Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,331
- 33,141
Mzungu awajaribu Wa-Tanzania wanaoishi Amerika. Mzungu amewaomba wampe chakula wao Wa-Tanzania wamesema chakula hawana. Ila wamempa pesa aende Mzungu kula MC DONALD matokeo yake Mzungu amewapa Dollar 1000 kama zawadi yao kwa nia njema ya kutoa pesa japo kidogo. Mungu anasema toa japo kidogo Mungu atakupa kingi zaidi. Jifunze kutoa na kusaidia wengine utabarikiwa.