Wageni ni kina nani? maana mimi na wewe hatuna miezi 3 hapa.
Alafu Facebook ndio naona mtu akiwaza tu, anakimbilia kuandika ukutani: nimekerwa na hiki, nimekerwa na kile... bila kujali kama yamesha semwa au bado. nd that is what you are doing right now.
Ukiona lugha haieleweki wamesha sema report abuse mods washughulike. Akiona mara mbili mara tatu kakosolewa na PAW, reason: sms language, utaona mwenyewe anajirekebisha.
Invisible alisema katika thread yake ukiona lugha ya sms, report na mods watashughulika. thread yenyewe ipo stuck jukwaa hili hili. soma.eh, Mwali?
Abuse niliambiwaga ni kama mtu umetukanwa ivi, au mtu katoa lugha ya kitisho ama udhalilishaji, wala si hivi vijisarufi, jukumu hilo ameachiwa FF.
well said!Mada kama hii ilishakuwepo!! JF ina watu wengi, hatuwezi kufanana wote. Yasiyisomeka we yapite tu hamna haja ya kukereka.
naona kuna wageni wameingia jamvini hawajielewi. Kwanza wanaandika vifupi mpaka basi kama ni kiingereza andika YOU sio U na kama ni kiswahili andika kiswahili fasaha hatutaki kifupi wala mkorogo Mfano SASA anaandika XAXA mbadilike bhana.
kwenye red,hivyo ndio vitu gani?mswahili fasaha
Wageni ni kina nani? maana mimi na wewe hatuna miezi 3 hapa.
Alafu Facebook ndio naona mtu akiwaza tu, anakimbilia kuandika ukutani: nimekerwa na hiki, nimekerwa na kile... bila kujali kama yamesha semwa au bado. nd that is what you are doing right now.
Ukiona lugha haieleweki wamesha sema report abuse mods washughulike. Akiona mara mbili mara tatu kakosolewa na PAW, reason: sms language, utaona mwenyewe anajirekebisha.
gombea umod uwape BURN.
Wageni ni kina nani? maana mimi na wewe hatuna miezi 3 hapa.
Alafu Facebook ndio naona mtu akiwaza tu, anakimbilia kuandika ukutani: nimekerwa na hiki, nimekerwa na kile... bila kujali kama yamesha semwa au bado. nd that is what you are doing right now.
Ukiona lugha haieleweki wamesha sema report abuse mods washughulike. Akiona mara mbili mara tatu kakosolewa na PAW, reason: sms language, utaona mwenyewe anajirekebisha.
Mada kama hii ilishakuwepo!! JF ina watu wengi, hatuwezi kufanana wote. Yasiyisomeka we yapite tu hamna haja ya kukereka.
I poke u,Mx
Za Asubui,Mxwhat is Mx.
gombea umod uwape BURN.