Super Market za Tanzania ni ghali sana kuliko za Marekani. Mzungu huyu anasema ukweli

Nadhani usafirishaji wa bidhaa kutoka nje ndio unaongeza bei ya bidhaa.

HIZO BIDHAA ZOTE NI IMPORTED GOODS

KaziKweliKweli/JobTrueTrue
Halafu bidhaa zote zinazo tengenezwa na zikauzwa kwenye hayo Maduka ya super Market hazifai kuliwa na binadamu zinaleta maradhi ya Kansa, Kisukari, Unene, wa kupitiliza Presha na maradhi mengine mbalimbali kiafya bidhaa zinazouzwa katika hayo Maduka ya super Market hazifai kuliwa kabisa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom