Si wewe tu, lakini kwa mtu yeyote anayejua madhara ya matumizi ya nguvu za kijeshi ndani ya nchi, basi lazima apate tashwishwi!...Jeshi lina nguvu sana, hasa pale linapopambana na watu wasio na silaha, hasara ni kwa raia, tena kubwa kupita maelezo!
Sasa rais ambaye watu walimwamini hapo mwanzo kutokana na kuchekacheka, ghafla ndiye huyu anawageuka....anaandaa silaha ili kubaki madarakani!
Kuna wataalamu hapa ndani walisema "Siasa ni jambo nyeti mno, kiasi kwamba haiwezekani kuwaachia Wanasiasa peke yao waiendeshe"[/QUOT
Na hatutawaachia, time will tell.
Baadaye , tuitaonana pale kwa jana. moja baridi moja moto.....teh teh teh!