Taasisi dhaifu ni kitisho kwa usalama wa nchi. Kwa hali ilivo, TANESCO ni hatari namba moja kwa usalama wa Tanzania, na serikali bado imelala fofofo!

Umeandika hoja jadidifu ambayo kila nukta imejaa uzalendo na mahaba kwa nchi yetu.

Kuna wakati nikishauri kuwa serikali itumie wataalam wake kufanya haya yafuatayo
  1. Irasimishe dawati la biashara na uchumi kuwa kurugenzi kamili pale TISS. Wanajua
  2. Serikali ianzishe makapuni kwa ubia na watanzania wazalendo. Tanesco iuze hisa zake
  3. TIC yaani kituo cha uwekezaji kiwe na dawati la kuatamiza wawekezaji wa kati ili kuwezesha Watanzania kukua into investment sector worldwide.....
Hiyo hoja namba moja ni ya umuhimu sana sana... hiyo nadhani ndo intelligensia ya kiuchumi.. kama kitengo kipo basi kiongezewe nguvu ili ki inform serikali kwa wakati
 
Nje ya mada ...hivi mkuu wewe Ndio Nantoomba Mushi ,unehariri jina au ni Ndugu yake!?
Naantombe ni sawa tu na kusema naanto.

Naanto ni habari za asubuhi.

Naantombe ni habari za asubuhi kwa wa kiume wazaliwa wa kwanza.

Ingekuwa ni mzaliwa wa pili wa kiume, Ingekuwa naantosa.

Ofcourse Mushi ni ukoo.

Hopefully umeelewa. Ila nadhani alibadili kwasababu watu wengi walidhani ama wanachukulia utani au tusi.

Kama ni mimi Naanto Mushi , ningeiacha tu vilevile😄

Lakini mwisho wa siku kila mtu na maamuzi yake anayoona yanafaa kwake.
 
Naantombe ni sawa tu na kusema naanto.

Naanto ni habari za asubuhi.

Naantombe ni habari za asubuhi kwa wa kiume wazaliwa wa kwanza.

Ingekuwa ni mzaliwa wa pili wa kiume, Ingekuwa naantosa.

Ofcourse Mushi ni ukoo.

Hopefully umeelewa. Ila nadhani alibadili kwasababu watu wengi walidhani ama wanachukulia utani au tusi.

Kama ni mimi Naanto Mushi , ningeiacha tu vilevile😄

Lakini mwisho wa siku kila mtu na maamuzi yake anayoona yanafaa kwake.
Hahaha asantee wa jina kwa kutoa tafasiri murua na jadidi. Tatizo ni kwamba watu walikuwa hawaelewi maana sasa ikajeuka kuwa kero....
 
Ni aibu sana nchi hii kuingia gizani, Leo Niko home umeme hakuna na ni mjini Dar , huko Malinyi na Kasulu Hali ikoje!

Fact ni kuwa kukosekana umeme ni failure of the party and the government, ni failure of the state na kiongozi wake , zingine mnazoleta ni ngonjera tu!
 
If i will be invited to the table, i will advise immediately for unbundling of TANESCO into three different entities namely: Production, Transmission and Distribution. These entities mwill be separate, independent and singly from each other and there must be intense competition at production levels whereby production owned by Govt will be subject to rough competition with private IPP; the only way to ensure max supply stability of electricity from energy source. It will also promote energy mix(hydro, gas, wind, geothermal etc)

For the reasons related to structure, Transmission should remain single entity and i will liberalize distribution network just like Production.

Universal Obligation to supply to the hinterlands and villages will go back to Ministry of Finance (in term of subsidies and exemption). Fund responsible for Universal Service Obligation just like UCSAF in telecoms will be proposed and sources of funds for the Fund will be allocated, independently from revenue stream of TANESCO. EWURA will remain as regulator for ensure universal electricity access to all
 
Yoote haya yanatokea kwasababu nchi yetu haina dira.
Mifumo hiyo manayoitaka ya kugawanga umeme kikanda au kimikoa.
Kama ni umeme wa majenereta, gas nk..kipindi cha kikwete ilianzishwa vya kutosha. Lakini akaja Rais mwingine na timu yake wakatengeneza propaganda za kutosha..mala wezi mala sijui nini..mwisho wa siku plant kalibu zote zimezimwa.

Leo mnakuja na wimbo uleule.
Nchi lazima iwe na dira..na ikishaamua kufanya kitu cha namna hiyo basi iwekwe sheria ambayo hata mwingine akija asiweze kubomoa mfumo huo.
Ushauli ni mzuri ila shida hakuna dira wala umadhuti wa mifumo kwenye utawala.kila anaengia anakundi lake la kubeza aliemtangulia ili aingize timu yake mpya ya upigaji.
 
Hiyo hoja namba moja ni ya umuhimu sana sana... hiyo nadhani ndo intelligensia ya kiuchumi.. kama kitengo kipo basi kiongezewe nguvu ili ki inform serikali kwa wakati
Hakika maana bila kusabotage wengine hatutoboi mkuu.

Naamini unaelewa ninachomaanisha
 
Kimantiki na mifano ipo nchi nyingi, shirika lolote la Kiserikali likiwa kubwa sana ni lazima litawanywe uendeshaji wake ili lisiwe kama serikali ndani ya serikali.

Tanesco kwa viwango na jiografia ya Tanzania ni shirika kubwa sana kuweza kuendeshwa kutokea makao makuu moja na DG mmoja. Ni vyepesi sana kutumika kufanya hujuma, japo iwe ya mkitengo kimoja tu, itaathiri shirika zima.

Suluhisho pekee ni kulikata viande vipande vitoke vikam[uni vingi vinavyojitegemea na uhusiano wao utakuwa wa kibiashara tu. Hakuna zaidi.

Niliwahi kupendekeza hili miaka mingi sana nyuma.

Tanesco ufanyike utaratibu wa kulivunja vunja. Nje ya hapo tutasewka na umeme maisha. Hata tuzalishe umeme zaidi ya tunaouhitaji, bado gtugtakuwa na kukosa umeme na hakuna wa kumwajibisha kwa haraka. Tutabadili mawaziri, tutabadili ma DG, tutafanya kila namna, ni mzigo mkubwa kuliko wabebaji.
Kidoogo hapa ndiyo Mama faiza foxy (nikuite mama maana nahisi unaweza ukanizaa) umetumia japo 40% za akili zako kuchambua hili jambo.

Tukiondoa mambo ya dini na siasa upstairs upo smart sana shida ni hizo mambo unaendekezaga humu.
 
The only way kuiendesha Tanesco kifaida, kwa capacity ya uelewa wa usimamizi wa Tanzania, ni kuikata mapande sawa na mikoa na kila kipande kiwe huru na kijiendeshe kama pande la kujitgemea kikamilifu.
Kuikata kata Tanesco ni kutengeneza nafasi za kazi kwa wakusudiwa ....!!! Iwezeshe Tanesco ijiendeshe bila kuingiliwa na maamuzi ya kisiasa.

Ebu ni eleze, kulikuwa na uharaka gani wa mwanasiasa kulazimisha software ya kihindi inunuliwe na Tanesco wakati Tanesco hakikuwa kipaumbele. Kibaya zaidi hiyo software ingeweza kutengenezwa na vijana wetu wa IT wa hapa na hiyo hela ikabaki nchini?

Najua nimevuruga maelezo yangu lakini muelewe hivo hivyo.
 
Acha siasa nyepesi mkuu ..haya matatizo ya Umeme yapo ndani ya CCM .JPM.alifanya Nini kikubwa iukabiliana nayo...zaidi ya kuanza ujenzi wa Bwawa la Mwalimu Nyerere ambao ni msiba ujao( subiri Mika kadhaa utasikia Maji yameisha) Huu si utabiri ni fact...kulingana na hali ya mazingira ya Bonde la Mto Ruaha ja Rufiji! Halafu huna hat Aibu Kuandika kuwa JPM alipeleka umeme Vijijini...ama hujui kuwa Mpango huu ulianza tangu enzi za Mkapa..Hawa Sasa wanamalizia ..!
Kwanini Makamba mwanzo wa utawala wake alijitetea kuwa kukatika kwa umeme kunasababishwa na zoezi la ukarabati? Je Bado wanaendelea na ukarabati wa miundo mbinu?
 
The only way kuiendesha Tanesco kifaida, kwa capacity ya uelewa wa usimamizi wa Tanzania, ni kuikata mapande sawa na mikoa na kila kipande kiwe huru na kijiendeshe kama pande la kujitgemea kikamilifu.

Yeah...niliona kitu kama hiyo nchini Namibia, ya kuvunja shirika la umeme into generation na Distribution ambako kule unakuta Kuna kampuni zinazojiendesha as distribution, kulingana na eneo ..provincial company etc.ili kurahisisha kutoa huduma Kwa tija......labda Tanesco nayo waifanye hivyo kuifanya restructuring, kuisaidia sekta hiyo....
Halafu mapande hayo matatu kila moja kuanzia top management hadi wafagizi wakabidhiwe machawa na makada kuyaendesha! Tatizo #1 nchi hii ni ACCOUNTABILITY.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom