Tume ya Katiba
JF-Expert Member
- Apr 6, 2012
- 4,896
- 1,862
Inategemea taarifa alizitoa kwa nani, angewambia uongozi wa chuo sidhani kama angeingia matatani lakini kwa jinsi alivoposti kama alikua anakosoa ama kuchochea, ingekua vizuri angepeleka taarifa izo kwenye uongozi wa chuo kuliko facebook
Nakubaliana na wewe dogo ni mchochezi, na amechochea jengo la ghorofa.