NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,206
- 12,747
Huwa nachoshwa sana na watu wanaotaka kuoa au kuingia kwenye mahusiano lakini cha kwanza wanaangalia Kabila la mtu kwa kuamini kabisa kuwa kabila Fulani Wana tabia hizi na hizi.
Bila kupepesa macho NALIA NGWENA napinga hoja hiyo kwani Haina mantiki kwani Tabia ni tofauti kabisa na kabila la mtu.
Tabia ni kitu Cha kurithi ama kujifunza Kama tabia yako/umerithi tabia mbaya (umlaya,uchoyo nk) basi utakua ni wa hivyo tu.
Hivyo basi kusema kabila Fulani ni Malaya, wachoyo, hawajui kukataa, wachawi sana hapo tunakosea pakubwa sana kuhukumu kundi la watu kwa sababu tu ulikaa na mtu wa kabila Hilo na ukaona ana tabia hizo.
Hivyo basi, tabia mbaya za mtu binafsi zisikupelekee na kusema wazaramo au wahaya ni Malaya sana kwa kuwa tu ulidate na mzaramo au muhaya mwenye tabia hizo, Sasa hupaswi kuhukumu kundi la watu kwa sababu ya mtu mmoja mwenye tabia hizo uliyekutana nae.
Ni hivi kwenye Kila kabira Kuna wezi, malaya, wachawi n.k
Binafsi napinga makabila kuhusishwa na Tabia kwani kwenye hayo hayo makabila yanayohusishwa na Tabia mbaya wapi pia wanawake/wanaume wenye tabia nzuri kabisa.
My take unapotaka /kuoa au kuingia kwenye mahusiano ni vyema kusoma tabia ya mtu unayemtaka na ndiyo maana wazee wetu wa zamani walisema "kijana kaone ukoo fulani wanatabia nzuri sana wanaheshima sana" huo ni mfano tu.
Vijana tusidanganyane kuwa kabila Fulani ndiyo linafaa kuoa na kabila Fulani halifai kabisa na Wala halifai hizo ni story tu chagua MTU wakuendana nae haijalishi katoka kabila gani.
Nawasilisha hoja yangu.
Bila kupepesa macho NALIA NGWENA napinga hoja hiyo kwani Haina mantiki kwani Tabia ni tofauti kabisa na kabila la mtu.
Tabia ni kitu Cha kurithi ama kujifunza Kama tabia yako/umerithi tabia mbaya (umlaya,uchoyo nk) basi utakua ni wa hivyo tu.
Hivyo basi kusema kabila Fulani ni Malaya, wachoyo, hawajui kukataa, wachawi sana hapo tunakosea pakubwa sana kuhukumu kundi la watu kwa sababu tu ulikaa na mtu wa kabila Hilo na ukaona ana tabia hizo.
Hivyo basi, tabia mbaya za mtu binafsi zisikupelekee na kusema wazaramo au wahaya ni Malaya sana kwa kuwa tu ulidate na mzaramo au muhaya mwenye tabia hizo, Sasa hupaswi kuhukumu kundi la watu kwa sababu ya mtu mmoja mwenye tabia hizo uliyekutana nae.
Ni hivi kwenye Kila kabira Kuna wezi, malaya, wachawi n.k
Binafsi napinga makabila kuhusishwa na Tabia kwani kwenye hayo hayo makabila yanayohusishwa na Tabia mbaya wapi pia wanawake/wanaume wenye tabia nzuri kabisa.
My take unapotaka /kuoa au kuingia kwenye mahusiano ni vyema kusoma tabia ya mtu unayemtaka na ndiyo maana wazee wetu wa zamani walisema "kijana kaone ukoo fulani wanatabia nzuri sana wanaheshima sana" huo ni mfano tu.
Vijana tusidanganyane kuwa kabila Fulani ndiyo linafaa kuoa na kabila Fulani halifai kabisa na Wala halifai hizo ni story tu chagua MTU wakuendana nae haijalishi katoka kabila gani.
Nawasilisha hoja yangu.