Salaam,Shalom!!
Hizi TABIA za kuiga Kila kitu ni mbaya sana, zamani pens na vest za mikono wazi ilikuwa MARUFUKU kuonekana mzazi amevaa nje ya chumba chake,
Hivi sasa mnaangalia kwenye movies na trends za kidunia na kuanza kuvaa vikaptula na kuzurura barabarani, mnaudhi sana.
TABIA za ukosefu wa Maadili huanza Polepole, baba mzazi au kaka mwenye dada zako unapozurura na pens juu ya magoti, utapata wapi ujasiri wa kumwambia dadako au mwanao ajisitiri Kwa mavazi ya Heshima?
Yaani unakuta Mwanaume kavaa kipens juu ya magoti, kimebana nyeti zote, makalio yamejichoraaaa!!!
Acheni TABIA hizi mara Moja Ili mjitofautishe na MASHOGA.
NB: Wanawake piteni kimya, maana hiki ni kikao Cha kiumeni , tunarekebishana.
Ni hayo tu!!
Hizi TABIA za kuiga Kila kitu ni mbaya sana, zamani pens na vest za mikono wazi ilikuwa MARUFUKU kuonekana mzazi amevaa nje ya chumba chake,
Hivi sasa mnaangalia kwenye movies na trends za kidunia na kuanza kuvaa vikaptula na kuzurura barabarani, mnaudhi sana.
TABIA za ukosefu wa Maadili huanza Polepole, baba mzazi au kaka mwenye dada zako unapozurura na pens juu ya magoti, utapata wapi ujasiri wa kumwambia dadako au mwanao ajisitiri Kwa mavazi ya Heshima?
Yaani unakuta Mwanaume kavaa kipens juu ya magoti, kimebana nyeti zote, makalio yamejichoraaaa!!!
Acheni TABIA hizi mara Moja Ili mjitofautishe na MASHOGA.
NB: Wanawake piteni kimya, maana hiki ni kikao Cha kiumeni , tunarekebishana.
Ni hayo tu!!