Kwa nini bangi ikikamatwa yachomwa mbele ya waandishi wa habari na makamera na mapolisi n.k n.k.
Lakini kwa upande wa sembe(Ngada) hawafanyi hivyo?
Tanzania Portland cement company Ltd. Huwa wanaleta hapa kuzichoma kwenye mtambo maalumu.
Wanakuja na escort ya hali ya juu utazani kuna vita lakini wataalam wanakuambia unga khalisi umeechwa sehemu.
Jibu lipo mkuu kuna usanii mkubwa sana unaoendelea vingine ni vema kukaa kimya ili kuinusuru nafsi yakoNimeona niulize hili swali kwani Mara nyingi nimekua nikiwaona TFDA wakiteketeza Bidhaa feki (vyakula na dawa) Mara wanapozikamata.
Nimeona Askari wakiteketeza Silaha/ Bunduki zinazomilikiwa kinyume na sheria kule Kigoma kwa kuzichoma.
Ila sijawahi kusikia Askari wameteketeza Kiasi Fulani cha dawa za kulevya , Je zikikamatwa hupelekwa wapi? Ukizingatia ni vitu vya thamani sana.
Madawa huwa yanateketezwa kwenye kiwanda chochote chenye tanuru la moto, kwa DAR ni kiwanda cha cement cha Wazo kwa kuchomwa moto kwenye tanuru la moto mkali na kugeuka hewa.Nimeona niulize hili swali kwani Mara nyingi nimekua nikiwaona TFDA wakiteketeza Bidhaa feki (vyakula na dawa) Mara wanapozikamata.
Nimeona Askari wakiteketeza Silaha/ Bunduki zinazomilikiwa kinyume na sheria kule Kigoma kwa kuzichoma.
Ila sijawahi kusikia Askari wameteketeza Kiasi Fulani cha dawa za kulevya , Je zikikamatwa hupelekwa wapi? Ukizingatia ni vitu vya thamani sana.
KUWA MAKINI MKUUTanzania Portland cement company Ltd. Huwa wanaleta hapa kuzichoma kwenye mtambo maalumu.
Wanakuja na escort ya hali ya juu utazani kuna vita lakini wataalam wanakuambia unga khalisi umeechwa sehemu.
Nimekaaa nikatafakari sana baada ya leo kusikia kuwa eti ni siku ya Kupiga vita madawa ya kulevya; nikamsikiliza na Lukuzi nae, mmmmhhhh nikajiuliza hivi, kila siku tunaona madawa mbali mbali yakikamatwa ikiwa ni pamoja na Bangi, Cocaine na mengineyo; Juzi hapa wakakamata bangi kilo mia nne, shamba la bangi Korogwe likachomwa moto na kwingineko.
Je, Cocaine na madawa ambayo yako imported huwa yanapelekwa wapi? Yamehifadhiwa wapi na kwa ajili gani?