TAI DUME
JF-Expert Member
- Feb 20, 2014
- 8,859
- 23,119
Heading inajieleza.
1. Tanesco: Hii taasisi sidhani kama inapita siku haijaporomoshewa mitusi na kuwakera watu kutokana na kukata umeme hovyo tena bila taarifa.
2. Takukuru: Kilio na malalamiko ya wengi ni jinsi inavodili na virushwa vidogo vidogo na kuacha wanaokula rushwa kubwa kubwa wakihimidiwa mitaani.
3. ccm: hilo hata wenye taasisi yao wanalijua kwamba raia wengi wanaishutumu kwa kuwasababishia umaskini mkubwa.
Usiniulize kuhusu sampo saizi wala methodolojia niliyotumia ila habari ndio hiyo
1. Tanesco: Hii taasisi sidhani kama inapita siku haijaporomoshewa mitusi na kuwakera watu kutokana na kukata umeme hovyo tena bila taarifa.
2. Takukuru: Kilio na malalamiko ya wengi ni jinsi inavodili na virushwa vidogo vidogo na kuacha wanaokula rushwa kubwa kubwa wakihimidiwa mitaani.
3. ccm: hilo hata wenye taasisi yao wanalijua kwamba raia wengi wanaishutumu kwa kuwasababishia umaskini mkubwa.
Usiniulize kuhusu sampo saizi wala methodolojia niliyotumia ila habari ndio hiyo