HAZOLE
JF-Expert Member
- Feb 25, 2011
- 1,551
- 710
umalaya upo kwa wote. wasiosoma malaya, wanaosoma malaya, wawe waume au wanawake.....kifupi umetazama chuo tu. hata kwenye biashara, kazini, safarini, harusini, kanisani, makongamanoni, hospitali manesi na madaktari hufanyana sana....kifupi binadamu ni kama wanyama hasa nyani au mbwa.....hutiana popote ila sema ndoa ni kuweka utaratibu wa kuishi kijamaa tu