Mpigania haki
Member
- Apr 10, 2011
- 53
- 16
2pe updates.
Njoo mori naangalia mpira soccer city.
Una wasiwasi gani kama mzee wako fisadi atatajwa tuhuyu bwana KOO naona alipost halafu hasomi nini watu wanaandika. Ivi tabora nzima mdau ni huyu mmoja jamani? kama ameishiwa credit aseme.
mkuuu ....mimi nipo samunge loliondo ... justify humu humu JF ... tuwekee picha bana
Watu wanakuzungusha hadi unaonekana zezeta sasa
Too bad, maana sijawahi kupiga picha tangu nilipolazimishwa kuingia JKT na utu uzima, hat nilipomaliza nikazichoma. Huna ndugu wa kike unayemuamini aliye karibu na Dar nikamjastifaie?
Honestly speaking!
Pamoja na Ujanja wote wa Team ya Chadema na mipango mizuri, kwenye issue ya ku-communicate Message na kutoa ujumbe kwa njia mbalimbali mwafaka wako dhaifu sana....
Kwa mfano, inawa-cost kiaski gani kuwa na mtu mmoja kwenye mission muhimu kama hiyo ya Tabora, ambaye atatoa live updates ya kinachoendelea Tabora pamoja na picha za papo kwa papo? inahitajika digita camera moja tu ya laki mbili, laptop ya laki tano na Modem ya internet, kwa mwezi elfu 30.
Chadema kubalini katika hili mko dhaifu...; JIREKEBISHENI!!
TBC watarusha live? Si Wanajiendesha kwa kodi zetu bana. La sivyo nao wajumuishwe kwenye orodha ya mafisadi, wanatuibia kodi zetu