Swali la wanawake wanatoa nini kwenye mahusiano zaidi ya ngono ni la kipuuzi

Swali ni mwanamke anatoa Nini?
Naomba nikuulize! Unaye mama? Kama unaye kaa naye chini akupe maarifa maana nahisi hayo ni matokeo ya baba kushindwa wajibu wake maana yeye ndio alipaswa kukupa hayo maarifa.
 
Sisi tunaoffer ulinzi kwa mwanamke.

Akitoka Mwenyezi Mungu ngazi ya inayofata ni Mwanaume sasa

Ili mwanamke aweze kuishi na awe salama lazima awe na ulinzi wa mwanaume, na mwanaume ndiye anaye msemea/ msalia mwanamke kwa Mwenyezi Mungu


Hakuna mwanamke salama bila ulinzi wa mwanaume, ambapo huo ulinzi unatoka kwa Mungu kuja kwa mwanaume na mwanaume anaoffer kwa mwanamke.


Ulinzi =pesa

Pesa =maisha

Maisha=Akili

Akili=mwanaume

Sasa maisha ya mwanamke yapo ndani ya mwanaume na ukiona mwanamke ana akili jua ana mwanaume

Kwa sababu akili ni mwanaume ambayo ni =maisha=pesa=ulinzi


Hivyo

Hakuna mwanamke anaye weza kuishi hapa duniani au kusikilizwa na Mwenyezi Mungu na akawa salama pamoja na kioo kwenye jamii inayo mzunguka bila mwanaume.

ukiona huna mwanaume na unasikikizwa na Mwenyezi Mungu jua anatumika baba yako ili uwe salama..

Kama unabisha angalia wanawake walio dharau baba zao alafu hawana mume walipo ishili.

Swali kwa wanawake

1:Wanawake tuambieni kwanini mkizaa mtoto wa kiume mnakua na amani zaidi moyoni kuliko kuwa na watoto wa kike, je huyo mtoto wa kiume ni nani?

2: Na kwanini mkizaa mtoto wakike mnasema bora hata na yeye aje ajionee?

Mkiweza kujibu hayo maswali hapo juu kwa hekima na ukweli, mtajua kabisa wanawake hamna cha kuoffer kwa mwanaume.
 
Mbona hakuwaamini akaona hanuweZi peke yenu akamuumba mwanamke
Nafikiri hili swali lina majibu or mtazamo wa aina 3.
1:Muono wa mwanadamu hii ni maarifa yake.
2.kidini inategemea muongozo wa dini yako unasemaje kuhusu mwanamke
3.kitamaduni kuna jamii mwanamke ni mtu wa mwisho sn.
So Kila mmoja ajibu kupitia hizi hatua 3 ndio watu watafahamu upo upande gani hapa wengi wapo kishabiki.
 
Hivi mnakuwaga na MAMA waliowazaa Kweli nyie?ule msemo watoto wa kiume wanapenda mama zao imekuwaje siku hizi??Hivi unaweza ku highlights upuuzi wa namna hii achilia mbali kuandika kutumia utashi wako?

We si ndo juzi ulikuwa unasema hutompikia mumeo, mabinti wengi siku hizi mmekuwa wabinafsi, mama zetu (wengi wao) walikuwa wanafanya traditional gender roles kama kupika, kufua, kuweka nyumba safi, kulea watoto kitabia, huku baba zetu wakiwa kazini wanatafta hela ya kuprovide for whole family, sahiv kupika hamtaki, mkienda kazini, mshahara wenu hamtaki kuchangia kwenye family..sijui mnaupeleka kwa mwamposa na waganga, hata kwenye ndoa papuchi mnatoa kwa manati Joannah Bless mom Dream Queen
 
Sasa Mkuu Pesa si. Ndo kila kitu mtu akikupa pesa maana Yake huyo mtu anakupenda na huna Cha ku offer chenye thamani zaidi ya PESA

Ukiangalia kichwani ushuri wanawake hawanaga ushauri zaidi ya kulalamika so Mimi binafsi naona pesa ndo silaha kubwa hapa Duniani.
 
Kuna mmoja huko kwenye nyuzi kasema kama wanawake wanawapa ushaurii basi hata mbuzi anaweza kutoa ushaurii… kwanini sasa usianzishe mahusiano na mbuzi akupe ushauri ukatafuta mwanamke
😍😂😂😂 apokee na 💉💉💉


Chimbuko la hili tatizo ni wanaume wengi kukosa msingi wa kiume kwaio wanakua kama wavulana. Hawajui majukumu yao n.k.
Umenena 💯
 
Hivi mtu mpaka anauliza hili swali huwa anawaza kitu gani haswa?? Yaani umekaa ukafikiria ukaja kuuliza swali ambalo majibu yake unayo

Mwanamke ana mengi ya kutoa kuliko hata wewe mwanaume… kwanza waulizaji wengi humu ni single( hawajaoa).. waliooa wanajua nini wanapata kwa wake zao zaidi ya papuchi…

Kuna mmoja huko kwenye nyuzi kasema kama wanawake wanawapa ushaurii basi hata mbuzi anaweza kutoa ushaurii… kwanini sasa usianzishe mahusiano na mbuzi akupe ushauri ukatafuta mwanamke

Hilo swali limekaa kimtego sana ni kama mnataka na nyie muanze kupewa matumizii muachiwe pesa ya mboga

Kwani ninyi wanaume mnakitu gani cha kuoffer zAidi ya pesaa???

Na Kama ni pesa wapo wanawake wanahonga wanaume sana tu, Je na hao mnataka wawape na kipi zaidi

Msichokijua ni kwamba asilimia 90 ndani ya Ndoa wanawake wanajihudumia wenyewe… wanaume wa siku hizi hawajui wajibu wao… wanaoa wanatelekeza wanawake

Yeye akiacha hela ya mboga ndio kamaliza…. Hajui mkewe anapaka mafuta gani chupi zake zimeishaa au hana nguo na mpaka aambiwe

Hivi unamuoa mtu unajua hana kazi ulitegemea avae kwa hela ganii au matumizi yake madogo madogo…

Hamjiulizi kwanini wanawake wengi siku hzi wanacheza mavikoba mpk kausha damu ili tu waweze kuhudumia familia zao

Kina Zamaradi wanakopa mpk ma benk ili kujihudumia

Sisi wanawake tuna vingi vya kuwaoffer kuliko ninyi wanaume

Hebu nipeni jibu


Wanaume mnanini cha kuoffer kwa mwanamke zaidi ya pesa???
Nimesoma uzi wako nimepata hadi mshtuko. Hivi kuna wanaume rijali kabisa hawajui thamani ya wanawake? Wamezaliwa na nani na wanatunzwa na nani majumbani mwao? Wala usibishane nao wewe wapite kule dada mzuri. Aiseyefunzwa na ***** atafunzwa na ulimwengu.
Nina miaka kadhaa ndani ya ndoa, nimejenga sababu ya juhudi za bidada, nimefungua maduka kadhaa kwajili ya bidada na yote anayasimamia maza house. Mtoto wa maskini mimi niliesoma
Kata watoto wangu wanasoma
Feza kwajili ya bidada. Tuna nyumba 5, uber kadhaa bajaji pikipiki maduka ya jumla vyakula liquor store dah alhamdulilah kwa
Miaka yangu 40 hata nikiacha kijikazi kangu serikalini naishi kwa kodi ya nyumba engineer mhandisi bidada. Hizo biashara zote sijui ata kazifungua wapi na leseni kaaply wapi me kazi yangu mtaji na kusukuma masela wote wawe wateja wangu na kupangia fedha kununua ma bonds serikalini ili watoto nao waje kuzifaidi. Mshahara wangu sijaushika sasa mwaka wa tatu. Asimame mtu aseme mwanamke nye nye nye me namjibu na kweli ndio afu nampigia bidada wangu maza house aniwekeee millioni chap nimpige bia uyu mjinga aendelee kulewa ashtuke wakati tumekuwa kama bakhressa. Nasisitiza dadaaa achana nao, wajibu ndio na kweli hakuna cha maaana hata mama yako hana anachofanya ndo walivo… afu aendelea.
 
Hivi mtu mpaka anauliza hili swali huwa anawaza kitu gani haswa?? Yaani umekaa ukafikiria ukaja kuuliza swali ambalo majibu yake unayo

Mwanamke ana mengi ya kutoa kuliko hata wewe mwanaume… kwanza waulizaji wengi humu ni single( hawajaoa).. waliooa wanajua nini wanapata kwa wake zao zaidi ya papuchi…

Kuna mmoja huko kwenye nyuzi kasema kama wanawake wanawapa ushaurii basi hata mbuzi anaweza kutoa ushaurii… kwanini sasa usianzishe mahusiano na mbuzi akupe ushauri ukatafuta mwanamke

Hilo swali limekaa kimtego sana ni kama mnataka na nyie muanze kupewa matumizii muachiwe pesa ya mboga

Kwani ninyi wanaume mnakitu gani cha kuoffer zAidi ya pesaa???

Na Kama ni pesa wapo wanawake wanahonga wanaume sana tu, Je na hao mnataka wawape na kipi zaidi

Msichokijua ni kwamba asilimia 90 ndani ya Ndoa wanawake wanajihudumia wenyewe… wanaume wa siku hizi hawajui wajibu wao… wanaoa wanatelekeza wanawake

Yeye akiacha hela ya mboga ndio kamaliza…. Hajui mkewe anapaka mafuta gani chupi zake zimeishaa au hana nguo na mpaka aambiwe

Hivi unamuoa mtu unajua hana kazi ulitegemea avae kwa hela ganii au matumizi yake madogo madogo…

Hamjiulizi kwanini wanawake wengi siku hzi wanacheza mavikoba mpk kausha damu ili tu waweze kuhudumia familia zao

Kina Zamaradi wanakopa mpk ma benk ili kujihudumia

Sisi wanawake tuna vingi vya kuwaoffer kuliko ninyi wanaume

Hebu nipeni jibu


Wanaume mnanini cha kuoffer kwa mwanamke zaidi ya pesa???
Vitaje hivyo mnavyo-tu-offer
 
We si ndo juzi ulikuwa unasema hutompikia mumeo, mabinti wengi siku hizi mmekuwa wabinafsi, mama zetu (wengi wao) walikuwa wanafanya traditional gender roles kama kupika, kufua, kuweka nyumba safi, kulea watoto kitabia, huku baba zetu wakiwa kazini wanatafta hela ya kuprovide for whole family, sahiv kupika hamtaki, mkienda kazini, mshahara wenu hamtaki kuchangia kwenye family..sijui mnaupeleka kwa mwamposa na waganga, hata kwenye ndoa papuchi mnatoa kwa manati Joannah Bless mom Dream Queen
Hapana bwanaa wengine hatupoo hivyooo..
 
IM A PURE AND TYPICAL MAN
only weak men compare themselves to women,weak men belittle women because of their inferiority complex,and treat women as a commodity because of their superiority complex..for ages,patriachal systems downgraded women to uphold men,from spiritual books to societal standards feminine is potrayed as weakness..the harsh truth,WOMEN ARE SUPERIOR TO MEN IN ALL ASPECTS OF LIFE,
many of us men,we’ve been raised and brought up higher by women,either our mothers,sisters or wives
yu need to be a strong man to admit this
IMG_0208.jpg
 
Hivi mtu mpaka anauliza hili swali huwa anawaza kitu gani haswa?? Yaani umekaa ukafikiria ukaja kuuliza swali ambalo majibu yake unayo

Mwanamke ana mengi ya kutoa kuliko hata wewe mwanaume… kwanza waulizaji wengi humu ni single( hawajaoa).. waliooa wanajua nini wanapata kwa wake zao zaidi ya papuchi…

Kuna mmoja huko kwenye nyuzi kasema kama wanawake wanawapa ushaurii basi hata mbuzi anaweza kutoa ushaurii… kwanini sasa usianzishe mahusiano na mbuzi akupe ushauri ukatafuta mwanamke

Hilo swali limekaa kimtego sana ni kama mnataka na nyie muanze kupewa matumizii muachiwe pesa ya mboga

Kwani ninyi wanaume mnakitu gani cha kuoffer zAidi ya pesaa???

