Tabia ya Watoto wadogo kuimba na kucheza nyimbo za kijinga na wazazi wanafurahia na kuwaona wajanja

Makamura

JF-Expert Member
May 19, 2022
356
550
Kitu hiki ni janga kubwa sana kwa familia Nyingi za kitanzania, inanikwaza mno ninapoona mtoto mdogo anaimba nyimbo zenye mashairi ya hovyo au kucheza/kukata viuno na watu wakubwa wanacheka kwa kumuona mjanja sana.

Hii ni mbaya na inamuaribu huyo mtoto Bila wewe kujua, ataanza kuiga marigo ya wanamuziki, mitindo ya kucheza mwisho wa siku itamuaribia heshima kwa watu wa ugenini, Na sio vizuri mtoto kujifunza Umalando mapema. Mnapocheka na kufurahi mnawapa kichwa watahitaji jaribu more, Naomba mzingatie hilo ndugu zangu.

Tuwakuze watoto wetu katika hekima na Maadili ya Kitanzania na sio kisanii wala ya kuiga
 
Kitu hiki ni janga kubwa sana kwa familia Nyingi za kutanzania, Inanikwaza mnoo ninapoona mtoto mdogo anaimba nyimbo zenye mashairi ya hovyo au kucheza/kukata viuno na watu wakubwa wanacheka kwa kumuona mjanja sana.

Hii ni mbaya na inamuaribu huyo mtoto Bila wewe kujua, ataanza kuiga marigo ya wanamuziki, mitindo ya kucheza mwisho wa siku itamuaribia heshima kwa watu wa ugenini, Na sio vizuri mtoto kujifunza Umalando mapema. Mnapocheka na kufurahi mnawapa kichwa watahitaji jaribu more, Naomba mzingatie hilo ndugu zangu.

Tuwakuze watoto wetu katika hekima na Maadili ya Kitanzania na sio kisanii wala ya kuiga
So sad
 
Kitu hiki ni janga kubwa sana kwa familia Nyingi za kutanzania, Inanikwaza mnoo ninapoona mtoto mdogo anaimba nyimbo zenye mashairi ya hovyo au kucheza/kukata viuno na watu wakubwa wanacheka kwa kumuona mjanja sana.

Hii ni mbaya na inamuaribu huyo mtoto Bila wewe kujua, ataanza kuiga marigo ya wanamuziki, mitindo ya kucheza mwisho wa siku itamuaribia heshima kwa watu wa ugenini, Na sio vizuri mtoto kujifunza Umalando mapema. Mnapocheka na kufurahi mnawapa kichwa watahitaji jaribu more, Naomba mzingatie hilo ndugu zangu.

Tuwakuze watoto wetu katika hekima na Maadili ya Kitanzania na sio kisanii wala ya kuiga
pia wanaopitisha hizo nyimbo ni wajinga
 
Kwamba wanasema sasa hivi ni generation yao ya kuwa Katia mabuno honey zao.
We kuwa kabinyau hachana na mbanga zao zitakuumiza kichwa
Watoto haw ndio taifa la kesho, wanapasw kuwa katika maadili, enzi zetu hatukuwa tunakatiri nyimbo namna hiyo, na hata hivyo nyimbo hazikuwa zina lugha ya matusi
 
Kuna huo wa zuu honey na kuna mwingine sijui wa msanii gani yule wakiume anakuwa na chupa ya mafuta na kuna mtu wa jinsia yake anamsukumia kwa kitanda akiashiria kumtenda jambo fulani lisilo la kiutu! KWAKWELI INA KERA MNOO ! UDHIBITI WA MINYIMBO NYIMBO NA MIVIDEO YAO YA HOVYO HAUPO KABISAAA!
Ina maana wahusika mnao simamia mambo hayo hamjui kuwa watoto huanza kuharibika kisaikolojia wakiwa na umri mdogo sana?
 
Zuchu sijui anaimba nn yaan inshort wcb nyimbo inayo weza kusikilizika ni ya acha ni enjoy ila nyingine hapana ni uchafu mtupu
 
Kuna huo wa zuu honey na kuna mwingine sijui wa msanii gani yule wakiume anakuwa na chupa ya mafuta na kuna mtu wa jinsia yake anamsukumia kwa kitanda akiashiria kumtenda jambo fulani lisilo la kiutu! KWAKWELI INA KERA MNOO ! UDHIBITI WA MINYIMBO NYIMBO NA MIVIDEO YAO YA HOVYO HAUPO KABISAAA!
Ina maana wahusika mnao simamia mambo hayo hamjui kuwa watoto huanza kuharibika kisaikolojia wakiwa na umri mdogo sana?
Je tunapaswa fanya nini Kama wazazi kutokomeza tabia hii?
 
😆😆😆sasa huyu muulize 2 + 2 ni ngapi? mtavyopoteana.

lakini mtoamada nawew nikuswalike kdogo, sasa tutatoa wapi wasanii km watoto hawataruhusiwa kuonesha vipaji vyao?
Hatukatai watoto kuimba but at least mashairi yenye utu na maadili mazuri
 
Hakuna maadili Tena,muhimu lelea watoto wako katika maadili ili baadae wasije wakakusumbua nyumbani Kila mara hawawezi kukaa Kwa mume,wanazaa hovyo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli mdau, inabidi tujifunze kuwalewa watoto zetu katika maadili na kuwafundisha vile ambavyo desturi zetu zinapasa kufanya
 
Back
Top Bottom