Tabia za Facebook jamvini zinanikera

Dah! Hebu rudia lugha uliyotumia. Ni Kiswahili fasaha kweli?
Unaanza sentensi kwa herufi ndogo
Badala ya kuandika Kiingereza, umeandika kiingereza
Badala ya kuandika Kiswahili, umeandika kiswahili.
Huweki nukta mwisho wa sentensi.
"mbadilike bhana" ndio lugha fasaha? "bhana" maana ya nini?

Huu ni mfumo wa kuanza sentesi kwenye simu yangu wakati mwingine nasahau kubadili ili nianze na herufi kubwa umenipata?
 
naona kuna wageni wameingia jamvini hawajielewi. Kwanza wanaandika vifupi mpaka basi kama ni kiingereza andika YOU sio U na kama ni kiswahili andika kiswahili fasaha hatutaki kifupi wala mkorogo Mfano SASA anaandika XAXA mbadilike bhana.

ufupi wa maneno yalianza katika kutumia sms na sio facebook, huko pia watu wanatumia watakavyo

kwani lazima usome si uruke kama uelewi lugha unaudhika na nini sasa huku unakuwa unaelewa walichoandika? ungeleta mfano mwingine na sio U na YOU so cheap
 
Huu ni mfumo wa kuanza sentesi kwenye simu yangu wakati mwingine nasahau kubadili ili nianze na herufi kubwa umenipata?

Labda hao unaowalaumu nao wanatumia simu. Bado sijakupata kwa sababu hata hapo kwenye red huna haja ya kubadili ili uanze na herufi kubwa. Umenipata?

Wewe unalako jambo. Wapi sijatumia Kiingereza au Kiswahili fasaha?

Sasa naona umeandika kwa lugha fasaha. Mwanzoni ulikuwa umeandika "kiingereza" na "kiswahili".
Wala sina langu jambo. Wewe ndio unalaumu watu kutotumia lugha fasaha wakati wewe mwenyewe inakushinda.
Ndio maana nikakuambia kuwa kabla ya kulaumu mikoni ya watu wengine ni michafu, hakikisha kwanza yako ni misafi.
 
Labda hao unaowalaumu nao wanatumia simu. Bado sijakupata kwa sababu hata hapo kwenye red huna haja ya kubadili ili uanze na herufi kubwa. Umenipata?



Sasa naona umeandika kwa lugha fasaha. Mwanzoni ulikuwa umeandika "kiingereza" na "kiswahili".
Wala sina langu jambo. Wewe ndio unalaumu watu kutotumia lugha fasaha wakati wewe mwenyewe inakushinda.
Ndio maana nikakuambia kuwa kabla ya kulaumu mikoni ya watu wengine ni michafu, hakikisha kwanza yako ni misafi.

Shukrani kwa uelewa wako.
 
Labda hao unaowalaumu nao wanatumia simu. Bado sijakupata kwa sababu hata hapo kwenye red huna haja ya kubadili ili uanze na herufi kubwa. Umenipata?
Mlikua mnalalamika kuhusu herufi kubwa na ndogo kwenye kuanza sentensi
 
Aisey Kongosho! Yaani kumbe kipindi cha uchaguzi wa Mods kimefika badala uniambie mi jamaa yako unawambia watubaki. Potelea mbali nambie fomu za kugombea zinapatikana wapi ?

Kumbe kuna uchaguzi wa mods tuambiane basi mapema
 
ufupi wa maneno yalianza katika kutumia sms na sio facebook, huko pia watu wanatumia watakavyo

kwani lazima usome si uruke kama uelewi lugha unaudhika na nini sasa huku unakuwa unaelewa walichoandika? ungeleta mfano mwingine na sio U na YOU so cheap

Na huyo aliyeandika znmzngua?
 
Back
Top Bottom