Taarifa: Uhakiki wa vyeti vya kidato cha 4&6 kwa Walimu na Watumishi wa Umma

Ukiwa na vyeti halali ulivovilowekea miguu kwenye beseni huna tatizo waje mchana au usiku alfajiri au jioni alasiri au adhuhuri,nyumbani au ugenini kanisani au msikitini mjini au kijijini. Njooni fasta
ndugu yangu inaonekana huna tabia ya kujali muda wako
 
wewe ndio hujaelewa, hiyo barua ina makosa ya kimantiki-badala ya neno ualimu hapo angeweka vyeti vya kitaaluma kuwa-accomodate watumishi wote wa umma, la sivyo hii barua inawalenga walimu pekee,

lakini mitihani inayosimamiwa na NECTA ni
  • Primary School Leaving Examination (PSLE)
  • Form Two Secondary Education Examination(FTSEE)
  • Qualifying Test (QT)
  • Certificate of Secondary Education Examination(CSEE)
  • Advanced Certificate of Secondary Education Examination (ACSEE)
  • Grade A Teachers Certificate Examination (GATCE)
  • Grade A Teachers Special Course Certificate Examination (GATSCCE)
  • Diploma in Technical Education(DTE)
  • Diploma in Secondary Education (DSEE)
hivyo NECTA kusema watafanya uhakiki katika mitahani ya form 4, form 6 na ualimu walimaanisha kuwa wanahakiki mitihani wanayoisimamia kwa kifupi wanamaanisha hivyi watahakiki CSEE(form 4), ACSEE(form 6) na GATCE,GATSCCE,DTE,DSEE (waalimu).
wanaweza kushindwa kufanya huakiki katika fani au taaluma nyingine kwa sababu tu vyuo husika ndivyo vinavyotoa vyeti hivyo japokuwa wao watahakikiwa vyeti vya CSEE na ACSEE
maoni yangu kwa nionavyo
 
Eti kwa "Walimu" na watumishi wengine wa umma. Hii kada ya Ualimu mmmmh

lakini mitihani inayosimamiwa na NECTA ni
  • Primary School Leaving Examination (PSLE)
  • Form Two Secondary Education Examination(FTSEE)
  • Qualifying Test (QT)
  • Certificate of Secondary Education Examination(CSEE)
  • Advanced Certificate of Secondary Education Examination (ACSEE)
  • Grade A Teachers Certificate Examination (GATCE)
  • Grade A Teachers Special Course Certificate Examination (GATSCCE)
  • Diploma in Technical Education(DTE)
  • Diploma in Secondary Education (DSEE)
hivyo NECTA kusema watafanya uhakiki katika mitahani ya form 4, form 6 na ualimu walimaanisha kuwa wanahakiki mitihani wanayoisimamia kwa kifupi wanamaanisha hivyi watahakiki CSEE(form 4), ACSEE(form 6) na GATCE,GATSCCE,DTE,DSEE (waalimu).
wanaweza kushindwa kufanya huakiki katika fani au taaluma nyingine kwa sababu tu vyuo husika ndivyo vinavyotoa vyeti hivyo japokuwa wao watahakikiwa vyeti vya CSEE na ACSEE
maoni yangu kwa nionavyo
 
Yah:Uhakiki wa vyeti vya kidato cha 4&6 na Ualimu kwa watumishi wa Umma nchini.
Umeelewaje hapo kwanza? Kwanza kabla hatujaja kwenye ujumbe wenyewe

mitihani inayosimamiwa na NECTA ni
  • Primary School Leaving Examination (PSLE)
  • Form Two Secondary Education Examination(FTSEE)
  • Qualifying Test (QT)
  • Certificate of Secondary Education Examination(CSEE)
  • Advanced Certificate of Secondary Education Examination (ACSEE)
  • Grade A Teachers Certificate Examination (GATCE)
  • Grade A Teachers Special Course Certificate Examination (GATSCCE)
  • Diploma in Technical Education(DTE)
  • Diploma in Secondary Education (DSEE)
hivyo NECTA kusema watafanya uhakiki katika mitahani ya form 4, form 6 na ualimu walimaanisha kuwa wanahakiki mitihani wanayoisimamia kwa kifupi wanamaanisha hivyi watahakiki CSEE(form 4), ACSEE(form 6) na GATCE,GATSCCE,DTE,DSEE (waalimu).
wanaweza kushindwa kufanya huakiki katika fani au taaluma nyingine kwa sababu tu vyuo husika ndivyo vinavyotoa vyeti hivyo japokuwa wao watahakikiwa vyeti vya CSEE na ACSEE
maoni yangu kwa nionavyo
 
Hajaielewa barua hiyo vizuri tafadhari.


lakini mitihani inayosimamiwa na NECTA ni
  • Primary School Leaving Examination (PSLE)
  • Form Two Secondary Education Examination(FTSEE)
  • Qualifying Test (QT)
  • Certificate of Secondary Education Examination(CSEE)
  • Advanced Certificate of Secondary Education Examination (ACSEE)
  • Grade A Teachers Certificate Examination (GATCE)
  • Grade A Teachers Special Course Certificate Examination (GATSCCE)
  • Diploma in Technical Education(DTE)
  • Diploma in Secondary Education (DSEE)
hivyo NECTA kusema watafanya uhakiki katika mitahani ya form 4, form 6 na ualimu walimaanisha kuwa wanahakiki mitihani wanayoisimamia kwa kifupi wanamaanisha hivyi watahakiki CSEE(form 4), ACSEE(form 6) na GATCE,GATSCCE,DTE,DSEE (waalimu).
wanaweza kushindwa kufanya huakiki katika fani au taaluma nyingine kwa sababu tu vyuo husika ndivyo vinavyotoa vyeti hivyo japokuwa wao watahakikiwa vyeti vya CSEE na ACSEE
maoni yangu kwa nionavyo
 
