Mwanaukweli
JF-Expert Member
- May 18, 2007
- 4,786
- 1,710
Thanks mkuu!
....
Mheshimiwa, ipo shida kubwa na ni sugu ya maji katika maeneo yote ya Kimara, wananchi walio maeneo ya Kimara walikuchagua kwa lengo kuu la kutatua kero hiyo ambayo ilionekana kumshinda mh. Keenja, hivyo, fanya yote usipotekeleza hilo hakika utakuwa na kipindi kigumu sana katika eneo la Kimara.
Mnyika yale yote ulioahidi hujatekeleza hata moja, ila kwa kupiga domo bungeni hilo umefanikiwa, nia yetu ya wakazi wa ubungo ni kutekeleza uliyotuahidi vinginevyo 2015 ukae mguu sawa ukalime.
kaka hiyo taarifa imeshasambazwa kwa wananchi hususani kwa kata nane ambazo mbunge alifanya ziara ya kufungua misingi ya chama na alikua anakabidhi taarifa hizi kwa viongozi wa misingi. kata ambazo tayari wameshakabidhiwa ni mabibo, mburahati, makuburi, kimara,msigani, kwembe, mbezi na goba.Naomba kuunga mkono hoja hii kwa nguvu sana.
Nashauri ripoti hii uichapishe na kuisambaza ktk jimbo lote. Viongozi wote wa chama ktk ngzi kata na tawi waipate ili wawaeleze wananchi.Ofisi zote za chama iwe na nakala.
Pili, Ni ukweli kwamba wagombea watarajiwa wa vyama vyote wanaeneza taarifa za uwongo huko mtaani kuwa wewe ni mbunge wa magazeti na mjengoni. Ukisambaza taarifa hii utakuwa umekata mzizi wa fitina.
Tatu, si vibaya kama utawaambia wengine kupitia vyombo vya habari. Well, wako watakaosema unatafuta cheap popularity, lakini ndivyo walivyomsema mbowe na helikopta yake 2005 lakini baadaye nao wakamwiga.
hata ulipo mnyima kura yako mwaka 2010 bado akawa mshindi. pili ukinya utazoa tu, sababu barabara kutoka magomeni hadi kiluvya itakua katika kiwango cha kimataifa (morogoro road), huo ni uongozi wa mnyika. tatu: kwa kuwa huna uhalali (ligitimacy) kwa umma basi mnyika bado atakua mbunge wako wa ubungo hata kama unachuki binafsiSio kwamba na roho mbaya na wewe ila 2015 ukishinda na kunya barabarani kwangu sio ogopi kusema ukweli Kwa mbunge mwenye maneno mengi wakati wananchi hatuoni kitu wewe wasikilize wapambe wako wanaokupamba ukajisikia umefanya kazi nzuri.2015 utapata jibu mark my word your one term member of parliament.
Mkuu nimesoma na hiyo taarifa ni ya muda nrefu. Shida yangu ni kwamba Mnyika awashirikishe wananchi ili wachonge barabara kwa kutumia grader jipya la manispaa ya kinondoni. Tufanye hayo ili barabara ziwe passable wakati tunasubiri MCHAKATO
Nimesoma kazi ulizofanya, ofcourse nyingi sana nazijua lakini hata kama perfomance ya jimboni isingekuwa kubwa, bado kazi unazofanya bungeni ingenifanya nikuunge mkono tena kwa nguvu zote 2015 kama tulivyokuwa 2010. Bravo.
Hata hivyo, jiandae pia kupokea maoni ya Ritz & co.