rosemarie
JF-Expert Member
- Mar 22, 2011
- 6,887
- 3,412
Wakuu nina maswali muhimu ningependa mnijibu
mimi sio nsikilizaji wa radio yenu lakini leo kwa bahati nilijikuta ninasikiliza kipindi chenu cha magazeti
kitendo mlichofanya na kashfa zenu hasa juu ya wapinzani ndio zimepelekea mimi kutua hapa jf na kuwauliza maswali mawili matatu kwa sababu hamkosekani hapa jamvini
huyo pj alipoanza kusoma magazeti alichukua gazeti la habari leo na kusoma report inayomuhusu Dr Slaa\
kwa kweli habari ilivyokaa na jinsi mlivyoshabikia mimi binafsi nilijisikia vibaya sana,inaoneka live kabisa hamumpendi Dr slaa na upinzani kwa ujumla wake
Hando kwa kuongezea chumvi aliongea kwa madharau na kusema (huyu mzee bana)
swali:
hivi wakuu hiyo kampuni mnayofanya kazi hapo ni mali ya serikali??
hivi kuna faida yoyote mnayopata kwa kuukashifu upinzani?
hivi mnajua mnasikilizwa na watu tofaouti wenye itikadi tofauti za kisiasa?
hivi mnajua kwamba mnafanya kazi public radio?
hivi mishahara ya 175,000 mnayopewa na huyo muhaya mnaona mmefika?
hamjui hiyo hela sisi wengine ni matumizi yetu ya siku moja?
kwa kuendelea kushabikia ccm mkiwa hapo kwenye public radio mnapata faida gani?
mnadharu mfumo mzima wa siasa na demokracia ndani ya taifa letu?
mimi sio nsikilizaji wa radio yenu lakini leo kwa bahati nilijikuta ninasikiliza kipindi chenu cha magazeti
kitendo mlichofanya na kashfa zenu hasa juu ya wapinzani ndio zimepelekea mimi kutua hapa jf na kuwauliza maswali mawili matatu kwa sababu hamkosekani hapa jamvini
huyo pj alipoanza kusoma magazeti alichukua gazeti la habari leo na kusoma report inayomuhusu Dr Slaa\
kwa kweli habari ilivyokaa na jinsi mlivyoshabikia mimi binafsi nilijisikia vibaya sana,inaoneka live kabisa hamumpendi Dr slaa na upinzani kwa ujumla wake
Hando kwa kuongezea chumvi aliongea kwa madharau na kusema (huyu mzee bana)
swali:
hivi wakuu hiyo kampuni mnayofanya kazi hapo ni mali ya serikali??
hivi kuna faida yoyote mnayopata kwa kuukashifu upinzani?
hivi mnajua mnasikilizwa na watu tofaouti wenye itikadi tofauti za kisiasa?
hivi mnajua kwamba mnafanya kazi public radio?
hivi mishahara ya 175,000 mnayopewa na huyo muhaya mnaona mmefika?
hamjui hiyo hela sisi wengine ni matumizi yetu ya siku moja?
kwa kuendelea kushabikia ccm mkiwa hapo kwenye public radio mnapata faida gani?
mnadharu mfumo mzima wa siasa na demokracia ndani ya taifa letu?