MotoYaMbongo
JF-Expert Member
- Jan 7, 2008
- 2,146
- 884
Tabora maendeleo duni, barabara mbovu, maji mtihani, elimu imekufa, nyie wanyamwezi nani amewaroga? Yani CCM imewaroga kabisa. Ebu upeni heshima mkoa wa Tabora mbele ya watanzania wenzenu. Yani CCM wamewasusa kimaendeleo nyie mnajipendekeza, Shame on you Nyamwezi people.