IGWE
JF-Expert Member
- Feb 3, 2011
- 9,463
- 7,384
Kuna kinyumba na kighetto_sema unataka lipi sasa.kinyumba ndio nini?
Kuna kinyumba na kighetto_sema unataka lipi sasa.kinyumba ndio nini?
Yeah_man!...na hasa kina iwesisi hapa!
Karibu sana jukwaani!!!umewasalimu wakubwa wa jukwaa??!!!wenye ndoa nomaa!
Herry
Arusha
Avatar yangu huwa inareflectnilivyo!!!nikiingia JF lazima kunakuwa na kachupa ka wine pembeni na kaglasi!!then mdogomdogo nalisongesha!!!hahahahaha!!Heri umemkaribisha kijana,naona avatar yako umekula pozi unapata moja mbili
Dah hata mimi hayse,lazima kuwe na kamdundo wa kamziki halafu na glass lenye kimiminika cha goldAvatar yangu huwa inareflectnilivyo!!!nikiingia JF lazima kunakuwa na kachupa ka wine pembeni na kaglasi!!then mdogomdogo nalisongesha!!!hahahahaha!!
Tunapoongelea ku'cheat' maana yake panatakiwa pawepo mtu wa pili utakayem'cheat',thus automatically wenye ndoa wanaongoza coz wana watu wa kuwa'cheat'!!!Je ambaye yupoyupo atam'cheat nani wakati yuko mwenyewe?????
ndo ujue ndoa ndoano teh teh
dah mkuu nalog off
Walio nje wanatamani kuingia na walio ndani wanatamani kutoka
Ila huwezi kuiona ndoano mpaka uingie kwenye ndoa PATAMU HAPO