Taarifa ya Kiintelijensia...Nesi huyu na Mgonjwa!

PakaJimmy

JF-Expert Member
Apr 29, 2009
16,203
8,725
Juzi nilitembelea Hospitali moja kubwa Nyanda za juu kusini Mkoani Iringa, inaitwa ILEMBULA, inayomilikiwa na Madhehebu ya Kilutheri.

Katika maongezi na jamaa zangu nilionyeshwa nesi mmoja ambaye niliambiwa kuwa ana skendo ya aina yake kwenye jumuia hiyo!
Niliambiwa kuwa nesi huyo ana tabia iliyokubuhu ya kufanya mapenzi na wagonjwa wa jinsia ya kiume.

Nilisimuliwa kuwa kuna mgonjwa aliyekuwa amevunjika mguu na hivyo kutundikiwa mawe ya kilo kadha, wenyewe wanaita traction, na kawaida wagonjwa hao hukaa hospitali kwa muda mrefu.
Nesi huyo bila ajizi aliingia mahusiano na mgonjwa huyo, na akafikia hatua ya kuomba apangiwe zamu za usiku.
Lakini cha ajabu kabisa ni kuwa nesi huyo inasemekana kuwa akiwa zamu za usiku anasukuma kitanda cha mgonjwa huyo kwa madai ya kwenda kumwogesha, lakini badala yake anamwingiza katika chumba fulani ambako anacontrol zoezi zima la kufanya penzi na mgonjwa huyo!, na hatimaye kumrudisha eneo lake baada ya makasheshe...:party:!

Nauliza kwa watu wa tasnia ya afya, je mgonjwa wetu huyu anapata athari za namna gani, na kama anatibika kisaikolojia kwa tendo hilo naomba mnijuze.

Tasnia ya MMU, mnalisemeaje hili?
 
Juzi nilitembelea Hospitali moja kubwa Nyanda za juu kusini Mkoani Iringa, inaitwa ILEMBULA, inayomilikiwa na Madhehebu ya Kilutheri.

Katika maongezi na jamaa zangu nilionyeshwa nesi mmoja ambaye niliambiwa kuwa ana skendo ya aina yake kwenye jumuia hiyo!
Niliambiwa kuwa nesi huyo ana tabia iliyokubuhu ya kufanya mapenzi na wagonjwa wa jinsia ya kiume.

Nilisimuliwa kuwa kuna mgonjwa aliyekuwa amevunjika mguu na hivyo kutundikiwa mawe ya kilo kadha, wenyewe wanaita traction, na kawaida wagonjwa hao hukaa hospitali kwa muda mrefu.
Nesi huyo bila ajizi aliingia mahusiano na mgonjwa huyo, na akafikia hatua ya kuomba apangiwe zamu za usiku.
Lakini cha ajabu kabisa ni kuwa nesi huyo inasemekana kuwa akiwa zamu za usiku anasukuma kitanda cha mgonjwa huyo kwa madai ya kwenda kumwogesha, lakini badala yake anamwingiza katika chumba fulani ambako anacontrol zoezi zima la kufanya penzi na mgonjwa huyo!, na hatimaye kumrudisha eneo lake baada ya makasheshe...:party:!

Nauliza kwa watu wa tasnia ya afya, je mgonjwa wetu huyu anapata athari za namna gani, na kama anatibika kisaikolojia kwa tendo hilo naomba mnijuze.

Tasnia ya MMU, mnalisemeaje hili?
hapo kwenye nyekundu una kesi ya kujibu....!!
back to the topic, nadhani huyo mgonjwa atachelewa kupona huo mguu, c unajua shughuli ya majamboz si ya kitoto atii....yaani mguu ukiunga leo kesho unaachia,,,,,!!
 
Hahahaaa... huyu Nesi anafaa sana tena alitakiwa apewe pongezi...

Anawasaidia wagonjwa. Kawaida wanaume wengine wakikosa ile kitu wanakuwa frustrated sana, sasa anafanya kazi ya maana sana ya kuwaondolea hayo ma frustrations.

Big Up nesi
 
I will be back.........huyo nesi ameolewa? mgonjwa ameoa? mgonjwa ameshtaki? alipiga kelele muda wa vutuzi?
 
hapo kwenye nyekundu una kesi ya kujibu....!!
back to the topic, nadhani huyo mgonjwa atachelewa kupona huo mguu, c unajua shughuli ya majamboz si ya kitoto atii....yaani mguu ukiunga leo kesho unaachia,,,,,!! [/QUOTE]
.
Ha hahaaa..

Mkuu, nisamehe...lakini ndio hivyo mkuu, sitauma maneno hapo maana ndiyo nilipoikuta hii habari ya kiintelijensia!...

Sasa huyu mgonjwa nae sijui haoni shida ya kuchelewa kupona...najiuliza hadi sasa!..
 
hapo kwenye nyekundu una kesi ya kujibu....!!
back to the topic, nadhani huyo mgonjwa atachelewa kupona huo mguu, c unajua shughuli ya majamboz si ya kitoto atii....yaani mguu ukiunga leo kesho unaachia,,,,,!!

Atapona haraka kuliko kawaida...

Any Doctor in da haus pls
 
Hahahaaa... huyu Nesi anafaa sana tena alitakiwa apewe pongezi...

Anawasaidia wagonjwa. Kawaida wanaume wengine wakikosa ile kitu wanakuwa frustrated sana, sasa anafanya kazi ya maana sana ya kuwaondolea hayo ma frustrations.

Big Up nesi

Darlingtone!
Unatisha...!
Kwahiyo unataka kusema hii ni tiba mbadala?
 
Hahahahahahaha Baada ya kuisoma hii habari imenibidi nimpigie simu Nurse mmoja yupo pale amenitajia hadi jia la huyo Nurse anaetembea na Wagonjwa. Details zaidi ameniambia atanipa baadae. Naifahamu vizuri sana hii hospitali nilishawahi kufanyia intern pale
 
I will be back.........huyo nesi ameolewa? mgonjwa ameoa? mgonjwa ameshtaki? alipiga kelele muda wa vutuzi?
Mkuu,
Kwa mujibu wa wasimuliaji ni kwamba regardless ya kawa wahusika hawa wameoa au kuolewa, wote wawili wametoa ridhaa kwa jambo hilo...
Ni kwamba mgonjwa amekaa hospitali kwa muda mrefu sana na imefikia wakati hata familia yake wanamtembelea kwa mbinde sana, kwahiyo huyo nesi amejitolea kutoa huduma ya ziada kwa mgonjwa!
 
I will be back.........huyo nesi ameolewa? mgonjwa ameoa? mgonjwa ameshtaki? alipiga kelele muda wa vutuzi?

Inaonekana wagonjwa wanapona lakini hawataki kuondoka hosp kwa sababu watakosa hiyo huduma, ndio maana wenzie wanamuonea wivu...

Kuna mwana JF mmoja alishawahi kukiri kwamba alipewa huduma kama hizi MOI na alipotoka alirudi kupeleka zawadi ya Cheni ya Dhahabu... labda aje afafanue kuhusu duration ya matibabu yake ukilinganisha na wale wanaokosa huduma hii
 
Darlingtone!
Unatisha...!
Kwahiyo unataka kusema hii ni tiba mbadala?

Inasaidia sana... Inamfanya mgonjwa apone haraka..

Actually ninge-recommend pale MOI waweke huduma kama hizi (kwa anayehitaji)... Just imagine kulala for 3 months umetundika miguu juu na kila asubuhi majogoo yanawika, wakipita manesi na vinguo nyao (mind u manesi wengi wamejaaliwa al-baatar), majogoo yanawika tena, wakija relatives sijui wachumba, mashemeji wamevaa vitopu majogoo yanawika tena, hv huyu mgonjwa si atakuwa anateseka na kitu ambacho sicho.... Nyie mnajua mguu unauma kumbe mguu wa tatu ndio unaleta mushkeli
 
Nimeambiwa kuna wagonjwa watatu waliowekewa hayo mawe, Mmoja ni Mkenya, Mwingine anatokea Mbeya a Mwingine katokea Moro. wanadai tabia ya huyo Nurse hua anashoboka sana hasa kwa wagonjwa wanaotoka mikoani na nje ya Nchi
 
Huyo nesi anajua tiba mbadala ndio maana anafanya kila linalowezekana kumtibia huyo mgonjwa ili apone haraka,tiba kama hizi hata waliooa wanajua hivyo sioni tatizo
 
Kama mgonjwa ameridhia mwenyewe kuhusu tendo linalofanyika na nesi anatumia kinga hilo halina tatizo. Ila kiitikadi si sawa maana itaonekana kama vile nesi anatumia nafasi yake vibaya. Kiafya ni sawa kabisa maana kwasisi tuliopita fani ya utabibu tunasema hakuna tiba nzuri ya kiakili,kimwili,kimawazo zaidi ya mapenzi. Kwamba inasemekana watua wanaofanya mapenzi mara kwa mara wanaafya nzuri kuliko wasiofanya. Mapenzi ni kama dawa inavyotibi ila tuwe makini kwa athari zake kama obsession. Kama mgonjwa hakuwahi kupata mapenzi basi nafsi yake itakuwa safi kupokea penzi analopatiwa. Tunasema kwamba mapenzi yawe ya kipimo ili kuwa dawa.
Hivyo basi kama huyu nesi yuko kiukweli zaidi ni faida kwa mgonjwa ila kama ni feki basi ataumiza nafsi ya mgonjwa na itachangia kuchelewa kupona.
 
Atapona haraka kuliko kawaida...

Any Doctor in da haus pls

Imefikia wakati hata nduguze wakienda kumtazama huyo mgonjwa, bibie-nesi anafura ajabu na kuhakikisha wanaondoka mapema iwezekanavyo...ukishangaa ya musa...!
 
Imefikia wakati hata nduguze wakienda kumtazama huyo mgonjwa, bibie-nesi anafura ajabu na kuhakikisha wanaondoka mapema iwezekanavyo...ukishangaa ya musa...!

Ina maana anatoa huduma kwa mgonjwa mmoja tu? au anatoa kwa wagonjwa wote (waliovunjika) lakini kwa zamu?
 
Ina maana anatoa huduma kwa mgonjwa mmoja tu? au anatoa kwa wagonjwa wote (waliovunjika) lakini kwa zamu?
Hapo sasa sijui, ila uhusiano wake na huyu jamaa yetu umekuwa kama vile wa wazi sasa!...ha ha haaaa!
 
Kama mgonjwa ameridhia mwenyewe kuhusu tendo linalofanyika na nesi anatumia kinga hilo halina tatizo. Ila kiitikadi si sawa maana itaonekana kama vile nesi anatumia nafasi yake vibaya. Kiafya ni sawa kabisa maana kwasisi tuliopita fani ya utabibu tunasema hakuna tiba nzuri ya kiakili,kimwili,kimawazo zaidi ya mapenzi. Kwamba inasemekana watua wanaofanya mapenzi mara kwa mara wanaafya nzuri kuliko wasiofanya. Mapenzi ni kama dawa inavyotibi ila tuwe makini kwa athari zake kama obsession. Kama mgonjwa hakuwahi kupata mapenzi basi nafsi yake itakuwa safi kupokea penzi analopatiwa. Tunasema kwamba mapenzi yawe ya kipimo ili kuwa dawa.
Hivyo basi kama huyu nesi yuko kiukweli zaidi ni faida kwa mgonjwa ila kama ni feki basi ataumiza nafsi ya mgonjwa na itachangia kuchelewa kupona.
Du..
Mkuu, hii ni habari mpya tena!
Unaposema MAPENZI YAWE NA KIPIMO, NI KIPIMO GANI SAHIHI CHA MAPENZI?...AU INATOFAUTIANA MTU NA MTU?
 
Back
Top Bottom