Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 30,808
- 59,358
We unadhani starehe?!Tongozwa ni usumbufu?
We unadhani starehe?!Tongozwa ni usumbufu?
We unadhani starehe?!
Hahahaha...asante kwa msamiati mpya.Ngoja nitafute wa kumwambia unajiona utafika sana ehhhh...?hapo ndio huwa napapenda kumchallenge mtu ambae nahisi anajifanyisha tutafika.
Heheehe...kwanza umejuaje?!Au na wewe hua unatongozwa?!Sana kama kula cone za Bakheresa..
Thanks mwana
wajuvi walishagundua... ngoja tu yatareveal yote, nasubiri tu
two down a few more to go
BTW, FF is avoiding me and one can know alot by just checking the login time of your suspects
LOL
Aseee!Tafakari, chukua hatua'Na wanawake wenye majina ya kiume nao vipi?!!Mkuu MTM, lakini hapa si tunasema tunafata hoja za members na siyo nani anayechangia, au..??Kama ni muhimu kutambuana kwa jinsia, vipi characteristics nyingine za maumbile na asilia kama - umri, kabila, rangi, urefu, n.k... je nazo zitakuwa muhimu kuzitambua?!Wakuu mmejikuta mnasarandia madume nini... lol
Hahahaha...asante kwa msamiati mpya.Ngoja nitafute wa kumwambia "unajiona utafika sana ehhhh...?"
I thought so!Napita, no harm intended!Aprakata Tumba, tumba!We unadhani starehe?!
Naskia hata ile ya wanaume wazima kuwa na ID za kike hapa JF ni very strong indication kwamba jamaa ana chembechembe nyingiza kike na zikipata trigger kama vile exposure to mashoga au mabasha nk yaweza kumgeuza kabisa mtu wa namna hiyo
Ni sawa na ile ya watoto wadogo wa kiume waliokua wanapenda sana kusuka, kupaka rangi ya kucha, kuvaa magauni na urembo.... nimesoma sehemu kwamba viashiria hivi hutumika sana huko majuu kuanza kuwatambua watu wenye potential ya hiyo orientation and to recruit them especially during high schools, na ndio maana wengi huanza na magelofriends kabla ya kubadili timu
Yawezekana kabisa watu hawajijui, lakini kindanindani wanavutiwa kuwa jinsia mbadala
nawakilisha and no harm intended
Hahahhah...kweli RAHA YA UONGO KUMBUKUMBU!!Alafu hivi vimethali vya kizushi sijui vinanijia kutoka wapi leo!!dogo... we acha tu, sometimes wanakosea wengine unakuta anamjibia mwenzakekazi utakua... "last edited by" ujue tayari movie iliingia majifunny though
Mmmh!Owkeyyy!I thought so!Napita, no harm intended!Aprakata Tumba, tumba!
Hili nalo neno jama!!! Kuna wanaoweka avatar za ajabu kabisa,, basi tutoe conclusion kwamba kila anayeweka avatar, ajue kwamba ana tabia za jinsi hiyo. Ni hilo tuna wanaoweka avatar ya wanyama ...dalili /wanaashiria nin?
Uzoefu unaonesha kwamba wale wanaume wanaopenda kujidai "rijali" na kutumia mabavu mabavu ndiyo chakula rahiiisi kwelikweli. Kelele zote ni kujaribu ku cover up huo u-bwabwa walio nao. Hapa yawezekana hata mtoa mada akawa chochote. Inatia shakabaelezeye mkuu, wengine twawajua ati'
Naskia hata ile ya wanaume wazima kuwa na ID za kike hapa JF ni very strong indication kwamba jamaa ana chembechembe nyingiza kike na zikipata trigger kama vile exposure to mashoga au mabasha nk yaweza kumgeuza kabisa mtu wa namna hiyo
Ni sawa na ile ya watoto wadogo wa kiume waliokua wanapenda sana kusuka, kupaka rangi ya kucha, kuvaa magauni na urembo.... nimesoma sehemu kwamba viashiria hivi hutumika sana huko majuu kuanza kuwatambua watu wenye potential ya hiyo orientation and to recruit them especially during high schools, na ndio maana wengi huanza na magelofriends kabla ya kubadili timu
Yawezekana kabisa watu hawajijui, lakini kindanindani wanavutiwa kuwa jinsia mbadala
nawakilisha and no harm intended
Yeahhh kama wewe unavyotia shaka....Uzoefu unaonesha kwamba wale wanaume wanaopenda kujidai "rijali" na kutumia mabavu mabavu ndiyo chakula rahiiisi kwelikweli. Kelele zote ni kujaribu ku cover up huo u-bwabwa walio nao. Hapa yawezekana hata mtoa mada akawa chochote. Inatia shaka
heehehehe huyu ndio Lizzy bana.Yeahhh kama wewe unavyotia shaka....
Kloro hujambo?!Kazi umepata?!Kwa rafiki yako umehama?!Leo umekula?!Nauliza kwasababu najali....missed ya!!heehehehe huyu ndio Lizzy bana.
Khaaaa! inaonekana hata BBC haupati kwenye TV yako? angalia BBC mama itajibu kwa niaba yangu. mimi sio mswahili tena bana, hapa naandika kiswahili ili kumpa ujiko nyerere tuKloro hujambo?!Kazi umepata?!Kwa rafiki yako umehama?!Leo umekula?!Nauliza kwasababu najali....missed ya!!