Anatangaza nia ya rasmi.
Doh safi sana! i new Edward Lowassa is not the only candidate,
MHHH??SIDHANI KAMA SUMAYE ANATAKA URAISI ILA NAFIKIRI NI MMOJA YA WATU MAKINI WALIOBAKI CCM AKITANGAZA KUONDOKA NITAFURAHI SANA
aje CDM ananafasi na bado ana nguvu
MHHH??SIDHANI KAMA SUMAYE ANATAKA URAISI ILA NAFIKIRI NI MMOJA YA WATU MAKINI WALIOBAKI CCM AKITANGAZA KUONDOKA NITAFURAHI SANA
aje CDM ananafasi na bado ana nguvu
Kweli ukipenda hata chongo huoni, leo hii Sumaye amekuwa mtu mzuri. EPA ilianzia kipindi cha Sumaye, Kiwira mzee BWM alijiuzia kipindi cha sumaye, ubadhirifu mkubwa wa fedha za STABEX kwa ajili ya kilimo kilifanyika kipindi cha Sumaye ( refer skendo la Waziri Keenja wakati ni waziri wa kilimo)
Sitashangaa Lowasa 2015 akiitwa malaika na chaguo la Mungu!
Watanzania wanakipaji cha kukumbuka mambo ndani ya week moja tu,wakidanganywa na vikauli vya kuonesha mafisadi wapo pamoja nao wanasahau haraka sana!