commonmwananchi
JF-Expert Member
- Mar 12, 2011
- 3,377
- 1,952
kulingana na kituo cha ITV taarifa ya habari jioni hii,tukio hili limetokea huko mkoani tabora na kuthibitishwa na kamanda wa polisi mkoani humo,ambapo marehemu amefahamika kwa jina la Mipawa samwel (RIP)