kisasangwe
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 292
- 52
Just heard kua Tabata kuna bonge ya varangati. Vijana hawataki longolongo wameziba njia na kuvamia vituo.
Wameanza Tabata relini kituo cha mafuta cha meru, then oil com na walikua wanakiendea BP.
Mh nahisi hadi kufika jioni watakua wamefika kibaha:drama:
Wameanza Tabata relini kituo cha mafuta cha meru, then oil com na walikua wanakiendea BP.
Mh nahisi hadi kufika jioni watakua wamefika kibaha:drama: