Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,478
- 39,996
Ukiwasikiliza wengi wanaotaka kugombea nafasi mbalimbali za Ubunge wanatoa sababu za mambo gani wanataka kuyafanya kwenye majimbo yao (nimeandika kwa kirefu kwenye Mwanahalisi kesho) "wakishirikiana" na wananchi. Wengi ya wagombea wanatuambia mambo ambayo hatimaye wameyagundua yanahitajika kwenye majimbo yao na kuwa sasa hatimaye matatizo hayo yatapatiwa ufumbuzi.
Wagombea karibu wote hawataki kutuambia nini watafanya wakienda Dodoma kubadilisha mfumo wa utawala wa kifisadi ambao matokeo yake ni hayo matatizo wanayoyaona kwenye majimbo yao. Wagombea hawa wanaamini wanaweza kueffect change bila kubadilisha yanayotokea Dodoma au Ikulu.
Binafsi nakataa.. nataka nijue watafanya nini wakienda Dodoma kubadisliha mfumo wa utawala ili uwe wa kuwajibishana zaidi, wenye kujali zaidi matokeo bora na wenye kuhakikisha haki na usawa vinalindwa? Je yawezekana kweli kuleta mabadiliko kwenye majimbo bila kubadilisha kinachotokea Dodoma?
Si ndio maana wenzetu wanapogombea kama hapa US wanazungumzia what they want to do in "Washington" meaning there is a direct link between what is happening in the national Legislature and the local politics or affairs.
Au tuwahukumu tu kwa yale wanayosema wanataka kufanya majimboni mwao wakati rekodi ya miaka 50 inaonesha kuwa that alone is not enough?
Wagombea karibu wote hawataki kutuambia nini watafanya wakienda Dodoma kubadilisha mfumo wa utawala wa kifisadi ambao matokeo yake ni hayo matatizo wanayoyaona kwenye majimbo yao. Wagombea hawa wanaamini wanaweza kueffect change bila kubadilisha yanayotokea Dodoma au Ikulu.
Binafsi nakataa.. nataka nijue watafanya nini wakienda Dodoma kubadisliha mfumo wa utawala ili uwe wa kuwajibishana zaidi, wenye kujali zaidi matokeo bora na wenye kuhakikisha haki na usawa vinalindwa? Je yawezekana kweli kuleta mabadiliko kwenye majimbo bila kubadilisha kinachotokea Dodoma?
Si ndio maana wenzetu wanapogombea kama hapa US wanazungumzia what they want to do in "Washington" meaning there is a direct link between what is happening in the national Legislature and the local politics or affairs.
Au tuwahukumu tu kwa yale wanayosema wanataka kufanya majimboni mwao wakati rekodi ya miaka 50 inaonesha kuwa that alone is not enough?