GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,892
- 109,614
GENTAMYCINE naomba baada tu ya Tamasha Kubwa la Simba Day tarehe 6 August, 2023 mambo haya Mawili muhimu sana yafanyike kabla Timu haijaenda Tanga kwa Mechi za Ngao ya Jamii na kuanza kwa Ligi Kuu ya NBC na Michuano Miwili ya Kimataifa.....
1. Waitwe Wazee Wetu wa Kikwajuni Zanzibar na Wazee Maalum wa Tanzania Bara wasome Kitabu ( Dua Kali ) kisha ipikwe Yamini na Walambishwe Wachezaji wote, Benchi la Ufundi na Viongozi wote wa Simba SC kisha Waambiwe ambaye atahujumu / ataihujumu Timu Akifa au akirukwa na Akili asimlaumu Mtu.
2. Wachezaji wa Simba SC waambiwe mubashara ( tena bila ya kuwaonea Aibu ) kuwa Wakiroga basi Waroge ili tu Wasiumie ( wasipate Majeraha ) ila kamwe wasije wakawa Wanarogana ( Wanachawiana ) Wao kwa Wao.
Watoto wa juzi ( miaka ya karibuni ) najua hapa mtanishangaa sana GENTAMYCINE kwa hiki nilichokiandika hapa ila kwa wale Wakongwe Wenzagu najua Watanielewa vyema nilichokimaanisha
Sikumbuki ni lini Simba SC iliyokuwa chini ya Muasisi wa Utamaduni huu Marehemu Mzee Bamchawi iliukosa Ubingwa wa Ligi Kuu, haikufika mbali katika Michuano ya Kimataifa na ilifungwa na Mtani wake Yanga SC.
Naomba hili lifanyike na lizingatiwe.
1. Waitwe Wazee Wetu wa Kikwajuni Zanzibar na Wazee Maalum wa Tanzania Bara wasome Kitabu ( Dua Kali ) kisha ipikwe Yamini na Walambishwe Wachezaji wote, Benchi la Ufundi na Viongozi wote wa Simba SC kisha Waambiwe ambaye atahujumu / ataihujumu Timu Akifa au akirukwa na Akili asimlaumu Mtu.
2. Wachezaji wa Simba SC waambiwe mubashara ( tena bila ya kuwaonea Aibu ) kuwa Wakiroga basi Waroge ili tu Wasiumie ( wasipate Majeraha ) ila kamwe wasije wakawa Wanarogana ( Wanachawiana ) Wao kwa Wao.
Watoto wa juzi ( miaka ya karibuni ) najua hapa mtanishangaa sana GENTAMYCINE kwa hiki nilichokiandika hapa ila kwa wale Wakongwe Wenzagu najua Watanielewa vyema nilichokimaanisha
Sikumbuki ni lini Simba SC iliyokuwa chini ya Muasisi wa Utamaduni huu Marehemu Mzee Bamchawi iliukosa Ubingwa wa Ligi Kuu, haikufika mbali katika Michuano ya Kimataifa na ilifungwa na Mtani wake Yanga SC.
Naomba hili lifanyike na lizingatiwe.