kupelwa
JF-Expert Member
- Aug 24, 2011
- 1,087
- 450
nimeona kwenye runinga wakati wa kuchangia bajeti ya wizara ya kilimo , mbunge kafulila alipokuwa akichangia, alitamka ndani ya bunge kuwa bajeti ya mwaka huu ya wizara ya kilimo ni ya kizee.ndo akaibuka mkumba na ngojera, badala ya kanuni ya kuondoa lugha ya kuudhi kwa kutumia kifungu kinachotakiwa akatoa taarifa.Ikumbukwe huyuhuyu mkumba alishawahi kutamka kuwa wanaoona uchungu , waende hosipital wakajifungue, siku hiyo alikuwepo naibu spika wala hakujali.lo naye ati maneno ya kafulila yamemuma ayaondoe.Kulikoni maneno ya kuudhi kwa wapinzani yakuudhi, yake matamu.