Sasa Ni muda wa Kwenda Kitaalamu zaidi!! Tumebaki kulaumu bila kuhusisha Vyanzo vya ajali na matukio yenyewe!! Kwa Kawaida kioo au Windscreens vinakuwa na ubora ambao hata ajali ikitokea Haviwezi kusababisha Madhara kama haya!! Kwani kinakuwa na material ya karatasi/Gundi ambayo inakifanya Kioo kisiweze kumkata abiria/dereva na kumuepusha na Madhara ya Hatari mbaya kama hiyo ya Kufanya kioo Kumkata Mwendeshaji!!
Ushauri!!
Tunawaomba wahusika wote na wadau wanaohusika na Ubora wa Vyombo vya Usafiri wafanye Uchunguzi Katika Hili!! Usalama barabarani, Sumatra, na TBS Kwani aina hii ya kioo ni hatari na huwa hairuhisiwi kabisa kwenye Vyombo vya Moto!!
Nadhani katika ajali Nyingi Watu Hupoteza Maisha Katika Mazingira Kama Haya!! Hasa Haya mabasi yenye Bodi za Kutengenezea Hapa Nyumbani!! Wanaweka kioo cha chumba kwenye Vyombo vya Usafiri!! Hii ni Hatari sana!!
Au Kama ni kwenye Bajaji Tu basi Uchunguzi Ufanyike Na kama tatizo Hilo litaonekana basi Hawa WATENGENEZAJI WA BAJAJI WAPELEKWE mahakamni na kushitakiwa kwa uzembe wao Huo!!
ukisema taxi unamaanisha nini?maana sioni hiyo taxi kwenye picha,nona soloon gari dogo,ila tunashukuru kwa taarifa na pole kwa wafiwa
Watanganyika acheni kunywa pombe. Pombe inaua!!!!
mkuu hiyo sio kwetu bongo hiyo ni Jirani yetu Kwa Wa Kenya hao Kenya si unajuwa kuna Matatizo ya Ukabila?hii kali sana
kuna watu wanarohio ngumu sana,sijui polisi walikuwa wapi
hiyo bajaji yenye kioo cha kabati imetengenezwa nchi gani?