Mkuu acha kichefu chefu.
Naamini ingekuwa other way round hapa pasingetosha say wakristo wawe wanne kati ya watu15??? sijui ingekuwaje..
Waislam masheikh wamelalal sana aisee shame on them??
Mkuu acha kichefu chefu.
warioba hakufaa kuwa mwenyekiti wa tume
Ruksa kuwasilimisha wajumbe 11 wasiokuwa waislamu!Mimi sijarizika na wajumbe wa upande wa Tanganyika kati ya wajumbe 15; wanne tu ndio waislam kwanini? ina maana Tanganyika inawakilishwa na wakristo tu?
Naamini ingekuwa other way round hapa pasingetosha say wakristo wawe wanne kati ya watu15??? sijui ingekuwaje..
Waislam masheikh wamelalal sana aisee shame on them??
Itoshe kusema aliyefanya uteuzi ni muislamu henceforth hata hao wakristo unawaona wewe ni wakristo majina tu in their inner spirit they are clean muslim!Naamini ingekuwa other way round hapa pasingetosha say wakristo wawe wanne kati ya watu15??? sijui ingekuwaje..
Waislam masheikh wamelalal sana aisee shame on them??
Kwanini aisee? kweli nimesikitika sana JK kuchagua viongozi wakuu wa tume wakristo (chair na makamu) wake..hii katiba lazima itakuwa na elements za kikanisa ...bado sijarizika au unaona sawa
Kwanini katika watu 15 wa Tanganyika 4 tu ndio wawe waislam (very unfair representation of muslims in tanganyika)
Mimi sijarizika na wajumbe wa upande wa Tanganyika kati ya wajumbe 15; wanne tu ndio waislam kwanini? ina maana Tanganyika inawakilishwa na wakristo tu?
Na albino nao hawana mwakilishi.
Na albino nao hawana mwakilishi.
kukosekana kwa prof issa shivji...kwangu ni pengo kubwa sana na nina wasi wasi na mwenyekiti wa tume na msaidizi wake.????
Angelikuwepo prof issa shivji....moyo wangu ungelikuwa swaffffffffffffiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii kabisa...
Hivi wewe Mkuu ni Mtanzania unayelifahamu TRaifa lako vizuri?Mimi sijarizika na wajumbe wa upande wa Tanganyika kati ya wajumbe 15; wanne tu ndio waislam kwanini? ina maana Tanganyika inawakilishwa na wakristo tu?