Mbinu za kushinda tamaa za mwili

Mwl Mwakujonga

JF-Expert Member
Jun 29, 2023
286
582
UTANGULIZI
Maandiko matakatifu yanasema mwili wa mwanadamu hauwezi kumpendeza Mungu, maana mwili hauokoki na hauna ajenda za kwenda mbinguni ndio maana waufuatao mwili wamefarakana na Mungu

Njia za Kuushinda Mwili
Mithali 29:18 Pasipo maono, watu huacha kujizuia; Bali ana heri mtu yule aishikaye sheria.

Njia ya Kwanza
Kuwa Mtu Mwenye maono,maono ni picha ya ndani ambayo Mtu anakuwa nayo juu ya kesho yake

Sifa za maono
Maono yanasifa zifuatazo :-
Maono yanatengeza Sheria, Sheria ni taratibu ambazo zinaweka Kwa lengo la kutengeneza aina flani ya Maisha ambayo mtunga Sheria anataka

Maono yoyote lazima kulindwa na Sheria, ili yawe maono Kwa sababu pasipo Sheria watu uhacha kujizuia maana yake watu wanakwenda pasipo utaratibu

Sheria ya mwili
Ili uweze kuhushinda mwili lazima uwe na Sheria ambayo itasimama Kwa lengo la kulinda maono yako ya kutokumtenda Mungu dhambi

Sheria ambayo unatakiwa kuwa nayo moyoni mwako Kwanza weka Sheria ya kutokumtenda Mungu dhambi kupitia mwili wako

Ukiwa na Sheria ndani ya Moyo wako kutakapo tokea kishawishi cha kukushawishi kumtenda Mungu dhambi kwakupitia mwili wako utajikuta ndani yako unabanwa na hiyo Sheria

Wakati Yusufu anabembelezwa na mke wa potifa alale naye Yusufu alikumbuka ile Sheria ambayo aliweka moyoni mwake ya kutokumtenda Mungu dhambi , na hiyo Sheria ikamkumbusha Moyo wake Akamwambia Yule mama kwamba hawezi kumtenda Mungu dhambi Kwa kulala naye

Sheria ya pil
Weka Sheria ya kutokumkosea mwenzi wako, Biblia inasema hauwezi kumpenda Mungu kama haumpendi jirani yako, Kwa hiyo ili upendo wako kwa Mungu uonekana Kwanza lazima kumpenda jirani yako Kwanza

Unapokutana na jaribu la kumtenda Mungu dhambi Kwanza mkumbuka mkeo au mumeo na ufikiria kwamba mke/Mume wako kapewa taarifa kwamba umemsaliti

Weka picha Kwa mkeo ataskiaje kwamba umemsaliti ? Fikiria Kwa habari za mashemeji , mawifi na wakwe zako wakiskia tabia yako Kwa mkeo utajiskiaje? Watoto wako je ,? Au wazazi wako ,? Watajiskiaje kwamba kijana wao amekwenda kuwaaibisha?

Sheria ya Tatu
Kataa Imani potofu, kuna Imani ambazo ni Imani potofu kuna watu wanaamini kwamba mwanaume hawezi kuwa na mke mmoja ,we jisemehe moyoni kwamba Mimi sitakuwa kundi la hao Ambao hawawezi kuwa na mke mmoja

Maandiko matakatifu yanasema Imani huja Kwa kusikia, ukiamini kwamba mwanaume hawezi kuwa na mke mmoja utajikuta umehanguka kwenye Hilo kundi la wanaume wenye michepuko

Unapoweka Imani moyoni mwako Mungu anakutengenezea mazingira ya kukutenga na watu, utakuwa katika mazingira ambayo yatakubana uingie kwenye michepuko utashangaa Mungu anakutetea

Ulishawai kwenda Katika maeneo ambayo uko mbali na familia na hakuna ambaye anakuona na uko na wenzako wanakushawishi Kwa kila njia na michepuko ghafla unaskia mmoja wao anakwambia mwacheni huyo ni mlokole? Ujue Mungu anaingilia Kati kwenye majaribu ambayo yangekuangusha Ila Mungu anakutetea ? Mungu ni mwaminifu Sana weka Imani kwake

MBINU 2
Mathayo 26:41Kesheni, mwombe, msije mkaingia majaribuni; roho i radhi, lakini mwili ni dhaifu.

Omba msaada wa Mungu kukusaidia kushinda tamaa za mwili, maandiko matakatifu yanasema hatuwezi Kuushinda Mwili Kwa Sheria pekee yake tunaitaji msaada wa Mungu

Yesu wakati anaelekea msalabani akimwomba Mungu msaada Kwa sababu mwili ukikataa kwenda msalabani Akamwambia Mungu Roho I radhi Ila mwili ni dhaifu

Unapokutana na vita vya mwili mwambie Mungu kwamba umefika mahali unaona kabsa tamaa za mwili zinaelekea kukushinda omba msaada wa Mungu kwa sala hii mwili ni dhaifu Ila roho I radhi Mungu akushindie vita vya mwili


MBINU 3
2 Timotheo 2:22 Lakini zikimbie tamaa za ujanani; ukafuate haki, na imani, na upendo, na amani, pamoja na wale wamwitao Bwana kwa moyo safi.

Kukimbia Tamaa za Mwili
Hepuka watu , makundi au mazungumzo mabaya, maandiko matakatifu yanasema mazungomzo mabaya uharibu tabia njema, chumba hunoa Chuma ndivyo MTU anoavyo uso wa rafiki yake

1 Wakorintho 15:33 Msidanganyike; Mazungumzo mabaya huharibu tabia njema.
 
"Mwili unataka ufuate matakwa yake"

"Roho nae anataka ufuate matakwa yake"
Kwa mkanganyiko huu kushinda matakwa ya mwili bas inakupasa uwe na Ushirika nzuri na Mungu ,

Kinyume na hapo kuanguka kwako kutakuwa ni mara Kwa mara
Hakika tunahitaji kuishi kufuata kanuni za Mungu ili tuweze kushinda
 
UTANGULIZI
Maandiko matakatifu yanasema mwili wa mwanadamu hauwezi kumpendeza Mungu, maana mwili hauokoki na hauna ajenda za kwenda mbinguni ndio maana waufuatao mwili wamefarakana na Mungu

Njia za Kuushinda Mwili
Mithali 29:18 Pasipo maono, watu huacha kujizuia; Bali ana heri mtu yule aishikaye sheria.

Njia ya Kwanza
Kuwa Mtu Mwenye maono,maono ni picha ya ndani ambayo Mtu anakuwa nayo juu ya kesho yake

Sifa za maono
Maono yanasifa zifuatazo :-
Maono yanatengeza Sheria, Sheria ni taratibu ambazo zinaweka Kwa lengo la kutengeneza aina flani ya Maisha ambayo mtunga Sheria anataka

Maono yoyote lazima kulindwa na Sheria, ili yawe maono Kwa sababu pasipo Sheria watu uhacha kujizuia maana yake watu wanakwenda pasipo utaratibu

Sheria ya mwili
Ili uweze kuhushinda mwili lazima uwe na Sheria ambayo itasimama Kwa lengo la kulinda maono yako ya kutokumtenda Mungu dhambi

Sheria ambayo unatakiwa kuwa nayo moyoni mwako Kwanza weka Sheria ya kutokumtenda Mungu dhambi kupitia mwili wako

Ukiwa na Sheria ndani ya Moyo wako kutakapo tokea kishawishi cha kukushawishi kumtenda Mungu dhambi kwakupitia mwili wako utajikuta ndani yako unabanwa na hiyo Sheria

Wakati Yusufu anabembelezwa na mke wa potifa alale naye Yusufu alikumbuka ile Sheria ambayo aliweka moyoni mwake ya kutokumtenda Mungu dhambi , na hiyo Sheria ikamkumbusha Moyo wake Akamwambia Yule mama kwamba hawezi kumtenda Mungu dhambi Kwa kulala naye

Sheria ya pil
Weka Sheria ya kutokumkosea mwenzi wako, Biblia inasema hauwezi kumpenda Mungu kama haumpendi jirani yako, Kwa hiyo ili upendo wako kwa Mungu uonekana Kwanza lazima kumpenda jirani yako Kwanza

Unapokutana na jaribu la kumtenda Mungu dhambi Kwanza mkumbuka mkeo au mumeo na ufikiria kwamba mke/Mume wako kapewa taarifa kwamba umemsaliti

Weka picha Kwa mkeo ataskiaje kwamba umemsaliti ? Fikiria Kwa habari za mashemeji , mawifi na wakwe zako wakiskia tabia yako Kwa mkeo utajiskiaje? Watoto wako je ,? Au wazazi wako ,? Watajiskiaje kwamba kijana wao amekwenda kuwaaibisha?

Sheria ya Tatu
Kataa Imani potofu, kuna Imani ambazo ni Imani potofu kuna watu wanaamini kwamba mwanaume hawezi kuwa na mke mmoja ,we jisemehe moyoni kwamba Mimi sitakuwa kundi la hao Ambao hawawezi kuwa na mke mmoja

Maandiko matakatifu yanasema Imani huja Kwa kusikia, ukiamini kwamba mwanaume hawezi kuwa na mke mmoja utajikuta umehanguka kwenye Hilo kundi la wanaume wenye michepuko

Unapoweka Imani moyoni mwako Mungu anakutengenezea mazingira ya kukutenga na watu, utakuwa katika mazingira ambayo yatakubana uingie kwenye michepuko utashangaa Mungu anakutetea

Ulishawai kwenda Katika maeneo ambayo uko mbali na familia na hakuna ambaye anakuona na uko na wenzako wanakushawishi Kwa kila njia na michepuko ghafla unaskia mmoja wao anakwambia mwacheni huyo ni mlokole? Ujue Mungu anaingilia Kati kwenye majaribu ambayo yangekuangusha Ila Mungu anakutetea ? Mungu ni mwaminifu Sana weka Imani kwake

MBINU 2
Mathayo 26:41Kesheni, mwombe, msije mkaingia majaribuni; roho i radhi, lakini mwili ni dhaifu.

Omba msaada wa Mungu kukusaidia kushinda tamaa za mwili, maandiko matakatifu yanasema hatuwezi Kuushinda Mwili Kwa Sheria pekee yake tunaitaji msaada wa Mungu

Yesu wakati anaelekea msalabani akimwomba Mungu msaada Kwa sababu mwili ukikataa kwenda msalabani Akamwambia Mungu Roho I radhi Ila mwili ni dhaifu

Unapokutana na vita vya mwili mwambie Mungu kwamba umefika mahali unaona kabsa tamaa za mwili zinaelekea kukushinda omba msaada wa Mungu kwa sala hii mwili ni dhaifu Ila roho I radhi Mungu akushindie vita vya mwili


MBINU 3
2 Timotheo 2:22 Lakini zikimbie tamaa za ujanani; ukafuate haki, na imani, na upendo, na amani, pamoja na wale wamwitao Bwana kwa moyo safi.

Kukimbia Tamaa za Mwili
Hepuka watu , makundi au mazungumzo mabaya, maandiko matakatifu yanasema mazungomzo mabaya uharibu tabia njema, chumba hunoa Chuma ndivyo MTU anoavyo uso wa rafiki yake

1 Wakorintho 15:33 Msidanganyike; Mazungumzo mabaya huharibu tabia njema.
Andiko zuri sana asubuhi hii. Jumapili njema
 
Huwezi ku control nature, manabii na mitume walishindwa na isitoshe wanawake ni wengi kuliko wanaume je wanaozidi hilo hitaji la mwili watalipata wapi
 
Hepuka vijiwe vya mazungumzo mabaya, kuna watu wanapenda kusikiliza Mambo ya chumbani , ni hatari Sana kusikiliza Mambo ya chumbani ,kwani Imani inakuja kwa kusikia

Kadiri unavyoskia ndivyo unavyoshawishika na unaweza kujikuta umeingia kwenye mtego, ndio maana hepuka makundi au vijiwe vya Mambo ya chumbani

Mungu anasema na Sisi, ukiwa kwenye vijiwe pia hata kwenye mitandao hepuka kusoma Mambo ya chumbani maneno yanaroho unaweza kujikuta unavutwa Tu na kile unachoskia au kuona mwishoe unaingiwa na ushawishi wa dhambi

MBINU 4
Utese mwili

1 Wakorintho 9:27 bali nautesa mwili wangu na kuutumikisha; isiwe, nikiisha kuwahubiri wengine, mwenyewe niwe mtu wa


Mwili unatakiwa kutesa kwa mazoezi au Kwa kufunga, kadiri mwili wako unavyokuwa na nguvu ndivyo tamaa ya mwili ina kuwa kubwa, unapofunga hata masaa12 mwili unakuwa dhaifu na Roho yako unapata nguvu

Fanya jaribio siku ukiwa kwenye jaribu la mwili we hacha Kula chakula cha mchana au asubuhi huone kama mwili wako hautajirudi , tengeneza Tabia ya kufunga mara kwa mara itakusaidia kuhushinda mwili
 
1 Timotheo 5:6
[6]Bali, yeye asiyejizuia nafsi yake amekufa ingawa yu hai.

Kama wanyama ambao hawakupewa akili za mwanadamu wanao uwezo wa kucontrol tamaa za mwili Zao inakuwaje mwanadamu ambaye amepewa akili asiweze kushinda taamaa za mwili?

Ukiona tamaa za mwili zinakushinda ujue tayari akili zako zimevamia Anza kutengeneza akili zako maana kazi ya Shetani ni kupofusha fikra za watu

Tito 1:15
[15]Vitu vyote ni safi kwa hao walio safi; lakini hakuna kilicho safi kwao walio wanajisi, wasioamini; bali akili zao zimekuwa najisi, na nia zao pia.

Mithali 6:32 Mtu aziniye na mwanamke hana akili kabisa;
Afanya jambo litakalomwangamiza nafsi yake.
.
 
Binafsi nilichoamua kukwepa tamaa hasa ya ngono ni kutokuwa na Mawasiliano na mwanamke yeyote ambae sina umuhimu nae, utani na mwanamke ambae najua anaweza kunitega na nikaingia, kutokuwa na mwanamke anaeweza kuvaa nguo isiyo na staha, mda mwingi kuwa busy na mitandao ambayo haivuki sana swala la maadili na kufolow watu wa hovyo sitaki, mimi mpaka nikufolow ujue nimejiridhisha hupost ujinga.

Nyumbani kwangu marafiki wa mke wangu sina mazoea nao na sitaki waijue hata namba yangu ya simu, binti wa kazi anavaa vizuri na sitaki mazoea nae abaki kama mtoto tu kwangu, njiani kama nina usafiri wangu sikupi lifti mwanamke kama umevaa ovyo hapo hata kama ulie vipi sitakuelewa.

Sina marafiki ambao mda mwingi wana story za ngono na siwataki kabisaa nyumbani kwangu rafiki mpaka nikukaribishe ujue nimekupitisha kwenye chujio na kuona unafaa, matumizi ya TV nyumbani channel zaidi na dini na michezo kama za Azam ila move hatuweki.
 
UTANGULIZI
Maandiko matakatifu yanasema mwili wa mwanadamu hauwezi kumpendeza Mungu, maana mwili hauokoki na hauna ajenda za kwenda mbinguni ndio maana waufuatao mwili wamefarakana na Mungu

Njia za Kuushinda Mwili
Mithali 29:18 Pasipo maono, watu huacha kujizuia; Bali ana heri mtu yule aishikaye sheria.

Njia ya Kwanza
Kuwa Mtu Mwenye maono,maono ni picha ya ndani ambayo Mtu anakuwa nayo juu ya kesho yake

Sifa za maono
Maono yanasifa zifuatazo :-
Maono yanatengeza Sheria, Sheria ni taratibu ambazo zinaweka Kwa lengo la kutengeneza aina flani ya Maisha ambayo mtunga Sheria anataka

Maono yoyote lazima kulindwa na Sheria, ili yawe maono Kwa sababu pasipo Sheria watu uhacha kujizuia maana yake watu wanakwenda pasipo utaratibu

Sheria ya mwili
Ili uweze kuhushinda mwili lazima uwe na Sheria ambayo itasimama Kwa lengo la kulinda maono yako ya kutokumtenda Mungu dhambi

Sheria ambayo unatakiwa kuwa nayo moyoni mwako Kwanza weka Sheria ya kutokumtenda Mungu dhambi kupitia mwili wako

Ukiwa na Sheria ndani ya Moyo wako kutakapo tokea kishawishi cha kukushawishi kumtenda Mungu dhambi kwakupitia mwili wako utajikuta ndani yako unabanwa na hiyo Sheria

Wakati Yusufu anabembelezwa na mke wa potifa alale naye Yusufu alikumbuka ile Sheria ambayo aliweka moyoni mwake ya kutokumtenda Mungu dhambi , na hiyo Sheria ikamkumbusha Moyo wake Akamwambia Yule mama kwamba hawezi kumtenda Mungu dhambi Kwa kulala naye

Sheria ya pil
Weka Sheria ya kutokumkosea mwenzi wako, Biblia inasema hauwezi kumpenda Mungu kama haumpendi jirani yako, Kwa hiyo ili upendo wako kwa Mungu uonekana Kwanza lazima kumpenda jirani yako Kwanza

Unapokutana na jaribu la kumtenda Mungu dhambi Kwanza mkumbuka mkeo au mumeo na ufikiria kwamba mke/Mume wako kapewa taarifa kwamba umemsaliti

Weka picha Kwa mkeo ataskiaje kwamba umemsaliti ? Fikiria Kwa habari za mashemeji , mawifi na wakwe zako wakiskia tabia yako Kwa mkeo utajiskiaje? Watoto wako je ,? Au wazazi wako ,? Watajiskiaje kwamba kijana wao amekwenda kuwaaibisha?

Sheria ya Tatu
Kataa Imani potofu, kuna Imani ambazo ni Imani potofu kuna watu wanaamini kwamba mwanaume hawezi kuwa na mke mmoja ,we jisemehe moyoni kwamba Mimi sitakuwa kundi la hao Ambao hawawezi kuwa na mke mmoja

Maandiko matakatifu yanasema Imani huja Kwa kusikia, ukiamini kwamba mwanaume hawezi kuwa na mke mmoja utajikuta umehanguka kwenye Hilo kundi la wanaume wenye michepuko

Unapoweka Imani moyoni mwako Mungu anakutengenezea mazingira ya kukutenga na watu, utakuwa katika mazingira ambayo yatakubana uingie kwenye michepuko utashangaa Mungu anakutetea

Ulishawai kwenda Katika maeneo ambayo uko mbali na familia na hakuna ambaye anakuona na uko na wenzako wanakushawishi Kwa kila njia na michepuko ghafla unaskia mmoja wao anakwambia mwacheni huyo ni mlokole? Ujue Mungu anaingilia Kati kwenye majaribu ambayo yangekuangusha Ila Mungu anakutetea ? Mungu ni mwaminifu Sana weka Imani kwake

MBINU 2
Mathayo 26:41Kesheni, mwombe, msije mkaingia majaribuni; roho i radhi, lakini mwili ni dhaifu.

Omba msaada wa Mungu kukusaidia kushinda tamaa za mwili, maandiko matakatifu yanasema hatuwezi Kuushinda Mwili Kwa Sheria pekee yake tunaitaji msaada wa Mungu

Yesu wakati anaelekea msalabani akimwomba Mungu msaada Kwa sababu mwili ukikataa kwenda msalabani Akamwambia Mungu Roho I radhi Ila mwili ni dhaifu

Unapokutana na vita vya mwili mwambie Mungu kwamba umefika mahali unaona kabsa tamaa za mwili zinaelekea kukushinda omba msaada wa Mungu kwa sala hii mwili ni dhaifu Ila roho I radhi Mungu akushindie vita vya mwili


MBINU 3
2 Timotheo 2:22 Lakini zikimbie tamaa za ujanani; ukafuate haki, na imani, na upendo, na amani, pamoja na wale wamwitao Bwana kwa moyo safi.

Kukimbia Tamaa za Mwili
Hepuka watu , makundi au mazungumzo mabaya, maandiko matakatifu yanasema mazungomzo mabaya uharibu tabia njema, chumba hunoa Chuma ndivyo MTU anoavyo uso wa rafiki yake

1 Wakorintho 15:33 Msidanganyike; Mazungumzo mabaya huharibu tabia njema.
Mbinu 3
Andiko linaongelea tamaa za ujanani lakini wewe umeishia kufafanua juu ya tamaa za mwili.
Tamaa za ujanani zinawatesa sana wachungaji wa siku hizi. Wanapenda ufahari katika mavazi, magari, majumba, safari za maeneo ya anasa, wanapenda kuwa wanasiasa, kubadilisha mademu na mambo yote ambayo vijana wanayependa.
 
Binafsi nilichoamua kukwepa tamaa hasa ya ngono ni kutokuwa na Mawasiliano na mwanamke yeyote ambae sina umuhimu nae, utani na mwanamke ambae najua anaweza kunitega na nikaingia, kutokuwa na mwanamke anaeweza kuvaa nguo isiyo na staha, mda mwingi kuwa busy na mitandao ambayo haivuki sana swala la maadili na kufolow watu wa hovyo sitaki, mimi mpaka nikufolow ujue nimejiridhisha hupost ujinga.

Nyumbani kwangu marafiki wa mke wangu sina mazoea nao na sitaki waijue hata namba yangu ya simu, binti wa kazi anavaa vizuri na sitaki mazoea nae abaki kama mtoto tu kwangu, njiani kama nina usafiri wangu sikupi lifti mwanamke kama umevaa ovyo hapo hata kama ulie vipi sitakuelewa.

Sina marafiki ambao mda mwingi wana story za ngono na siwataki kabisaa nyumbani kwangu rafiki mpaka nikukaribishe ujue nimekupitisha kwenye chujio na kuona unafaa, matumizi ya TV nyumbani channel zaidi na dini na michezo kama za Azam ila move hatuweki.
Unaishi maisha matakatifu ya hali ya juu.
Highest level of discipline.
 
UTANGULIZI
Maandiko matakatifu yanasema mwili wa mwanadamu hauwezi kumpendeza Mungu, maana mwili hauokoki na hauna ajenda za kwenda mbinguni ndio maana waufuatao mwili wamefarakana na Mungu

Njia za Kuushinda Mwili
Mithali 29:18 Pasipo maono, watu huacha kujizuia; Bali ana heri mtu yule aishikaye sheria.

Njia ya Kwanza
Kuwa Mtu Mwenye maono,maono ni picha ya ndani ambayo Mtu anakuwa nayo juu ya kesho yake

Sifa za maono
Maono yanasifa zifuatazo :-
Maono yanatengeza Sheria, Sheria ni taratibu ambazo zinaweka Kwa lengo la kutengeneza aina flani ya Maisha ambayo mtunga Sheria anataka

Maono yoyote lazima kulindwa na Sheria, ili yawe maono Kwa sababu pasipo Sheria watu uhacha kujizuia maana yake watu wanakwenda pasipo utaratibu

Sheria ya mwili
Ili uweze kuhushinda mwili lazima uwe na Sheria ambayo itasimama Kwa lengo la kulinda maono yako ya kutokumtenda Mungu dhambi

Sheria ambayo unatakiwa kuwa nayo moyoni mwako Kwanza weka Sheria ya kutokumtenda Mungu dhambi kupitia mwili wako

Ukiwa na Sheria ndani ya Moyo wako kutakapo tokea kishawishi cha kukushawishi kumtenda Mungu dhambi kwakupitia mwili wako utajikuta ndani yako unabanwa na hiyo Sheria

Wakati Yusufu anabembelezwa na mke wa potifa alale naye Yusufu alikumbuka ile Sheria ambayo aliweka moyoni mwake ya kutokumtenda Mungu dhambi , na hiyo Sheria ikamkumbusha Moyo wake Akamwambia Yule mama kwamba hawezi kumtenda Mungu dhambi Kwa kulala naye

Sheria ya pil
Weka Sheria ya kutokumkosea mwenzi wako, Biblia inasema hauwezi kumpenda Mungu kama haumpendi jirani yako, Kwa hiyo ili upendo wako kwa Mungu uonekana Kwanza lazima kumpenda jirani yako Kwanza

Unapokutana na jaribu la kumtenda Mungu dhambi Kwanza mkumbuka mkeo au mumeo na ufikiria kwamba mke/Mume wako kapewa taarifa kwamba umemsaliti

Weka picha Kwa mkeo ataskiaje kwamba umemsaliti ? Fikiria Kwa habari za mashemeji , mawifi na wakwe zako wakiskia tabia yako Kwa mkeo utajiskiaje? Watoto wako je ,? Au wazazi wako ,? Watajiskiaje kwamba kijana wao amekwenda kuwaaibisha?

