Kang
JF-Expert Member
- Jun 24, 2008
- 5,495
- 2,252
Unaweza kabisa kuchukua mafao yako ya NSSF hata kama hujaacha kazi, cha msingi tu kama sehemu unayofanyia kazi wafanyakazi wapo NSSF na wengine PPF wewe omba kubadilisha mfuko wa hifadhi kutoka NSSF kwenda PPF ukishafanya hivo hela zako za NSSF unachukua bila tatizo sisi hapa kazini ndo mtindo unaotumika hapa kazini though sijafahamu kama unapewa hela yako kabla ya miezi sita au baada ya miezi sita lakni uwezekano wa kuchukua ela yako kabla ya kustaafu, kuresign au kuachishwa kazi upo ndugu yangu
Ok unaweza kubadili mfuko lakini kubadilisha mfuko sio sawa na kuzichukua pesa zako, najua labda mnasema kuwa mnabadili lakini hamfanyi hivyo nawashauri muwe waangalifu kwenye hilo maana kuna element za fraud hapo, pia nadhani utakuwa umevunja ule mda ambao unatakiwa uwe umechangia mfuko ili kupata mafao unapostaafu, ila kama hautakuja kuyataka hayo mafao wakati wa kustaafu hili labda sio tatizo.