Jay One
JF-Expert Member
- Nov 12, 2010
- 16,851
- 16,749
Ndo yule mbunge mwenye kamwili kadogo kadogo?
Ndio yy, ana tegu na minyoo hookworm hadi wanamtoka puani akiwa Primary, safura ilimshambulia sana
Ndo yule mbunge mwenye kamwili kadogo kadogo?
Akienda Zanzibar lazima Uamsho wamtimue maana ni rahisi kumtambua kwamba anatokea bara kwa Chogo alichobeba na kamdomo kalikochongeka kama kigong'ota.
kwa aibu hata wakati wakuchangia , amesifia hotuba ya upinzani kuwa ni nzuri , kama kujisafisha kwa ujinga wake
Huyu ni kilaza wa kutupwa na jimbo lake huku linanuka kwa kila uozo ...hakika anastahili kuchapwa hata viboko huyu malaya mkubwa
Leo amechukiwa kadi ya CHADEMA hapo unasemaje?