Warlock
JF-Expert Member
- Apr 2, 2010
- 813
- 108
1. Kudowea chakula cha mtoto.
2. Kufungulia radio sauti ya juu.
3. Kugawa mafuta,unga,sukari.
4. Kuchelewesha kupika chakula.
5. Kuingiza vibwana ukiondoka.
6. Kupita na khanga moja mbele ya baba.
7. Kutoa harufu ya majasho.
8. ........
9. ..........
Mmmmh ni hivi kweli?