Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,331
- 33,147
Super Market za Tanzania ni ghali sana kuliko za Marekani. Mzungu huyu anasema ukweli.
Halafu bidhaa zote zinazo tengenezwa na zikauzwa kwenye hayo Maduka ya super Market hazifai kuliwa na binadamu zinaleta maradhi ya Kansa, Kisukari, Unene, wa kupitiliza Presha na maradhi mengine mbalimbali kiafya bidhaa zinazouzwa katika hayo Maduka ya super Market hazifai kuliwa kabisa.Nadhani usafirishaji wa bidhaa kutoka nje ndio unaongeza bei ya bidhaa.
HIZO BIDHAA ZOTE NI IMPORTED GOODS
KaziKweliKweli/JobTrueTrue
Nimetumia akili ya wendawazimu unaonaje akili yangu? ipo sawa wewe mwenye akili zaidi yangu?Mtoa mada hujatumia akili
Mzee wangu Dr Mzizi mkavu shikamoo...Super Market za Tanzania ni ghali sana kuliko za Marekani. Mzungu huyu anasema ukweli.
View attachment 2857270
Na hivyo viazi mbatata vimetoka marekani na Icecream za BakhresaYaani bidhaa iagizwe toka Marekani, ilipiwe usafiri na kodi, halafu isiwe ghali kuliko Marekani?
Kaam unajuwa lugha ya kiingereza msikilize huyo mzungu anacho kisema utajuwa kuwa ni bei rahisi au ni bei ghali?Yes Ila .Kwa bidhaa zinazotoka nje tu Kama Jack daniel lazima bei iwe juu
Marahaba hujambo mwanangu?Mzee wangu Dr Mzizi mkavu shikamoo...
Wa-Tanzania muamkeni sio kila kitu kinatoka nje munakipenda vina madhara sana kiafya kazi kwenu.Ni kweli kwa bidhaa za nje ila za ndani bei ni nafuu sana.
Kazi kwao kwa kupenda "brand"Wa-Tanzania muamkeni sio kila kitu kinatoka nje munakipenda vina madhara sana kiafya kazi kwenu.
Wa-Tanzania muamkeni sio kila kitu kinatoka nje munakipenda vina madhara sana kiafya kazi kwenu.
Bidhaa haisafirishwi kwa gharama mara kumi ya thamani yake. Haya sasa iwe hivyo hata mayai?Yaani bidhaa iagizwe toka Marekani, ilipiwe usafiri na kodi, halafu isiwe ghali kuliko Marekani?