Hamjaelewa.....walimu wa diploma/certificate wanafanya mtihani unaoandaliwa na NECTA


sure
lakini mitihani inayosimamiwa na NECTA ni
  • Primary School Leaving Examination (PSLE)
  • Form Two Secondary Education Examination(FTSEE)
  • Qualifying Test (QT)
  • Certificate of Secondary Education Examination(CSEE)
  • Advanced Certificate of Secondary Education Examination (ACSEE)
  • Grade A Teachers Certificate Examination (GATCE)
  • Grade A Teachers Special Course Certificate Examination (GATSCCE)
  • Diploma in Technical Education(DTE)
  • Diploma in Secondary Education (DSEE)
hivyo NECTA kusema watafanya uhakiki katika mitahani ya form 4, form 6 na ualimu walimaanisha kuwa wanahakiki mitihani wanayoisimamia kwa kifupi wanamaanisha hivyi watahakiki CSEE(form 4), ACSEE(form 6) na GATCE,GATSCCE,DTE,DSEE (waalimu).
wanaweza kushindwa kufanya huakiki katika fani au taaluma nyingine kwa sababu tu vyuo husika ndivyo vinavyotoa vyeti hivyo japokuwa wao watahakikiwa vyeti vya CSEE na ACSEE
maoni yangu kwa nionavyo
 
Soma barua inaeleza mini, tusiwe wavivu kusoma

hapana nafikiri
mitihani inayosimamiwa na NECTA ni
  • Primary School Leaving Examination (PSLE)
  • Form Two Secondary Education Examination(FTSEE)
  • Qualifying Test (QT)
  • Certificate of Secondary Education Examination(CSEE)
  • Advanced Certificate of Secondary Education Examination (ACSEE)
  • Grade A Teachers Certificate Examination (GATCE)
  • Grade A Teachers Special Course Certificate Examination (GATSCCE)
  • Diploma in Technical Education(DTE)
  • Diploma in Secondary Education (DSEE)
hivyo NECTA kusema watafanya uhakiki katika mitahani ya form 4, form 6 na ualimu walimaanisha kuwa wanahakiki mitihani wanayoisimamia kwa kifupi wanamaanisha hivyi watahakiki CSEE(form 4), ACSEE(form 6) na GATCE,GATSCCE,DTE,DSEE (waalimu).
wanaweza kushindwa kufanya huakiki katika fani au taaluma nyingine kwa sababu tu vyuo husika ndivyo vinavyotoa vyeti hivyo japokuwa wao watahakikiwa vyeti vya CSEE na ACSEE
maoni yangu kwa nionavyo
 
lakini mitihani inayosimamiwa na NECTA ni
  • Primary School Leaving Examination (PSLE)
  • Form Two Secondary Education Examination(FTSEE)
  • Qualifying Test (QT)
  • Certificate of Secondary Education Examination(CSEE)
  • Advanced Certificate of Secondary Education Examination (ACSEE)
  • Grade A Teachers Certificate Examination (GATCE)
  • Grade A Teachers Special Course Certificate Examination (GATSCCE)
  • Diploma in Technical Education(DTE)
  • Diploma in Secondary Education (DSEE)
hivyo NECTA kusema watafanya uhakiki katika mitahani ya form 4, form 6 na ualimu walimaanisha kuwa wanahakiki mitihani wanayoisimamia kwa kifupi wanamaanisha hivyi watahakiki CSEE(form 4), ACSEE(form 6) na GATCE,GATSCCE,DTE,DSEE (waalimu).
wanaweza kushindwa kufanya huakiki katika fani au taaluma nyingine kwa sababu tu vyuo husika ndivyo vinavyotoa vyeti hivyo japokuwa wao watahakikiwa vyeti vya CSEE na ACSEE
maoni yangu kwa nionavyo
 
Haya ni masimango jamani... Daah. Ina maana vipaumbele vya serikali ndio vimeisha wakabaki na uhakiki tu?
 
Kwani madactari hawana vyeti kwann wasiseme na vyeti vya madactar
Watumishi wote wakiwemo walimu,wauguzi,mabwana afya,mainjinia,mabwana shamba,maendeleo jamii,Madaktari n.k watakaguliwa vyeti vyao vya elimu ya sekondari (o-level na a-level) kwa sababu vyeti hivi chini ya NECTA.Baadhi ya vyeti vya kitaaluma vya walimu ambao hawakusoma vyuo vilivyo chini ya NECTA kama UDSM,TUMAINI,KAMPALA University n.k NECTA hawatavikagua kwa kuwa mitihani na utaoji wa vyeti hivi hausimamiwi na NECTA. Walimu watakaoguliwa vyeti ni wale ambao vyuo walivyosoma viko chini ya necta
 
kila zama lazima ziandikwe - A.H. Mwinyi.
Hizi ni zama za uhakiki! Juzi NIDA wamepita na kutaka nakala za vyeti vyote, hata kwa wale watumishi wa 'nkumbaro' (darasa la saba). Na jamaa wa NIDA wanadai uhakiki wao ndio kila kitu. Leo wanaibuka wengine wakitaka kuangalia hivyo vikaratasi
 
Inawezekana uhakiki ni kipaundele cha kwanza kabla viwanda.its better the devil u know than the jesus whon have never seen.naogopa kudadavua mbinu hii ya kubuytime coz mil7 mie sina. BACK TANGANYIKA
 

Attachments

  • uhakiki.jpeg
    uhakiki.jpeg
    37.9 KB · Views: 60
  • ratiba.jpeg
    ratiba.jpeg
    47.3 KB · Views: 43
Back
Top Bottom