Taarifa ya bunge ya north mara

PhD

JF-Expert Member
Jul 15, 2009
4,599
3,673
kamati ya bunge ya ardhi, maliasili na mazingira inawasilisha taarifa yake bungeni muda huu kuzungumzia uchafuzi wa mazingira yanayozunguka mgodi wa north mara unaofanywa na barick , lets wait

Please open the attachment:
 

Attachments

  • Taarifa ya Kamati ya North Mara.pdf
    829.1 KB · Views: 103
Sitegemei jipya lolote lile kutokana na taarifa hiyo zaidi ya kupindisha ukweli eti kwamba barick hwana kosa, ni kupoteza tu muda na kula posho wasizostahili hao jamaa hapo bungeni!
 
Kweli hawa watawala hawawajali wananchi, so hiyo taarifa ndo itafufua wale wanachi maskini waliokufa kutokana na hayo makemikali???baada ya kuwakilisha then what next?? matumizi mabaya ya pesa tu, wachafuzi wenyewe wanajua ilikuwa ni sumu na ina madhara, najiuliza huo mgodi ungekuwa Canada wangefanya huo uzembe waliofanya??Tungekuwa na serekali inayojali watu naamini ingeamuru mgodi ufungwe mpaka hilo tatizo la kuvuja kwa kemikali lipatiwe ufumbuzi. Ni kwanini hawa wanaojiita wanaharakati wasifungue kesi kwa niaba ya wananchi na kudai fidia?

ama kweli hii ni Tanzania
 
Barric is licha ya kutofanya EIA, he is cleared!. Serikali imebebeshwa mzigo. Wizara za Madini, Mazingira, Maji na Afya kuwajibika. Mwekezaji kugharimia kila kitu.

Kwa kweli lazima wawekezaji walindwe kwa nguvu zote za serikali yetu, yaani Barric North Mara, imejengwa bila EIA na bado ipo!. This country bwana...!.

Mambo yakiwa safi, nitawaletea taarifa yenyewe. tatizo hapa Bungeni, wanaopewa taarifa ni wabunge na wanahabari tuu, sisi wananchi wa kawaida huwa tunanyimwa.

Nitabembellleza kwa wanahabari marafiki nipate copy na kuwarudishia.
 
Barric is licha ya kutofanya EIA, he is cleared!. Serikali imebebeshwa mzigo. Wizara za Madini, Mazingira, Maji na Afya kuwajibika. Mwekezaji kugharimia kila kitu.

Kwa kweli lazima wawekezaji walindwe kwa nguvu zote za serikali yetu, yaani Barric North Mara, imejengwa bila EIA na bado ipo!. This country bwana...!.

Mambo yakiwa safi, nitawaletea taarifa yenyewe. tatizo hapa Bungeni, wanaopewa taarifa ni wabunge na wanahabari tuu, sisi wananchi wa kawaida huwa tunanyimwa.

Nitabembellleza kwa wanahabari marafiki nipate copy na kuwarudishia.

.....hizo taasisi zinawajibika kivipi? mawaziri wake wanatakiwa kuresign au?
 
.....hizo taasisi zinawajibika kivipi? mawaziri wake wanatakiwa kuresign au?
Hilo lipo kwani? sio kila mtu anatafuta jinsi ya kurudi tena bungeni, Taharifa wakati inasomwa usishangae akili na mawazo ya wabunge walio wengi wasijue kinacho endelea zaidi ya kuwaza kampeini za kuwania ubunge tu.
 
Barric is licha ya kutofanya EIA, he is cleared!. Serikali imebebeshwa mzigo. Wizara za Madini, Mazingira, Maji na Afya kuwajibika. Mwekezaji kugharimia kila kitu.

Kwa kweli lazima wawekezaji walindwe kwa nguvu zote za serikali yetu, yaani Barric North Mara, imejengwa bila EIA na bado ipo!. This country bwana...!.

Mambo yakiwa safi, nitawaletea taarifa yenyewe. tatizo hapa Bungeni, wanaopewa taarifa ni wabunge na wanahabari tuu, sisi wananchi wa kawaida huwa tunanyimwa.

Nitabembellleza kwa wanahabari marafiki nipate copy na kuwarudishia.
Pasco pamoja na kuwa wewe si mwana habari lakini juhudi zako za kutuhabarisha hapa JF zinaonekana na kukubalika. Keep it up comredi
 
Barric is licha ya kutofanya EIA, he is cleared!. Serikali imebebeshwa mzigo. Wizara za Madini, Mazingira, Maji na Afya kuwajibika. Mwekezaji kugharimia kila kitu.

Kwa kweli lazima wawekezaji walindwe kwa nguvu zote za serikali yetu, yaani Barric North Mara, imejengwa bila EIA na bado ipo!. This country bwana...!.

Mambo yakiwa safi, nitawaletea taarifa yenyewe. tatizo hapa Bungeni, wanaopewa taarifa ni wabunge na wanahabari tuu, sisi wananchi wa kawaida huwa tunanyimwa.

Nitabembellleza kwa wanahabari marafiki nipate copy na kuwarudishia.

kumbe pasco si mwanahabari..........
 
tatizo kwa watawala wetu na wawakilishi wetu wakishapokelewa na mwekezaji basi mambo yote wanasahau kuwa wananchi ndio waliokufa kwa sumu, si ajabu hiyo taharifa ikamsifu mzungu wa barik jinsi anavyotunza mazingira na kuwasingizia wananchi waliokufa walikufa kwa kipindupindu na si sumu

HAKI LAZIMA ITENDEKE NA IONEKANE EMETENDEKA
 
Barric is licha ya kutofanya EIA, he is cleared!. Serikali imebebeshwa mzigo. Wizara za Madini, Mazingira, Maji na Afya kuwajibika. Mwekezaji kugharimia kila kitu.

