Swali la wanawake wanatoa nini kwenye mahusiano zaidi ya ngono ni la kipuuzi

Pole kwa mtoa mada naona ameandika kwa hisia sana
Kimsingi, watu wanaoana ili washirikiane; tatizo huanza pale baadhi ya wanawake wenye kipato kufikiri kuwa hela zao ni zao; wakati Biblia iliweka wazi kuwa mwanamke asiyekuwa na kipato atategemea Mumewe kwa kila kitu sasa hata wale wanawake wanye vipato kwa kutokuelewa hufikiri na wao wamejumuishwa hapo.
MWISHO: huwezi kulinganisha (comparison) kati ya kiungo cha mwili na kitu alicho tengeneza binadamu (papuchi na Pesa?)

Kwani ndugu hakuna wanawake wanawapa pesa wanaume

Ni kwamba tunawafichia siri ila wengi tunajihudumia wenyewe
 
Ni kweli.
But at the same time inabidi tuangalie mzizi kwanza wa hili tatizo.
Wanaume tuliozaliwa zamani tulifundishwa jinsi ya kusimamia majukumu yetu ipasavyo.
Sasa hivi wamama wanalea watoto wa kiume kilaini laini, mtoto hata hajabalehe ameshaanza kuonyeshwa tiktok na takataka zingine, anafanyiwa kila kitu na housegal, analelewa kimayaiiii a.k.a kizungu. Na wanaume hawa semi kitu, wanabung'aa tu. Kesho huyo kijana akikua, ni mlaini laini hawezi hata kunyanyua gunia ya kilo 50 akatembea nayo hatua kumi.
Kinachofata ndo hawa hawa, anakesha mtandaoni kuangalia mataqo, akimaliza anapiga puli, af ndo anaanza sera za kataa ndoa maana anajua kabisa akioa hawezi kubeba majukumu kama mwanaume

Wameelewa mkuu
 
Binaadamu ni rahisi kusahau na kukufuru kwa kukebehi wanawake ambao ni mama zetu, dada zetu n.k. Mwenye akili timamu na kushukuru neema za Mwenyezi Mungu atajua vipi mama zetu walijitoa kwa ajili ya yetu na familia kwa jumla.
Wanawake ni nusu mmoja na ya pili ni wanaume tukiwa pamoja ndio binaadamu kakamilika.


Sent from my BLA-L29 using JamiiForums mobile app
 
We complement each other. Hakuna sababu ya kum-downgrade mwanamke, ila wajue majukumu yao kama wake na mama. Kuna competition ipo kwa sasa, huwezi kufanya competition na mwanaume hata siku moja.
 
Most times hua nikisoma comments humu naamini 95% ya watu wanaotoa controversial ideas, wao hawa practice what they say. Possibility n kubwa wengi wa "kataa ndoa" wameoa au wana wapenzi but wako na frustrations mob humo ndani ya mahusiano yao.
Iko wazi kuwa in this life, a woman is not all about sex. Wanawake wana mchango mwingi sana but shida n kwamba tunafanya quantification kwenye material things kama hela n.k.
Personaly sikubaliani na kukataa ndoa maana najua kbsa gap ambayo mwanamke wangu anacover kwenye life yangu.
Chimbuko la hili tatizo ni wanaume wengi kukosa msingi wa kiume kwaio wanakua kama wavulana. Hawajui majukumu yao n.k.
Kama mwanaume, kumhudumia mkeo na familia ni kitu cha ufahari na sio suala la kulia lia na kulalamika.
Its jus that un-matured boys, wanakutana na un-matured girls wanaishia kuleta maneno ya kudang dang kama kangaroo.
Swali kubwa la kujiuliza n kwamba, hao wanao support kukataa ndoa, mara kupiga na kuacha e.tc, wanapozaa watoto wa kike, what future do they expect watoto wao wapate?
NA wengi wao n vijana wadogo wa early 20s ambao bado hawajui maisha. Wengi wao ni KKB(KUla, kulala, kunya bure)

Umemaliza kila kitu, comment yako ikae juu kabisa kila Mvulana KKKB aione.
 
