Herbalist Dr MziziMkavu

JF-Expert Member
Feb 3, 2009
42,331
33,141
Mzungu awajaribu Wa-Tanzania wanaoishi Amerika. Mzungu amewaomba wampe chakula wao Wa-Tanzania wamesema chakula hawana. Ila wamempa pesa aende Mzungu kula MC DONALD matokeo yake Mzungu amewapa Dollar 1000 kama zawadi yao kwa nia njema ya kutoa pesa japo kidogo. Mungu anasema toa japo kidogo Mungu atakupa kingi zaidi. Jifunze kutoa na kusaidia wengine utabarikiwa.
πŸ˜€
πŸ˜ƒ
πŸ˜„
😍
πŸ‘‡
πŸ‘



 
Hapo ni America ama Canada?!
Ila watu jf bwanaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚.
Ulitaka kusema nini mwana wa kwetuπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚.
Sasa Canada si americaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚.
Haya nikujazie nyama. CANADA IPO NORTH AMERICA.
Canada si marekani ila ni america.

Na hiyo picha hapo ni Canada. Pesa zilizotolewa hata ongea ya mzungu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom