Hivi utabakwaje kwenye simu.
Unakuta mwanaume humjui anakutongoza kwenye simu unakubali hivi hii ni akili kweli.Halafu unakuja kubakwa hivi utamlaumu nani.
Sidhani kama wanakubaliana kwenye simu bali simu ndio mwanzo wa kujuana na kukutana... kwahiyo makubaliano yanakuja baada ya kukutana au?Unakuta mwanaume humjui anakutongoza kwenye simu unakubali hivi hii ni akili kweli.
Halafu unakuja kubakwa hivi utamlaumu nani.
Nimeshawala Dada zako kama wa 3 hivi kwa style hiiiUnakuta mwanaume humjui anakutongoza kwenye simu unakubali hivi hii ni akili kweli.
Halafu unakuja kubakwa hivi utamlaumu nani.
Hivi utabakwaje kwenye simu.
I see me napita tu sijui hata nilikuwa natafuta nini...Nimeshawala Dada zako kama wa 3 hivi kwa style hiii
mhh kuna kabinti kalitongozwa kwenye simu mambo ya wrong number sijui nini....kakatumiwa ticket ya ndege kakatoroka kwao mpaka Mwanza kakamkuta jamaa mfupi kama vile viwatu vinavyouzwa Naigeria kwenye chupa!
Unakuta mwanaume humjui anakutongoza kwenye simu unakubali hivi hii ni akili kweli.
Halafu unakuja kubakwa hivi utamlaumu nani.
hahahaahahahahah hajatulia huyo....kwani yeye alidhani anaongea nani jamani au ndon yale mambo ya sauti basi unaona mtu bonge la mrembo akitokea dada kiboga kasingiziwa!Kuna jamaa yangu alikuwa anaongea na demu kwenye simu ila siku wanaenda kukutana kimacho na kimwili alijificha kwanza amdhaminishe alivyomuona halipi akala kona na simu akazima!
hahahaahahahahah hajatulia huyo....kwani yeye alidhani anaongea nani jamani au ndon yale mambo ya sauti basi unaona mtu bonge la mrembo akitokea dada kiboga kasingiziwa!
hahahahaahhahha weye hii story wataka kunipa gheto du...nakuogopa sokomoko!Yaani demu ni mkenya anaongea English safi balaa mie nikamshauri kuwa abane kwanza asiingie kichwa kichwa! ukija gheto nitakupa hiyo stori vizuri we nikumbushe tu.
Yaani demu ni mkenya anaongea English safi balaa mie nikamshauri kuwa abane kwanza asiingie kichwa kichwa! ukija gheto nitakupa hiyo stori vizuri we nikumbushe tu.