Taarifa ya Kiintelijensia...Nesi huyu na Mgonjwa!

patia na mm hiyo contact
Huna jipya!
Unataka kumfanya nini nesi:coffee:...unataka kumroga?, hawarogeki wanyalu weweeee!
BTW, huyo jamaa wa King'ori si ushamhudumia?...unasubiriwa na huku kwa huduma ya hivyo!, mi naku'book nitakuwa wa kwanza!
 
mpwa ulienda nymbani BILA TAARIFA?...!

nakudai valuu moja!

halafu mpwa niangalizie kwa makini hiyo ''semi-trailer'' WISELADY,nakuamini sana ndo maana nilikuachia
 
Sasa mkuu utakosea endapo utatoa contact ya nesi kwa mtu ambaye hajavunjika mguu au ambaye si mgonjwa.Nilipo kuuliza ilembula iko wapi,ni kwa sababu niko hapa mkoani NJOLUMA,nimefika majuzi tuu na pia najisikia ka homa kwa mbali. Sasa mkuu kuwa ktk nafasi yangu,tafadhali zingatia.
 
hii safi sana inaonyesha huyu nesi ni mtundu sana na ndiko anakopata raha zake kwa wagonjwa tena alotundikiwa mawe mazito na ashushi mguu yani najaribu kupiga picha sipati picha lazima atakuwa anafaidi sana vinginevyo angekuwa anasubiri wapone ndo afanye lazima atakuwa mtaalamu sana
 
mpwa ulienda nymbani BILA TAARIFA?...!

nakudai valuu moja!

halafu mpwa niangalizie kwa makini hiyo ''semi-trailer'' WISELADY,nakuamini sana ndo maana nilikuachia
Valuu chukua bar yoyote ya jirani, waambie bili kwangu!
Hii semi-trailer bana hii inanizidi maarifa bana...imehamia sehemu ingine bila taarifa kwa kampuni!...inabidi nifanye uchunguzi kama huko mahala hakuna aliyebinafsisha!...ha ha haaa!:sick:
 
Hahahahahahaha Baada ya kuisoma hii habari imenibidi nimpigie simu Nurse mmoja yupo pale amenitajia hadi jia la huyo Nurse anaetembea na Wagonjwa. Details zaidi ameniambia atanipa baadae. Naifahamu vizuri sana hii hospitali nilishawahi kufanyia intern pale

Kwa hiyo ni kitu cha ukweli na siyo porojo?
Nadhani nchi imefika pabaya sasa. Maadili sehemu za kazi hafuatilliwi tena? Tumesikia utupaji wa vitotot vichanga mahospitali na uibaji wa watoto unaofanywa na wafanyakazi wa hopsitali.Sasa hili nalo la kutembea na wagonjwa ni kubwa lao!
WAZIRI WA AFYA UPOOOO?
 
Kwa hiyo ni kitu cha ukweli na siyo porojo?
Nadhani nchi imefika pabaya sasa. Maadili sehemu za kazi hafuatilliwi tena? Tumesikia utupaji wa vitotot vichanga mahospitali na uibaji wa watoto unaofanywa na wafanyakazi wa hopsitali.Sasa hili nalo la kutembea na wagonjwa ni kubwa lao!
WAZIRI WA AFYA UPOOOO?
Maadili ya professions hakuna tena dadaangu!
Hata waziri wa afya akiwa anashinda mahali hapo lazima mtasikia vituko!
 
Back
Top Bottom