KiuyaJibu
JF-Expert Member
- Aug 29, 2007
- 841
- 175
Chuo cha kufundisha ukahaba kimeanzishwa huko nchini Hispania na gharama ya kusoma kozi hiyo ni euro 100.Kampuni inayohusika na kuanzisha kwa kozi hiyo imeshinda changamoto zote za kidini na kijamii kwa kutimiza taratibu zote za kisheria.Hata hivyo,kampuni hiyo ilipata wakati mgumu kwa kuwekewa vikwazo na taasisi za kidini;na hatimaye serikali ya Hispania iliridhia kwa kozi hiyo kuwepo,na kampuni imeahidi kufanya kozi hiyo kuwa salama kwa wahitimu.
TAFAKARI NA CHUKUA HATUA.
TAFAKARI NA CHUKUA HATUA.