Barric is licha ya kutofanya EIA, he is cleared!. Serikali imebebeshwa mzigo. Wizara za Madini, Mazingira, Maji na Afya kuwajibika. Mwekezaji kugharimia kila kitu.
Kwa kweli lazima wawekezaji walindwe kwa nguvu zote za serikali yetu, yaani Barric North Mara, imejengwa bila EIA na bado ipo!. This country bwana...!.
Mambo yakiwa safi, nitawaletea taarifa yenyewe. tatizo hapa Bungeni, wanaopewa taarifa ni wabunge na wanahabari tuu, sisi wananchi wa kawaida huwa tunanyimwa.
Nitabembellleza kwa wanahabari marafiki nipate copy na kuwarudishia.
Hilo lipo kwani? sio kila mtu anatafuta jinsi ya kurudi tena bungeni, Taharifa wakati inasomwa usishangae akili na mawazo ya wabunge walio wengi wasijue kinacho endelea zaidi ya kuwaza kampeini za kuwania ubunge tu......hizo taasisi zinawajibika kivipi? mawaziri wake wanatakiwa kuresign au?
Pasco pamoja na kuwa wewe si mwana habari lakini juhudi zako za kutuhabarisha hapa JF zinaonekana na kukubalika. Keep it up comrediBarric is licha ya kutofanya EIA, he is cleared!. Serikali imebebeshwa mzigo. Wizara za Madini, Mazingira, Maji na Afya kuwajibika. Mwekezaji kugharimia kila kitu.
Kwa kweli lazima wawekezaji walindwe kwa nguvu zote za serikali yetu, yaani Barric North Mara, imejengwa bila EIA na bado ipo!. This country bwana...!.
Mambo yakiwa safi, nitawaletea taarifa yenyewe. tatizo hapa Bungeni, wanaopewa taarifa ni wabunge na wanahabari tuu, sisi wananchi wa kawaida huwa tunanyimwa.
Nitabembellleza kwa wanahabari marafiki nipate copy na kuwarudishia.
Barric is licha ya kutofanya EIA, he is cleared!. Serikali imebebeshwa mzigo. Wizara za Madini, Mazingira, Maji na Afya kuwajibika. Mwekezaji kugharimia kila kitu.
Kwa kweli lazima wawekezaji walindwe kwa nguvu zote za serikali yetu, yaani Barric North Mara, imejengwa bila EIA na bado ipo!. This country bwana...!.
Mambo yakiwa safi, nitawaletea taarifa yenyewe. tatizo hapa Bungeni, wanaopewa taarifa ni wabunge na wanahabari tuu, sisi wananchi wa kawaida huwa tunanyimwa.
Nitabembellleza kwa wanahabari marafiki nipate copy na kuwarudishia.
Barric is licha ya kutofanya EIA, he is cleared!. Serikali imebebeshwa mzigo. Wizara za Madini, Mazingira, Maji na Afya kuwajibika. Mwekezaji kugharimia kila kitu.
Kwa kweli lazima wawekezaji walindwe kwa nguvu zote za serikali yetu, yaani Barric North Mara, imejengwa bila EIA na bado ipo!. This country bwana...!.
Mambo yakiwa safi, nitawaletea taarifa yenyewe. tatizo hapa Bungeni, wanaopewa taarifa ni wabunge na wanahabari tuu, sisi wananchi wa kawaida huwa tunanyimwa.
Nitabembellleza kwa wanahabari marafiki nipate copy na kuwarudishia.
Pasco ni pen name kwa JF tuu.kumbe pasco si mwanahabari..........
Barric is licha ya kutofanya EIA, he is cleared!. Serikali imebebeshwa mzigo. Wizara za Madini, Mazingira, Maji na Afya kuwajibika. Mwekezaji kugharimia kila kitu.
Baba Enock, kwanza asante for reading in between the line. Its true Barric is cleared huku no EIA imefanywa!. Ingekuwa China kwanza North Mara ingeshafungwa right on the spot, na aliyeidhinisha mradi wa Noth Mara angenyongwa!. Ile kashfa ya maziwa kiwanda kilifungwa on the spot, wahusika wamehukumiwa kunyongwa kama leo, kesho yake hukumu imetekelezwa!.Mkuu Pasco,
SENKIS kwa update
Nikiunganisha hizo sentennsi mbili (bold&red) naona kama zina-"contradiction"!
Cleared then kugharimia kila kitu!
Barric is licha ya kutofanya EIA, he is cleared!. Serikali imebebeshwa mzigo. Wizara za Madini, Mazingira, Maji na Afya kuwajibika. Mwekezaji kugharimia kila kitu.
Kwa kweli lazima wawekezaji walindwe kwa nguvu zote za serikali yetu, yaani Barric North Mara, imejengwa bila EIA na bado ipo!. This country bwana...!.
Mambo yakiwa safi, nitawaletea taarifa yenyewe. tatizo hapa Bungeni, wanaopewa taarifa ni wabunge na wanahabari tuu, sisi wananchi wa kawaida huwa tunanyimwa.
Nitabembellleza kwa wanahabari marafiki nipate copy na kuwarudishia.
Siku imefika.Ahsante sana Pasco kwa taarifa hiyo.
Binafsi sikutarajia kusikia wala kuiona kamati ya bunge ikisimamia ukweli.
Nilitarajia kwamba hawa maharamia wa nchi kavu lazima watasafishwa kwa msasa mkali, na ndicho kilichotokea.
Kwakuwa Tanzania bado hatuna viongozi wanaowajali watanzania wenzao, hali hii itaendelea kurindima tu kila siku.
Lakini ipo siku tutajitoa utumwani, Ingawa tunawajibika kujipanga vizuri sana ili tufanikiwe.
Haya ndio mambo ya Acacia!.Baba Enock, kwanza asante for reading in between the line. Its true Barric is cleared huku no EIA imefanywa!. Ingekuwa China kwanza North Mara ingeshafungwa right on the spot, na aliyeidhinisha mradi wa Noth Mara angenyongwa!. Ile kashfa ya maziwa kiwanda kilifungwa on the spot, wahusika wamehukumiwa kunyongwa kama leo, kesho yake hukumu imetekelezwa!.
Kama North Mara imejengwa bila EIA, how is it cleared!. Hiyo kamati ya Bunge wao wana expertise kujua.
My opinion,ni North Mara imesababisha yote. barrick wamekata panga nene left right and centre na wamekubali watalipa kila kitu including kumfund whoever atakaye mn'oa Mwera, anawawekea kauzibe.
clearance ya Barric ni works of kisu kikali.