ndio ukae ukijuwa sisi waafrika bado tupo nyuma sana kimaendeleo Wazungu wanakwenda Mwezini sisi bado tunafikiria mambo ya uchawi tu bujibuji akiwa na macho mekundu eti naye pia ni mchawi hahahahahahah mbona kazi ipo tutafika kule tunakokwenda lakini mkuu bujibuji??????????????
Na Wale Wa Tanzania wanaouwa Maalbino kwa kusingizia eti wameambiwa kwa waganga wao watapata Utajiri? Na Serikali yetu inafanya nini kuhusu kuuwawa kwa hao ndugu zetu wa Kialbino? itabidi Watu waelimishwe sana kuhusu imani Potofu ya Uchawi pasipo kuelimishwa huko tunakokwenda kubaya Adui yako ataweza kukusingizia unamroga na Majirani wakachukua hatua mbaya dhidi yako.Haya mambo ni huzuni kubwa kama yanaendelea kufanyika katika jamii za kiafrika katika dunia ya leo. Lakini haya yote yakifanyika serikali husika haioni? hata serikali ya kijiji, viongozi wa madhehebu ya dini na taasisi za kiraia hawayaoni?? Ndiyo maana tunaendelea kudharauliwa na hawa wazungu ambapo kwa kweli sisi waafrika ndiyo tungekuwa tunawadharau wazungu katika enzi hizi kwa sababu ya wao kukosa maadili. Katika hali kama hii waafrika tutaendelea kuonekana vituko
ha hi je?View attachment 42502
Na wewe Majirani zako wakikuhisi mchawi je wakue?Usimuache mchawi aishi.