Kwa kweli lazima wawekezaji walindwe kwa nguvu zote za serikali yetu, yaani Barric North Mara, imejengwa bila EIA na bado ipo!. This country bwana...!.

Mambo yakiwa safi, nitawaletea taarifa yenyewe. tatizo hapa Bungeni, wanaopewa taarifa ni wabunge na wanahabari tuu, sisi wananchi wa kawaida huwa tunanyimwa.

Nitabembellleza kwa wanahabari marafiki nipate copy na kuwarudishia.

Ahsante sana Pasco kwa taarifa hiyo.

Binafsi sikutarajia kusikia wala kuiona kamati ya bunge ikisimamia ukweli.

Nilitarajia kwamba hawa maharamia wa nchi kavu lazima watasafishwa kwa msasa mkali, na ndicho kilichotokea.

Kwakuwa Tanzania bado hatuna viongozi wanaowajali watanzania wenzao, hali hii itaendelea kurindima tu kila siku.

Lakini ipo siku tutajitoa utumwani, Ingawa tunawajibika kujipanga vizuri sana ili tufanikiwe.
 
Barric is licha ya kutofanya EIA, he is cleared!. Serikali imebebeshwa mzigo. Wizara za Madini, Mazingira, Maji na Afya kuwajibika. Mwekezaji kugharimia kila kitu.

Mkuu Pasco,

SENKIS kwa update

Nikiunganisha hizo sentennsi mbili (bold&red) naona kama zina-"contradiction"!

Cleared then kugharimia kila kitu!
 
Mkuu Pasco,

SENKIS kwa update

Nikiunganisha hizo sentennsi mbili (bold&red) naona kama zina-"contradiction"!

Cleared then kugharimia kila kitu!
Baba Enock, kwanza asante for reading in between the line. Its true Barric is cleared huku no EIA imefanywa!. Ingekuwa China kwanza North Mara ingeshafungwa right on the spot, na aliyeidhinisha mradi wa Noth Mara angenyongwa!. Ile kashfa ya maziwa kiwanda kilifungwa on the spot, wahusika wamehukumiwa kunyongwa kama leo, kesho yake hukumu imetekelezwa!.

Kama North Mara imejengwa bila EIA, how is it cleared!. Hiyo kamati ya Bunge wao wana expertise kujua.

My opinion,ni North Mara imesababisha yote. barrick wamekata panga nene left right and centre na wamekubali watalipa kila kitu including kumfund whoever atakaye mn'oa Mwera, anawawekea kauzibe.

clearance ya Barric ni works of kisu kikali.
 
Barric is licha ya kutofanya EIA, he is cleared!. Serikali imebebeshwa mzigo. Wizara za Madini, Mazingira, Maji na Afya kuwajibika. Mwekezaji kugharimia kila kitu.

Kwa kweli lazima wawekezaji walindwe kwa nguvu zote za serikali yetu, yaani Barric North Mara, imejengwa bila EIA na bado ipo!. This country bwana...!.

Mambo yakiwa safi, nitawaletea taarifa yenyewe. tatizo hapa Bungeni, wanaopewa taarifa ni wabunge na wanahabari tuu, sisi wananchi wa kawaida huwa tunanyimwa.

Nitabembellleza kwa wanahabari marafiki nipate copy na kuwarudishia.

Inashangaza, lakini tujiulize defination ya mwekezaji hapa Tanzania. Hawa wawekezaji ni akina nani??????
 
Taarifa ni hii hapa.
Mtanisamehe haya mambo ya attachment nayo ni kazi za watu, hivyo mode naomba nisaidie kuiweka vizuri.
Ph.D ichukua hii attachment uiweke pale kwenye post yako hapo mwanzo.
 

Attachments

  • Taarifa ya Kamati ya North Mara.doc
    2.1 MB · Views: 31
Ahsante sana Pasco kwa taarifa hiyo.

Binafsi sikutarajia kusikia wala kuiona kamati ya bunge ikisimamia ukweli.

Nilitarajia kwamba hawa maharamia wa nchi kavu lazima watasafishwa kwa msasa mkali, na ndicho kilichotokea.

Kwakuwa Tanzania bado hatuna viongozi wanaowajali watanzania wenzao, hali hii itaendelea kurindima tu kila siku.

Lakini ipo siku tutajitoa utumwani, Ingawa tunawajibika kujipanga vizuri sana ili tufanikiwe.
Siku imefika.
P.
 
Baba Enock, kwanza asante for reading in between the line. Its true Barric is cleared huku no EIA imefanywa!. Ingekuwa China kwanza North Mara ingeshafungwa right on the spot, na aliyeidhinisha mradi wa Noth Mara angenyongwa!. Ile kashfa ya maziwa kiwanda kilifungwa on the spot, wahusika wamehukumiwa kunyongwa kama leo, kesho yake hukumu imetekelezwa!.

Kama North Mara imejengwa bila EIA, how is it cleared!. Hiyo kamati ya Bunge wao wana expertise kujua.

My opinion,ni North Mara imesababisha yote. barrick wamekata panga nene left right and centre na wamekubali watalipa kila kitu including kumfund whoever atakaye mn'oa Mwera, anawawekea kauzibe.

clearance ya Barric ni works of kisu kikali.
Haya ndio mambo ya Acacia!.
P.
 
Back
Top Bottom