Na Kama ni pesa wapo wanawake wanahonga wanaume sana tu, Je na hao mnataka wawape na kipi zaidi

Msichokijua ni kwamba asilimia 90 ndani ya Ndoa wanawake wanajihudumia wenyewe… wanaume wa siku hizi hawajui wajibu wao… wanaoa wanatelekeza wanawake

Yeye akiacha hela ya mboga ndio kamaliza…. Hajui mkewe anapaka mafuta gani chupi zake zimeishaa au hana nguo na mpaka aambiwe

Hivi unamuoa mtu unajua hana kazi ulitegemea avae kwa hela ganii au matumizi yake madogo madogo…

Hamjiulizi kwanini wanawake wengi siku hzi wanacheza mavikoba mpk kausha damu ili tu waweze kuhudumia familia zao

Kina Zamaradi wanakopa mpk ma benk ili kujihudumia

Sisi wanawake tuna vingi vya kuwaoffer kuliko ninyi wanaume

Hebu nipeni jibu


Wanaume mnanini cha kuoffer kwa mwanamke zaidi ya pesa???
Siku na mpango wa kureply ila naona wanawake wamejibu kwa makasiriko sana. Ila huu mjadala naumaliza mm lengo si kuwafumba wanawake midomo ila nataka wanawake watambue nafasi yao na wanaume watambue wajibu wao au majukumu yao.

Wanaume huwa siyo kwamba tunachukia tunavyowahudumia na si kwamba tunataka mtuhudumie lkn LKN TUNACHUKIA PALE AMBAPO TUNATIMIZA MAJUKUMU YETU NA BADO PAPUCHI UNAOMBA WW TENA. Wanawake wamejiweka kwenye position ya kutokuomba mashine bila ww mwanaume kumuanza wala hajiongezi na usipoomba maneno yataanza kabda jogoo hawiki n.k. lkn endapo siku 1,,,1 ukiwa unamuanza mwanaume kwamba uonyeshe we ndo mwenye nyege kuliko yeye hapo hata mchango wako utaonekana, papuchi ya kuombwa bili kujitoa mwenyewe au kumuanza mtu wako mara nyingi inamfanya mwanaume aboeke na mwanamke na aone kama hana msaada, hela utoe na papuchi uombe, alafu it doesn't matter mwanamke anatoa tu penzi kwenye mahusiano swali ni je hata kama ngono ndo mchango wa mwanamke ktk mahusiano swali hapo ni je! Hiyo ngono anaitoa vp? Anaweza akawa hana kingine cha kutoa kwakua ni mama wa nyumbani lkn mumewe akaridhika na akapendezwa nae hadi basi so ni circumstancial.


Lakin naomba itambulike kuwa WANAWAKE WANAOGA, WAJITUMIA VIPODOZI, WANAWEKA MAKE UP, KUSUKA MITINDO MIZUR YA NYWELE YANI KIUFUPI WANANUKIA NA KUPENDEZA KWAAJILI YETU, IWE NI ANAPENDEZA KWA HELA ZAKE AU ZA SPONSER LAKIN WANAWAKE WANAPENDEZA KWAAJILI YETU NA HATA MAANDIKO YAMEANDIKWA "TAMAA YAKO ITAKUWA KWA MUMEWE NAYE ATAKUTAWALA" KWAHIO VITU VYOTE ANAVYOFANYA MWANAMKE NI KWAAJILI YA MWANAUME ILI AJE KUMILIKIWA NA MTU FULANI BAADE. lkn mwanaume hajawahi na hajaumbiwa kufanya kitu kwa ajili ya mwanamke labda kwa wale wenyewe familia zao watafanya kwa manufaa ya familia na vizazi vijavyo.


