Swali la kitaalam

wa stendi

JF-Expert Member
Jul 7, 2016
24,688
26,796
Wakuu poleni na shughuli na mihangaiko za hapa na pale,

Wakuu naombeni msaada wetu wa kitaalam kidogo mimi kidogo hapa nashwindwa.Ni hivi;

Nikichukua ile mota inayofua umeme kwenye zile wire za input nikaunganishia moto ili mota iwake kwenye zile wire za outlet si zitakuwa tayari zinatoa umeme? Hapo hapo zikishatoa umeme nikazizungusha nyuma ya hiyo mota nikaunganishia na zile za input na zile za mwanzo zilizokuwa zinapeleka moto kenye mota nikazitia.

Swali hapo ni je hiyo mota itaendela kuzunguka yaani itaendelea kufua moto na kujizungusha kwa moto huohuo wake?
 
Siyo mtaalam ila naona kama haitawezekana.
Nitolee mfano kwenye dynamo, daynamo ukiizungusha inazalisha umeme. Wakati huo huo kwenye zile output ukiweka source ya umeme ili dynamo izunguke, haitazunguka kamwe kwa sababu kazi yake ni kuzalisha na si kupokea.

Ukiona mota inazunguka baada ya kuunganishwa na source ya umeme, jua moja kwa moja yenyewe kazi yake ni kupokea na si kuzalisha.
Ikizungungushwa haina uwezo wa kuzalisha umeme.
Wataalam watakuja na elimu zaidi.
 
Motor haifui umeme,motor inabadili nguvu za umeme kuwa nguvu za mitambo.Kinachofua umeme ni Generator, Transformer kazi yake ni kupokea umeme na kustep-down au kustep-up kulingana na mahitaji.
Tukirudi kwenye swali lako(ingawa hukulipangilia vizuri) kwenye terminal box ya motor,zile terminal ukiangalia hua zinakua 6 U1,V1,W1kwa terminal za juu na W2,U2,V2 terminal za chini. Na mara nyingi ukiona mpangilio huo wa terminal ujue style iliyotumika kusuka windings za motor hiyo ni Star Connection (Y) hivyo kitendo cha kutape wire na kuzirudisha juu utatengeneza short circuit.Tukija kwenye motor yenye terminal 3 hii style iliyotumika kusuka windings huitwa Delta(∆) na ukitape wire pia ukazirudisha juu waweza tengeneza short circuit na hiyo connection unayosema haina maana yoyote ktk tasnia ya umeme.Ingawa ukiweza kuidentify phase 1,2,3 kwa mpangilio motor itazunguka ingawa kama nilivyosema connection hiyo haina maana yoyote ila kama ni majaribio tu.
 
Motor haifui umeme,motor inabadili nguvu za umeme kuwa nguvu za mitambo.Kinachofua umeme ni Generator, Transformer kazi yake ni kupokea umeme na kustep-down au kustep-up kulingana na mahitaji.
Tukirudi kwenye swali lako(ingawa hukulipangilia vizuri) kwenye terminal box ya motor,zile terminal ukiangalia hua zinakua 6 U1,V1,W1kwa terminal za juu na W2,U2,V2 terminal za chini. Na mara nyingi ukiona mpangilio huo wa terminal ujue style iliyotumika kusuka windings za motor hiyo ni Star Connection (Y) hivyo kitendo cha kutape wire na kuzirudisha juu utatengeneza short circuit.Tukija kwenye motor yenye terminal 3 hii style iliyotumika kusuka windings huitwa Delta(∆) na ukitape wire pia ukazirudisha juu waweza tengeneza short circuit na hiyo connection unayosema haina maana yoyote ktk tasnia ya umeme.Ingawa ukiweza kuidentify phase 1,2,3 kwa mpangilio motor itazunguka ingawa kama nilivyosema connection hiyo haina maana yoyote ila kama ni majaribio tu.
sijakuelewa hatakidogo kwa mimi HGL ila nadhani umejibu kitaalamu
 
Motor haifui umeme,motor inabadili nguvu za umeme kuwa nguvu za mitambo.Kinachofua umeme ni Generator, Transformer kazi yake ni kupokea umeme na kustep-down au kustep-up kulingana na mahitaji.
Tukirudi kwenye swali lako(ingawa hukulipangilia vizuri) kwenye terminal box ya motor,zile terminal ukiangalia hua zinakua 6 U1,V1,W1kwa terminal za juu na W2,U2,V2 terminal za chini. Na mara nyingi ukiona mpangilio huo wa terminal ujue style iliyotumika kusuka windings za motor hiyo ni Star Connection (Y) hivyo kitendo cha kutape wire na kuzirudisha juu utatengeneza short circuit.Tukija kwenye motor yenye terminal 3 hii style iliyotumika kusuka windings huitwa Delta(∆) na ukitape wire pia ukazirudisha juu waweza tengeneza short circuit na hiyo connection unayosema haina maana yoyote ktk tasnia ya umeme.Ingawa ukiweza kuidentify phase 1,2,3 kwa mpangilio motor itazunguka ingawa kama nilivyosema connection hiyo haina maana yoyote ila kama ni majaribio tu.
Hapa umezungumzia motor za three phase, na si kweli kwamba ukitoa waya kwa nje utasababisha short circurt labda kama ww unayetoa waya nje si mtaalam wa umeme, kwa sababu kwenye motor kuna Winding ambazo huwa zina starting point na ending point ndio maana unaona U1U2 V1V2 na W1W2 halafu kwenye connectioon ni kwamba motor zote zinakuwa na name plate kwasababu motor inaweza kuwa connected kwenye star au delta connection, kwahiyo cha msingi ni kuangalia kama plate inasema delta connection ni 415V hiyo motor inaweza kuwa connected kwenye star and Delta connection ila kama imekuwa named 415Y maana yake hiyo ni maalumu kwa star connection pekee lakini vilevile unaweza kuta motor imekuwa named 415delta na 250 Y maana yake Motor hiyo itafungwa delta conn kama una supply 415 ila kama supply iko 250 ambayo mara nyingi ni american standard power supply ya three phase basu itafungwa kwenye star connection kwa nchini kwetu kamwe hutaweza kuifunga kwenye star connection sababu supply yetu iko kwenye 415V vinginevyo uifunge Y kwenye single phase kwa support ya Capacitor japo efficiency yake haitakuwa katika ubora unaotakiwa.
 
Mtoa mada unachofikiria kinawezekana hii inaitwa self driven power generator japo haiwi applicabe sana kwasababu ya mambo ya power factor na losses ambazo zinaweza kutokea wakati wa uzalishaji
 
Swali sahihi ukiunganisha output ya generator na motor hatimaye motor kuizungusha generator je utazalisha umeme bila gharama? Hili haliwezekani. Energy is neither destroyed nor created. For perfect conversion mechanical energy output of motor equals electrical energy output of generator. Hamna nishati ziada.
 
Back
Top Bottom