SMU
JF-Expert Member
- Feb 14, 2008
- 9,616
- 7,863
Hivi kwa nini ndugu zangu waislamu huwa wanachinja maiti kabla ya kuzika? Nimeuliza ninao wafahamu wakasema kuwa wanakata koo ili kama maiti alichukuliwa msukule wanamuua ili wakose wote yaani mchawi na wafiwa. Kwangu mimi sikuridhika na hilo jibu naomba kama kuna mtu anayefahamu anieleweshe zaidi.
Niliwahi kuisikia mahali lakini nikaipotezea....hebu ngoja nijaribu ku google ikiwezekana tumalize huu utata!
Nimeisaka kwenye google sijaiona....kama utaratibu huu upo basi itakuwa ni siri ya kwanza kuwahi kutunzwa na watu wengi kiasi hicho bila watu kuijua.
Islamic Funerals: The Burial
After prayer, the body of the deceased is taken to the burial (al-Dafin) site. While there may be variations amongst the site and graves, the Islamic directive is restricted to a respectful burial in the ground, with the grave being aligned perpendicular to the Qiblah (i.e. towards Mecca) and it being raised no higher than 12" above ground level. The body is placed directly into the ground, without a casket. Graves markers for Muslims are kept very simplistic and lavish displays are discouraged. Some graves may either remain unmarked or contain a wreath. However, it is becoming more common for family members to erect grave monuments for Islamic funerals.
Only the men are allowed to attend the graveside burial. The body is laid in a manner that allows the head to face Qiblah (Mecca). Each attendee will take a turn in pouring three handfuls of soil into the grave while reciting "We created you from it, and return you into it, and from it we will raise you a second time", Surah 20:55. After this, more prayers will follow asking for forgiveness of the deceased, and reminding the dead of his or her profession of faith. As a final tribute, the Muslims gather and collectively pray for the forgiveness of the dead. This collective prayer is the last formal collective prayer of the Islamic funeral.