IKIFIKIA HATUA WANAUME WOTE DUNIANI TUKACHUKIA NGONO KBSA BASI KUOGA NA KULE KUJIPAMBA KWA MWANAMKE KUNGEKUWA NI KAZI BURE MAANA HATA MAHUSIANO YA KIMAPENZI YASINGELIKUWAKO KBSA IVYO TOFAUTI NA NGONO AMBAYO NFO HUTUUNGANISHA NA WANAWAKE ZETU KIUKWELI MWANAMKE HANA MCHANGO WAKUTOA KBSA SAHAU SWALA LA KUZAA WATOTO. lkn haimaanishia tuwadharau imewekwa hivyo kwamba mwanaume utakula kwa jasho na mwanamke atazaa kwa uchungu, lkn pia mwanamke ni msaidizi kwa baadhi ya mambo tofauti hata ngono, kwa sisi ambao hatujaoa tusijibu kwa kukurupuka lkn hata tukikurupuka basi tujue kiwa tunapoa wanawake hawa tunaoishi nao kama wake zetu wanatusitiri kwa mengi na wanachukua nafasi ya mama zetu, atakufulia, atahakikisha umekula, umeshiba na una afya njema, ukiumwa ukalazwa atakuuguza hadi ukapona kbsa atakuzalia watoto na kukuheshimisha pia yani kiujumla hayo majukumu mengine najua mwanaume haoni mchango wake kwakua anajua majukumu ya kinyumbani ata yeye anaweza fanya lkn hatuwezi kumaltitask kama wao na hata psychology inasema ivyo, lkn pia ile tolerance/endurance (uvumilivu) wa mwanamke ni tofauti na wa mwanaume kbsa sawa u can endure kufua, kupiga, kuosha vyombo n.k lkn kwa muda gani waweza vumilia bila kutoka njee ya mstari. NI WANAWAKE WANGAPI WANALALA NA WANAUME HAJUI HATA KUFUA BOXER WANANUKA SEHEMU ZA SIRI HADI MDOMO NA WAMEWAVUMILIA HADI WAMEOLEWA NAO? huwezi kuona mchango wake kwa maneno na kauli za vijiweni lkn deep down ukikaa kimya pekee yako ukajiwaza miasha yko kuanzia kijana hadi umekuwa mtu mzima na umeoa huwezi mdharau mwanamke wako hata kama ni mama wa nyumbani na mchango wake ni kukupa unyumba kuna mengine ni spiritual yanaunganisha nafsi yako na yake si kwakua umemla kitandani kwasabu kuna mambo alikufanyia yakaugusa moyo wako tena unakuta jambo hilo tofaut hata na ngono.
 
Nimesoma comments nyingi za wanawake wengi ila bado cjaona point yao ya msingi ya kujitetea kuwa wana lingine zaidi ya sex kwa mwanaume
 
Hivyo vichokoraa vinakuumiza kichwa?
Hao ni wale waliomaliza chuo ramani haisomi wanakua wana makasiriko na kila Mwanamke sababu wanawaonea wivu, kiufupi kwa jinsi walivyopigwa na maisha, wanatamani hata wangezaliwa Wanawake.... Hakuna Mwanaume rijali, aliyejitafuta akajipata akauliza maswali kama hayo....

Relax Mama, tafuta Mvinyo uuburudishe Moyo wako, it's a weekend
Pumba
 
Mwanamke alivyo tumpokee alivyo maana ndo alivyoumbwa, ukiokota uko mfupa mgumu tupa tafuta mwingine, ndo mana wameumbwa wengi ili uchague anayekufaa
 
Ona huyu nae

Baada ya mungu ni mwanaume ndo anafata

Ebu fikiria hii dunia tu,bila mwanaume ingekuwaje,ugunduzi wote ni mwanaume

Ujenzi kuanzia mabarabara mpaka majengo ni mwanaume

Sasa ngoja nikujibu,unajua pesa ndo maisha

Pesa ndo ulinzi,pesa ndo kila kitu
umeongea ujinga tu.
Hao wanaume wametoka wapi? Hao wakujenga barabara na ugunduzi wametokea wapi?
 
Back
Top Bottom