Tabia za wake za watu vyuoni kwakweli zinanikatisha tamaa badilikeni jamani

umalaya upo kwa wote. wasiosoma malaya, wanaosoma malaya, wawe waume au wanawake.....kifupi umetazama chuo tu. hata kwenye biashara, kazini, safarini, harusini, kanisani, makongamanoni, hospitali manesi na madaktari hufanyana sana....kifupi binadamu ni kama wanyama hasa nyani au mbwa.....hutiana popote ila sema ndoa ni kuweka utaratibu wa kuishi kijamaa tu
 
sio wanawake tu. hata waume za watu. wanaongoza kwa umalaya vyuoni.
Hakuna mwanaume Malaya Mkuu! Ndio maana mwanamke akikutwa na mtu tunasema "amefumaniwa" ila mwanaume tunasema "amekutwa"

Kumbuka mwanaume anafanya!!!!!
Mwanamke anafanywa!!!!
 
umenikumbusha dada mmoja alikuwa PSPA miaka ile pale UDSM asee alitafunwa karibia na maprofesa na ma-dr wote wa international relations... na hivi alikuwa na tushepu tuzuri basi ndio kabisaaaa
ilikuwa ni checheeeeee
 
Na asilimia kubwa pia wanagongwa na waume za watu,kwa hyo wanawake pia wanakutwa na kadhia hii
 
umalaya upo kwa wote. wasiosoma malaya, wanaosoma malaya, wawe waume au wanawake.....kifupi umetazama chuo tu. hata kwenye biashara, kazini, safarini, harusini, kanisani, makongamanoni, hospitali manesi na madaktari hufanyana sana....kifupi binadamu ni kama wanyama hasa nyani au mbwa.....hutiana popote ila sema ndoa ni kuweka utaratibu wa kuishi kijamaa tu
daaahhh hiii comment noma...ninyeupe kama Sufi...aiseeeeeee
 
Duniani watu wote hatuwezi fanana maisha mkuu, watu kama hao lazima wawepo tu na kuna wengine pia wanajiheshimu so usijistress mkuu waache wapambane na hali zao na waume zao.
Wanawake mwalimu wao mmoja, ukinibishia nitajua tu hujaoa. Mwanamke pekee anayeweza asikuumize kichwa ni mamaako (hapa muondoe mama _____ ambaye inasemekana anabanduliwa na vijana)
 
Kwa dunia ya sasa kugongewa ni jambo la kawaida cha umuhimu nisikufumanie ndoa itaishia hapo hapo, likini turudi upande wa pili hivi kuna mwanaume kamili ambaye anatembea na mkewe tu toka wafunge ndoa na wameishi miaka mingi?, ukweli ni kwamba wanaume wengi tuna nyumba ndogo lakini tunahakikisha mke wala familia haipati tatizo wala kupungukiwa kitu na nitafanya kwa siri ili mke asijue
hahaha Mungu anakataa zinaa
 
na vijana wa siku izi mshipa wa aibu hawana kabisaaaaaaaaa.....
kijana ana 20yrs anamkula mmama wa 35yrs bila hiyana na anampa dozi ya hatari mpaka mmama anauliza umepata wapi ujasiri wa kunichungulia na kunipa dozi kamili kama hii
 
Msisahau wake zenu watarajiwa mlioko nao vyuoni au wako sekondari wanatafunwa na vibabu na waume za watu mtaani! Haya mambo ni cycle tu! Usipate stress pambana na hali yako
 
Habari ndugu!
Kuna baadhi ya wanaume ndani ya ndoa huamua kumwendeleza kielimu/kumsomesha mke wake katika ngazi mbalimbali ili wasaidiane baadae kupambana na maisha!
Lakini tabia za hao wake za watu waliowengi wafikapo chuoni kwakweli tabia zao zinasikitisha na kukatisha tamaa!

Ilitazamiwa mtu mzima ambaye ni mke Wa mtu afikapo chuoni awe mfano bora Kwa mabinti wadogo kwa kuwashauri kujistili na tabia njema lakini cha kusikitisha wadogo ndiyo wamegeuka walimu wao katika kuwaharibu tabia.

Mke Wa mtu anatoka mkoani na tabia safi, mavazi mazuri lakini anapoanza chuo anageuka kahaba, hamnyimi mtu, anavaa vimini utafikiri baamedi, haachi kuruka viwanja na wengine pasipo aibu huvua Pete na kuishi kinyumba na mabwana mjini ili hali huko kijijini wameacha familia zao!

Wengine wakinogewa zaidi hulazimisha kuvunja ndoa zao ili aolewe!

========

Wake za watu waoneeni huruma waume zetu.
Na nyie wanaume wenzagu mnaosomesha, Acheni ubwege Wa kupitiliza! Wewe mkeo anaenda chuo na unatambua fika mkeo mashallah lakini hufuatilii amefikia wapi,analala wapi, anakula nini! Hufuatili nyendo zake chuoni kwakweli nanyinyi mnachangia sana wake zenu watafunwe!

LAKINI UKWELI WAKE ZA WATU WANATAFNWA KILAINI SANA HUKO VYUONI HADI AIBU!

*****************

Kuna jamaa angu alishachanganyikiwa kisa alimtembelea mkewe hosteli akakuta anatafunwa!
Badilikeni ndugu zangu !
Hakuna mke wa mtu ila kuna mke wa watu. Usidhani hawajui wanajua sana ila wanakaa kimya kwa kuogopa kuvunja ndoa.
 
Ni kweli kabisa, cjui ni utandawazi au ni nini. Mungu atusaidie sana kwa kweli
 
Mimi nalia kwa sababu wa kwangu nilimchukulia fomu ya chuo kwa hela yangu na ndio ikawa tiketi ya kuniacha, yaani maumivu yake usipime na vile unakuwa na ndoto ya kujenga familia bora na yeye, yaani kwa hasira nimeoa formfour na cheti cha records, maisha yanasonga
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom