FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 92,953
- 109,372
- Thread starter
- #61
Uislam ni itikadi za kitumwa zilizoanzishwa na mwarabu. Kwa kujificha kwenye kichaka cha dini, waliwatesa na kuwaua babu zetu na kuwapeleka kwenye utumwa.
Nyie vitukuu vya walioteswa mnawakumbatia hao wahuni na kuwaita ndugu zenu. Mmelaaniwa
Uislam leo hii hakuna kontinenti usiokuwepo na una takriban watu billion 2 wa nchi kama si zote duniani basi 99%.
Umeusoma Uislam?