Eric Cartman
JF-Expert Member
- May 21, 2009
- 11,967
- 11,214
Hicho ndio anachotaka mwenzenu kama hamjamjua huyo gamba mwelevu, keshajua religious arguments are bound to create a reaction and sway you towards nonsense arguments.tuweni fair Zanzibar wametoka wakristo wangapi? Si kulalamika tu kuonewa
Hila ukweli wenyewe hii timu itatimiza matakwa ya katiba mpya maana the real problem ni mtu aliewachagua na namna ya walivyopendekezwa. Binafsi nimeanza kuchoka na hili suala la katiba.
Binafsi nina ndoto za kukamata millioni one day niwe na kiburi, lakini kabla ya kufika huko realistically nafikiria njia ya kunifikisha hapo. Hawa Chadema siwaelewi kabisa badala ya kupigana vita vyao kwanza jinsi katiba inavyowaumiza wao kwa sasa kwenye chaguzi, mahakama na democracy rights in general. Yaani wao wamekazana kuvamia nchi na silaha za kushinda vita ya mkoa it makes me wonder if their constitution problems are related to their struggles at the moment or they just want to politicize the issue.
Lets face it watanzania wanaotandikwa na kufukuzwa kila siku bila ya kujua haki zao zilizo wazi hawana huwezo wa kutunga katiba inayofaa kuongoza kwa sasa. sijui kwanini walio waelevu wasielekeze nguvu za haraka hakara kuakikisha kwanza wanapata katiba yenye usawa hili vita vyao viwe na nguvu kwa sasa na mengine baadae.