Tabia za kike kwa baadhi ya wanaume - dalili

Thanks mwana

wajuvi walishagundua... ngoja tu yatareveal yote, nasubiri tu

two down a few more to go

BTW, FF is avoiding me and one can know alot by just checking the login time of your suspects

LOL

Bro, you know me... freedom of choice must be defended!!


Time of posting, Yes. Logging times, very iffy - Easily circumvented by minor tools!!!! Trus' me bredrin, 'know this issh in 'n out...
 
Na wanawake wenye majina ya kiume nao vipi?!!Mkuu MTM, lakini hapa si tunasema tunafata hoja za members na siyo nani anayechangia, au..??Kama ni muhimu kutambuana kwa jinsia, vipi characteristics nyingine za maumbile na asilia kama - umri, kabila, rangi, urefu, n.k... je nazo zitakuwa muhimu kuzitambua?!Wakuu mmejikuta mnasarandia madume nini... lol :)
Aseee!Tafakari, chukua hatua'
 
Hahahaha...MTM punguza uchokozi bro!
dogo... we acha tu, sometimes wanakosea wengine unakuta anamjibia mwenzake

kazi utakua... "last edited by" ujue tayari movie iliingia maji

funny though
 
Naskia hata ile ya wanaume wazima kuwa na ID za kike hapa JF ni very strong indication kwamba jamaa ana chembechembe nyingiza kike na zikipata trigger kama vile exposure to mashoga au mabasha nk yaweza kumgeuza kabisa mtu wa namna hiyo

Ni sawa na ile ya watoto wadogo wa kiume waliokua wanapenda sana kusuka, kupaka rangi ya kucha, kuvaa magauni na urembo.... nimesoma sehemu kwamba viashiria hivi hutumika sana huko majuu kuanza kuwatambua watu wenye potential ya hiyo orientation and to recruit them especially during high schools, na ndio maana wengi huanza na magelofriends kabla ya kubadili timu

Yawezekana kabisa watu hawajijui, lakini kindanindani wanavutiwa kuwa jinsia mbadala

nawakilisha and no harm intended

Walete niwafanyie Maombi
 
dogo... we acha tu, sometimes wanakosea wengine unakuta anamjibia mwenzakekazi utakua... "last edited by" ujue tayari movie iliingia majifunny though
Hahahhah...kweli RAHA YA UONGO KUMBUKUMBU!!Alafu hivi vimethali vya kizushi sijui vinanijia kutoka wapi leo!!
 
mchungaji masanilo (bahati mbaya yupo kifungoni) aliwahi kukiri ana Id`s sita humu JF nyingine za kike... na kuna wazinzi wanarusha ndoano.... kaaz kweli kweli
 
baelezeye mkuu, wengine twawajua ati'
Uzoefu unaonesha kwamba wale wanaume wanaopenda kujidai "rijali" na kutumia mabavu mabavu ndiyo chakula rahiiisi kwelikweli. Kelele zote ni kujaribu ku cover up huo u-bwabwa walio nao. Hapa yawezekana hata mtoa mada akawa chochote. Inatia shaka
 
Naskia hata ile ya wanaume wazima kuwa na ID za kike hapa JF ni very strong indication kwamba jamaa ana chembechembe nyingiza kike na zikipata trigger kama vile exposure to mashoga au mabasha nk yaweza kumgeuza kabisa mtu wa namna hiyo

Ni sawa na ile ya watoto wadogo wa kiume waliokua wanapenda sana kusuka, kupaka rangi ya kucha, kuvaa magauni na urembo.... nimesoma sehemu kwamba viashiria hivi hutumika sana huko majuu kuanza kuwatambua watu wenye potential ya hiyo orientation and to recruit them especially during high schools, na ndio maana wengi huanza na magelofriends kabla ya kubadili timu

Yawezekana kabisa watu hawajijui, lakini kindanindani wanavutiwa kuwa jinsia mbadala

nawakilisha and no harm intended

heheeh kamanda kula tano!

kuna siku kuna kajamaa (jina lake la kike tunalo), kalijileta PM yangu na hata kapost kamoja hakana ukumbini, halaf PM yake ya kwanza eti kananiambia "honey leo nimevaa kufuli la pinki ,unataka kuliona?" (mwsho wa kunukuu),khaaaa! mtu mzima nikapima na kubalance nikaona hili kama si b w a b w a basi ni changa la macho. hehehe Nashkuru mungu alinipa ujasiri wa kuliignore yeye na kufuli lake la pinki.

Conclusion:

Kwangu mimi haiingii akilini mwanaume rijali kujibebesha ID la kike.
nimemaliza
 
Uzoefu unaonesha kwamba wale wanaume wanaopenda kujidai "rijali" na kutumia mabavu mabavu ndiyo chakula rahiiisi kwelikweli. Kelele zote ni kujaribu ku cover up huo u-bwabwa walio nao. Hapa yawezekana hata mtoa mada akawa chochote. Inatia shaka
Yeahhh kama wewe unavyotia shaka....
 
Kloro hujambo?!Kazi umepata?!Kwa rafiki yako umehama?!Leo umekula?!Nauliza kwasababu najali....missed ya!!
Khaaaa! inaonekana hata BBC haupati kwenye TV yako? angalia BBC mama itajibu kwa niaba yangu. mimi sio mswahili tena bana, hapa naandika kiswahili ili kumpa ujiko nyerere tu
 
Back
Top Bottom