Marire
JF-Expert Member
- May 1, 2012
- 12,328
- 5,270
Mie nimeshajenga frames huku bara, hapa nimekwama pesa ya kianzio tu yaani 2m ambayo nitaitumia kwa aina ya biashara. Ninazo dhamana zisizohamishika japo HATI ndio bado sijaipata, sijaanza biashara ila ndio natarajia kuanza.
Wapi nitapata mkopo? Maana nimewaona Access Bank wao wanasema wanatoa mikopo kwa walio na biashara tayari, nimeshindwa nifanyeje nipate kujikwamua kiuchumi.
mkuu huna mtaji unataka ukopeshwe?
unafanya hatari na utafilisika miezi michache tu.
inatakiwa uwe na zako ndio uongezee na za bank na uwe na uzoefu na biashara yako.
ukiwa na mtaji wa m10 unaweza kukopa m3 na ukarejesha bila tatizo!