Think harder! ... think!

Haya uliyasema tar 18/4/2012

Sawa bro mtabiri.
 
Huyu Lowassa ningeshndana naye urais lazma angenishnda,,,jamaa hatabiriki,,style ya kuanzia kampeni kwenye daladala,leo Katoa kaz ya kutafutiwa kura badala ya kutoa hotuba na bado watu wanamkubali,,,,ajabu magufuli anatumia nguvu nyingi na fitna juu lakini hali ni ngumu,,,Duuh!
 
Huyu Lowassa ningeshndana naye urais lazma angenishnda,,,jamaa hatabiriki,,style ya kuanzia kampeni kwenye daladala,leo Katoa kaz ya kutafutiwa kura badala ya kutoa hotuba na bado watu wanamkubali,,,,ajabu magufuli anatumia nguvu nyingi na fitna juu lakini hali ni ngumu,,,Duuh!

Wewe hata fomu ya kugombea hukuchukua ha ha ha
 
M/kijiji Huna maana wewe nilikuheshimu mno..Sina haja yakusoma hata post zako.

MMM anstahili heshima.
Aliliona hili swala la Lowassa kuhamia Chadema na madhara yake tangu 2012 .
Ule mgawanyiko wa ndani ya CCM wa ama unamkubali Lowassa au unampinga ndo umeingia pia Chadema na mbaya nikuwa mgawanyiko huo umekuja ghafla katika kipindi cha uchaguzi.
 
M/kijiji sio mtabiri wala nabii..upepo ulikuwa upo kwa membe maana familia ya mflame walikuwa wanamuhitaji hivyo kama mchambuzi alijua EL akifanyiwa figisufigisu itakuwa mbwa mdogo kala mbwa mkubwa ndo hivyoo...wote sema Lowasa kwa mabadiriko..

kwa mara ya kwanza nitashiriki mkutano wa siasa jangwani jumamosi hiii...mukuje mukuje nyoooteee ktk bwanaa Ameen
 
Jibu la swali lako ndiyo ana uchungu sana na nchi hii pia ana uchungu sana na vijana.

Kwanini hujachukuwa nafasi ya kujiuliza mbona viongozi wengi wa ccm hawamtaki lowassa

aingie madarakani kwani kuna nini? Mbona inatumika nguvu kubwa kumzuia wakati wananchi wanampenda? Lowassa anajua siri kubwa za wizi wa nchi ya tz.
Wanaogopa kufungwa na kufilisiwa
 
Yesu alikuwa na kila kitu mbinguni kwa baba yake ila kwa ajili ya mateso ya wanadamu alikuja kufa

kifo cha aibu akatukomboa.lowassa haji kutafuta pesa na sifa anakuja kuikomboa nchi kutoka kwenye dimbwi la ufukara na umaskini usioneneka
 
Nikweli MZEE mwanakiji'kama hajui wabongo w wana mpotezea muda bora ukafanye biashara zako hakuna aliye mkweli ktk siasa zetu bongolendi
 
Mwanakijiji naona ushauri wako ni mawazo ya wengi lakini inaelekea humjui Lowassa vizuri. Lowassa ana ego kubwa kuliko mwanasiasa yeyote Tanzania nakumbuka nilienda kwenye harusi ya mtoto wake alikuwa anaolewa mwaka 2009 Lowassa alikuwa anataka kupigwa picha yeye kuliko mwanaye!. Hivyo Lowassa siye yule mtu wa kukaa chini na kula matunda ungejua familia yake ilivyo choshwa na tabia ya Lowassa kufikiria uraisi na wanasiasa kutwa ameletea familia tabu sana na walishidwa hata kuishi maisha ya kawaida kwa kusemwa kila siku kwenye mitandao na magazeti kwa miaka 10 sasa na ndiyo maana wamefurahi amehama maana bila hivyo ingekuwa taabu tupu nyumbani wanataka hii issue imalizike ili waweza hata kidogo kuanza kula matunda ya mafanikio. Siwezi kusema yote lakini sio issue ya pesa au kupumzika.
 
Nilishasema wewe (mwanakijiji) utamtetea lowassa penda usipende akihamia CDM

Kila siku zinavyoenda na proof EL ana mkono mrefu ..hadi JF

Duuh mkuu! Ila Mwanakijiji kalinda heshima yake! Kajiweka kando. Ila hiyo proof sasa hata haihitajiki. Ingawa kama unayo si mbaya ukiweka tuone mazungumzo yalianza lini au yalikuwa nini. Maana Lowassa kuhamia CDM is not a coincidence.
 
You can not define him, much more better than this ...

"Ni divisive figure ndani ya chama na nchi; wengine wanaweza hata kusema ni 'polarizing figure' kwa maana ya kwamba kila jina lake linapotajwa pande mbili hutokea mara moja yaani ile inayomuunga mkono "

That is why I don't want even to think of him crossing to CDM in any cost ... for his own sake!!

WHY?

He will definitely polarize CDM and cause the instability which he will never be able to determine its outcome neither control it ... AND I am sure it will consume him like wild fire ... !!

Mkuu upo ?? Your analysis is spot on! No wonder JK said "Wachawi wameondoka (CCM)" because EL is very polarizing. He was polarizing in CCM and he is polarizing CDM.
 
Dah, huu uzi wa 2012 nimeuweka katika 3 bora zilizosemwa zamani zikiwa na ubora wa karne ..hongera sana Mzee mwanakijiji na leo tunayaona wazi
 
Lowasa ni sikio lakufa halisikii dawa anajua kabisa Ikulu hawezi kuingia ila analazimisha tu namuonea huruma sana anavyopoteza hela na nguvu zake
 
Back
Top Bottom