Chauro JF-Expert Member Aug 20, 2010 2,968 1,476 Nov 4, 2011 #61 wenye ndoa wanapendana sana na huwa hawacheat nani kawadanganya!
JICHO LA 3 JF-Expert Member Oct 3, 2011 356 62 Nov 4, 2011 #62 bombu said: Duh! mie nko nje lakini natamani kutoka, lol Click to expand... Duh.................. SASA SHOST UTATOKAJE KAMA HUJAINGIA?????????
bombu said: Duh! mie nko nje lakini natamani kutoka, lol Click to expand... Duh.................. SASA SHOST UTATOKAJE KAMA HUJAINGIA?????????
JICHO LA 3 JF-Expert Member Oct 3, 2011 356 62 Nov 4, 2011 #63 Excellent said: mkiwa nje mtamu...mkiingia ndani mchungu..teh teh teh hapo patamu Click to expand... we acha tu kila siku kuulizana maswali tunatimiza lini ndoto za kuishi pamoja
Excellent said: mkiwa nje mtamu...mkiingia ndani mchungu..teh teh teh hapo patamu Click to expand... we acha tu kila siku kuulizana maswali tunatimiza lini ndoto za kuishi pamoja
Viol JF-Expert Member Dec 15, 2009 25,426 18,231 Nov 4, 2011 Thread starter #64 Chauro said: wenye ndoa wanapendana sana na huwa hawacheat nani kawadanganya! Click to expand... wenye ndoa ndo wanaoongoza,we hujui tu
Chauro said: wenye ndoa wanapendana sana na huwa hawacheat nani kawadanganya! Click to expand... wenye ndoa ndo wanaoongoza,we hujui tu
Viol JF-Expert Member Dec 15, 2009 25,426 18,231 Nov 4, 2011 Thread starter #65 JICHO LA 3 said: we acha tu kila siku kuulizana maswali tunatimiza lini ndoto za kuishi pamoja Click to expand... dah ila sometimes ukiwa ndani pia kuna raha but ikianza karaha ndo ishu
JICHO LA 3 said: we acha tu kila siku kuulizana maswali tunatimiza lini ndoto za kuishi pamoja Click to expand... dah ila sometimes ukiwa ndani pia kuna raha but ikianza karaha ndo ishu