Hata ww bado hujaeleza jambo la msingi, ungesema kwamba katika mahusiano mdada ana-offer vitu gani na wakaka wana-offer nn?

Kwa walioko kwenye ndoa mume na mke wana vingi wanavovifanya pamoja hili swali haliwahusu sana, hili tuacheni tuliopo kwenye mahusiano ambayo hayajawa rasmi
 
Hivi mnakuwaga na MAMA waliowazaa Kweli nyie?ule msemo watoto wa kiume wanapenda mama zao imekuwaje siku hizi??Hivi unaweza ku highlights upuuzi wa namna hii achilia mbali kuandika kutumia utashi wako?
Hao ni machokoraa sijui unanielewa? Wamejilea kwenye mitaro na chini ya madaraja.... hakuna mtu aliyelelewa na wazazi au walezi akawa na fikra mbaya kama hizo
 
Na nyie mtujibu hapa mnatupa nini zaidi ya hela ambayo na ye nywe kwa sasa wanawake tumeshikiria msukani tunatafuta na zetu na tunawahongaa piaa
Hao wanawake wanaohonga (Wenye miaka 18-45) wanatoka wapi? Mwanaume Tangu mwanzo wa mahusiano ndo mwekezaji mkubwa, huku mwanamke akiwa hawekezi chochote, au anawekeza kidogo sana.

Mwanaume tangu mwanzo wa mahusiano tunawekeza

1)Muda kukupigia misele.

2)Attention ya kukuchatisha na kukupigisha story wanawake wengi kupiga story hamjui, ukinitext ni mambo hlf unasubiri conversationtion yote niendeleze mimi.
3) Pesa ndo usiseme.
4) Wanaume tunawekeza hisia na matarajio kwa mwanamke ambayo mara nyingi yanakuja kuvunjwa.
5)Wanaume tunaweka heshima yetu na ego yetu rehani tunapokuja kuwatongoza
5) Dushe nalo si uwekezaji? Wakati wanawake wengi kwenye mahusiano kipochi manyoya hampendi kutoa au mnatoa kwa masharti.
6) Tunawapa heshima ya ninyi kuolewa mbele ya jamii..

Extrovert niendelee au tumuache kwanza, huyu mama mzungu mtoa mada
mamamzungu
 
Hao wanawake wanaohonga (Wenye miaka 18-45) wanatoka wapi? Mwanaume Tangu mwanzo wa mahusiano ndo mwekezaji mkubwa, huku mwanamke akiwa hawekezi chochote, au anawekeza kidogo sana.

Mwanaume tangu mwanzo wa mahusiano tunawekeza

1)Muda kukupigia misele.

2)Attention ya kukuchatisha na kukupigisha story wanawake wengi kupiga story hamjui, ukinitext ni mambo hlf unasubiri conversationtion yote niendeleze mimi.
3) Pesa ndo usiseme.
4) Wanaume tunawekeza hisia na matarajio kwa mwanamke ambayo mara nyingi yanakuja kuvunjwa.
5)Wanaume tunaweka heshima yetu na ego yetu rehani tunapokuja kuwatongoza
5) Dushe nalo si uwekezaji? Wakati wanawake wengi kwenye mahusiano kipochi manyoya hampendi kutoa au mnatoa kwa masharti.
6) Tunawapa heshima ya ninyi kuolewa mbele ya jamii..

Extrovert niendelee au tumuache kwanza, huyu mama mzungu mtoa mada
mamamzungu
🤣 Endelea kumtia spana tu umentia uchungu kuna kibwengo mmoja naona atoi ushirikiano af nshapasuka sana 😎 kinachofata nataka kumzimia fegi mazima. Kenge maji kabisa.
 
Hao ni machokoraa sijui unanielewa? Wamejilea kwenye mitaro na chini ya madaraja.... hakuna mtu aliyelelewa na wazazi au walezi akawa na fikra mbaya kama hizo
Yaani watu wanaandika vitu Hadi unaniuliza huyu alizaliwa au aliokotwa?Naamini maneno Yako Hawa ni watoto wa mitaroni
 
Back
Top Bottom