Sheria ya Tatu
Kataa Imani potofu, kuna Imani ambazo ni Imani potofu kuna watu wanaamini kwamba mwanaume hawezi kuwa na mke mmoja ,we jisemehe moyoni kwamba Mimi sitakuwa kundi la hao Ambao hawawezi kuwa na mke mmoja

Maandiko matakatifu yanasema Imani huja Kwa kusikia, ukiamini kwamba mwanaume hawezi kuwa na mke mmoja utajikuta umehanguka kwenye Hilo kundi la wanaume wenye michepuko

Unapoweka Imani moyoni mwako Mungu anakutengenezea mazingira ya kukutenga na watu, utakuwa katika mazingira ambayo yatakubana uingie kwenye michepuko utashangaa Mungu anakutetea

Ulishawai kwenda Katika maeneo ambayo uko mbali na familia na hakuna ambaye anakuona na uko na wenzako wanakushawishi Kwa kila njia na michepuko ghafla unaskia mmoja wao anakwambia mwacheni huyo ni mlokole? Ujue Mungu anaingilia Kati kwenye majaribu ambayo yangekuangusha Ila Mungu anakutetea ? Mungu ni mwaminifu Sana weka Imani kwake

MBINU 2
Mathayo 26:41Kesheni, mwombe, msije mkaingia majaribuni; roho i radhi, lakini mwili ni dhaifu.

Omba msaada wa Mungu kukusaidia kushinda tamaa za mwili, maandiko matakatifu yanasema hatuwezi Kuushinda Mwili Kwa Sheria pekee yake tunaitaji msaada wa Mungu

Yesu wakati anaelekea msalabani akimwomba Mungu msaada Kwa sababu mwili ukikataa kwenda msalabani Akamwambia Mungu Roho I radhi Ila mwili ni dhaifu

Unapokutana na vita vya mwili mwambie Mungu kwamba umefika mahali unaona kabsa tamaa za mwili zinaelekea kukushinda omba msaada wa Mungu kwa sala hii mwili ni dhaifu Ila roho I radhi Mungu akushindie vita vya mwili


MBINU 3
2 Timotheo 2:22 Lakini zikimbie tamaa za ujanani; ukafuate haki, na imani, na upendo, na amani, pamoja na wale wamwitao Bwana kwa moyo safi.

Kukimbia Tamaa za Mwili
Hepuka watu , makundi au mazungumzo mabaya, maandiko matakatifu yanasema mazungomzo mabaya uharibu tabia njema, chumba hunoa Chuma ndivyo MTU anoavyo uso wa rafiki yake

1 Wakorintho 15:33 Msidanganyike; Mazungumzo mabaya huharibu tabia njema.
Nimebarikiwa sana na mstar unaosema mazungumzo mabaya huaribu tabia , kwasababu kupitia haya mazungumzo ya wanaume kutoridhika na mwanamke mmoja huweza kugeuza mioyo ya wanandoa kuona kwamba hata mm naweza chiti kwasababu hata mwenzang nae anamfanya hivyo kwahy na yy anatuliza machungu hata kama hajaliona jambo ..kwamba ya nn kujibana wakat wanaume wenyew hawajali..

Pia hata kujali kunapungua kwamba hata nifanyeje hatoridhika , ana wengine weng tu , ww jipende jijali na wanao ... Hivyo inaleta ubinafs na kwenda kinyume na amri ya Mungu.

Tatu ,mbali na kusikia maneno mabaya , tamaa za kimwili zimekuwa zikiharibu familia zetu ...watu wanauwana na kujiua, watoto wanabaki yatima, upendo unatoweka, vita vya Kila siku na magonjwa , hii yote ni kutokana na kukosekana Kwa Sheria kama alivyosema mtoa Mada.

Jumapili njema.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom